AJIRA MPYA: Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuajiri wafanyakazi wapya 13,000

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083
IMG-20231202-WA0006.jpg

IMG-20231201-WA0015.jpg

SEREKALI KUAJIRI WATUMISHI ELFU KUMI NA TATU SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuajiri watumishi elfu 13 katika sekta ya afya ili wapangiwe kufanya kazi kwenye vituo vya kutolea huduma hiyo kote nchini.

Hayo yamebainishwa lNovemba 30, 2023 na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI ambaye ni Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi - CCM mbele ya viongozi wa chama hicho na wananchi kwenye viwanja vya Ujamaa Ikwiriri, Rufiji.

"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuto ajira kwenye sekta ya afya na Rufiji imeendelea kupokea maafisa afya katika maeneno mbalimbali na hivi karibuni ameshatoa kibali cha kuajiri maafaisa afya, waganga (madaktari) takribani elfu 13, watakapoajiriwa, watapangiwa kazi kwenye vituo vyote vilivyojengwa wakati wa awamu ya sita kote nchini" amesema.

Mchengerwa ametoa taarifa ya kibali hicho cha Rais alipokuwa akifafanua maendeleo ya sekta ya afya kwenye Jimbo lake la Rufiji ambapo amesema kuwa katika kipindi cha 2021 hadi 2023 vituo vya afya vimeongezeka kutoka vinne hadi sita, Zahanati zimeongezeka kutoka 23 hadi 30 na akaongeza kuwa pamoja na mambo mengine, wamekamilisha ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Dharura ikiwa ni pamoja na kukamilisha ujenzi wa jengo la Mionzi katika Hospitali ya Wilaya na vyote hivyo tayari vimeanza kutoa huduma kwa wana Rufiji.

"Tunaishukuru Serikali, kwani katika kipindi cha kuanzia Mwezi Julai, 2023 hadi Oktoba, 2023 tayari Sekta ya Afya imepokea jumla ya Shilingi 1,438,848,000.00 ambazo zimeanza kutekeleza miradi ya Ukarabati wa Miundombinu ya Hospitali ya Wilaya, Ukamilishaji wa Zahanati na Ujenzi wa Zahanati Mpya, Ujenzi wa Matundu ya vyoo na Miundombinu yake na Ukamilishaji wa Jengo la Wodi ya Wazazi, ameeleza.

Mchengerwa ameongeza kuwa vifaa tiba vimepelekwa katika vituo vyote vya afya na kuwa pamoja na uwepo wa Hospitali ya wilaya, kiasi cha sh. Bil. 10 kimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya kisasa itakayotoa huduma za kupokea na kuhudumia Wagonjwa.
 
Yaani kibali cha ajira anatoa Rais ? Sio kwamba kuna uhitaji fulani sehemu fulani hivyo ni automatically watu hao wanaongezwa ?

Kwali nchi ya Kisanii sana hii (Anything to push the propaganda machine) ingawa kwa kujisifia kuajiri watu 13k ni kama mzazi kujisifia unaacha pesa ya matumizi nyumbani let alone kupeleka mtoto shule...
 
Yaani kibali cha ajira anatoa Rais ? Sio kwamba kuna uhitaji fulani sehemu fulani hivyo ni automatically watu hao wanaongezwa ?

Kwali nchi ya Kisanii sana hii (Anything to push the propaganda machine) ingawa kwa kujisifia kuajiri watu 13k ni kama mzazi kujisifia unaacha pesa ya matumizi nyumbani let alone kupeleka mtoto shule...
Bila kumtaja Samia mambo hayaendi
 
Yaani kibali cha ajira anatoa Rais ? Sio kwamba kuna uhitaji fulani sehemu fulani hivyo ni automatically watu hao wanaongezwa ?

Kwali nchi ya Kisanii sana hii (Anything to push the propaganda machine) ingawa kwa kujisifia kuajiri watu 13k ni kama mzazi kujisifia unaacha pesa ya matumizi nyumbani let alone kupeleka mtoto shule...
Wewe unataka tusemeje?

Magu alikaa miaka 5 bila kuajiri mkasema Magu haajiri huyu tena anaajiri hamtaki waseme kaajiri,

Watanzania hatujui ata tunataka nini?
 
Wewe unataka tusemeje?

Magu alikaa miaka 5 bila kuajiri mkasema Magu haajiri huyu tena anaajiri hamtaki waseme kaajiri,

Watanzania hatujui ata tunataka nini?
Wewe ndio hujui na watu kama wewe ndio chanzo cha mdororo wa nchi..., Yaani moja unaona kwamba Kuajiri ni Hisani; Mbili kwamba ajira ni mapenzi ya Rais kama vile mtu anavyogawa njugu...; Unashindwa kuelewa kwamba Rais na Watunga Sera inabidi kuhakikisha kila Mtanzania anapata ujira wa kutosha kwa ajira (iwe directly au kuweka infrastructure bora)

Sasa nikuulize kwa uzembe unaofanyika sasa wa mgao wa umeme Samia amelicost Taifa / Wabangaizaji kiasi gani cha Fedha ? Au ndio yale anachukua Credit kwa kila kilicho chema na mabaya yote ni Kosa la Fulani ?
 
View attachment 2831376
SEREKALI KUAJIRI WATUMISHI ELFU KUMI NA TATU SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuajiri watumishi elfu 13 katika sekta ya afya ili wapangiwe kufanya kazi kwenye vituo vya kutolea huduma hiyo kote nchini.

Hayo yamebainishwa lNovemba 30, 2023 na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI ambaye ni Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi - CCM mbele ya viongozi wa chama hicho na wananchi kwenye viwanja vya Ujamaa Ikwiriri, Rufiji.

"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuto ajira kwenye sekta ya afya na Rufiji imeendelea kupokea maafisa afya katika maeneno mbalimbali na hivi karibuni ameshatoa kibali cha kuajiri maafaisa afya, waganga (madaktari) takribani elfu 13, watakapoajiriwa, watapangiwa kazi kwenye vituo vyote vilivyojengwa wakati wa awamu ya sita kote nchini" amesema.

Mchengerwa ametoa taarifa ya kibali hicho cha Rais alipokuwa akifafanua maendeleo ya sekta ya afya kwenye Jimbo lake la Rufiji ambapo amesema kuwa katika kipindi cha 2021 hadi 2023 vituo vya afya vimeongezeka kutoka vinne hadi sita, Zahanati zimeongezeka kutoka 23 hadi 30 na akaongeza kuwa pamoja na mambo mengine, wamekamilisha ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Dharura ikiwa ni pamoja na kukamilisha ujenzi wa jengo la Mionzi katika Hospitali ya Wilaya na vyote hivyo tayari vimeanza kutoa huduma kwa wana Rufiji.
View attachment 2831377
"Tunaishukuru Serikali, kwani katika kipindi cha kuanzia Mwezi Julai, 2023 hadi Oktoba, 2023 tayari Sekta ya Afya imepokea jumla ya Shilingi 1,438,848,000.00 ambazo zimeanza kutekeleza miradi ya Ukarabati wa Miundombinu ya Hospitali ya Wilaya, Ukamilishaji wa Zahanati na Ujenzi wa Zahanati Mpya, Ujenzi wa Matundu ya vyoo na Miundombinu yake na Ukamilishaji wa Jengo la Wodi ya Wazazi, ameeleza.

Mchengerwa ameongeza kuwa vifaa tiba vimepelekwa katika vituo vyote vya afya na kuwa pamoja na uwepo wa Hospitali ya wilaya, kiasi cha sh. Bil. 10 kimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya kisasa itakayotoa huduma za kupokea na kuhudumia Wagonjwa.
Tatizo siyo ajira, tatizo kubwa ni kukosekana kwa mazingira wezeshi ambayo wananchi wanaweza kufanya kazi zao za kujiletea maendeleo yao wao wenyewe bila bugdha na bila ya kukumbana matatizo makubwa.
Hata kama watatoa vibali vya kuajiri waajiriwa kwa idadi ya 90% ya Watanzania wote, endapo kama hakuna mazingira wezeshi ya kufanya kazi kwa Uhuru, itakuwa ni kazi bure na wala hawataleta tija yoyote ile ktk nchi.
 
View attachment 2831376
SEREKALI KUAJIRI WATUMISHI ELFU KUMI NA TATU SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuajiri watumishi elfu 13 katika sekta ya afya ili wapangiwe kufanya kazi kwenye vituo vya kutolea huduma hiyo kote nchini.

Hayo yamebainishwa lNovemba 30, 2023 na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI ambaye ni Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi - CCM mbele ya viongozi wa chama hicho na wananchi kwenye viwanja vya Ujamaa Ikwiriri, Rufiji.

"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuto ajira kwenye sekta ya afya na Rufiji imeendelea kupokea maafisa afya katika maeneno mbalimbali na hivi karibuni ameshatoa kibali cha kuajiri maafaisa afya, waganga (madaktari) takribani elfu 13, watakapoajiriwa, watapangiwa kazi kwenye vituo vyote vilivyojengwa wakati wa awamu ya sita kote nchini" amesema.

Mchengerwa ametoa taarifa ya kibali hicho cha Rais alipokuwa akifafanua maendeleo ya sekta ya afya kwenye Jimbo lake la Rufiji ambapo amesema kuwa katika kipindi cha 2021 hadi 2023 vituo vya afya vimeongezeka kutoka vinne hadi sita, Zahanati zimeongezeka kutoka 23 hadi 30 na akaongeza kuwa pamoja na mambo mengine, wamekamilisha ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Dharura ikiwa ni pamoja na kukamilisha ujenzi wa jengo la Mionzi katika Hospitali ya Wilaya na vyote hivyo tayari vimeanza kutoa huduma kwa wana Rufiji.
View attachment 2831377
"Tunaishukuru Serikali, kwani katika kipindi cha kuanzia Mwezi Julai, 2023 hadi Oktoba, 2023 tayari Sekta ya Afya imepokea jumla ya Shilingi 1,438,848,000.00 ambazo zimeanza kutekeleza miradi ya Ukarabati wa Miundombinu ya Hospitali ya Wilaya, Ukamilishaji wa Zahanati na Ujenzi wa Zahanati Mpya, Ujenzi wa Matundu ya vyoo na Miundombinu yake na Ukamilishaji wa Jengo la Wodi ya Wazazi, ameeleza.

Mchengerwa ameongeza kuwa vifaa tiba vimepelekwa katika vituo vyote vya afya na kuwa pamoja na uwepo wa Hospitali ya wilaya, kiasi cha sh. Bil. 10 kimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya kisasa itakayotoa huduma za kupokea na kuhudumia Wagonjwa.
Lini mtatangaza? Pili nimeona huko Kuna Ajira za Askari Magereza
 
Tatizo siyo ajira, tatizo kubwa ni kukosekana kwa mazingira wezeshi ambayo wananchi wanaweza kufanya kazi zao za kujiletea maendeleo yao wao wenyewe bila bugdha na bila ya kukumbana matatizo makubwa.
Hata kama watatoa vibali vya kuajiri waajiriwa kwa idadi ya 90% ya Watanzania wote, endapo kama hakuna mazingira wezeshi ya kufanya kazi kwa Uhuru, itakuwa ni kazi bure na wala hawataleta tija yoyote ile ktk nchi.
Ajira zenyewe chache kama nini
 
Yaani kibali cha ajira anatoa Rais ? Sio kwamba kuna uhitaji fulani sehemu fulani hivyo ni automatically watu hao wanaongezwa ?

Kwali nchi ya Kisanii sana hii (Anything to push the propaganda machine) ingawa kwa kujisifia kuajiri watu 13k ni kama mzazi kujisifia unaacha pesa ya matumizi nyumbani let alone kupeleka mtoto shule...
we kweli mpumbavu hujui kinachoendelea duniani.
 
we kweli mpumbavu hujui kinachoendelea duniani.
Kinachoendelea Duniani ni nini ? Na Unadhani hicho kinachoendelea Mwarobaini wake ni kutoa ajira kama vile Hisani au kuhakikisha ni vipi ukosefu wa ajira / upungufu wa mahitaji ya nguvu kazi yanatatuliwa kwa kuhakikisha angalau watu wana ujira wa basic needs ?

Sababu kinachofanyika sasa hata kungekuwa hakuna mtu pale juu na mambo yanakwenda kwa auto-pilot huenda matokeo yangekuwa bora zaidi (sababu hizi inteferences nyingine ndio zinazidi kuturudisha nyuma..., Exhibit 'A' - TCRA na Kupanda kwa Bundle; Exhibit 'B' Mgao wa Giza kuongezeka pindi ameingia DImbani; Exhibit 'C' Tozo kwenye miamala kupunguza kasi ya Tanzania towards Banking Inclusivity kwa Wananchi) to name just a few....
 
Wewe unataka tusemeje?

Magu alikaa miaka 5 bila kuajiri mkasema Magu haajiri huyu tena anaajiri hamtaki waseme kaajiri,

Watanzania hatujui ata tunataka nini?
Una uhakika Magufuli hakuwahi kuajiri?
 
View attachment 2831376
SEREKALI KUAJIRI WATUMISHI ELFU KUMI NA TATU SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuajiri watumishi elfu 13 katika sekta ya afya ili wapangiwe kufanya kazi kwenye vituo vya kutolea huduma hiyo kote nchini.

Hayo yamebainishwa lNovemba 30, 2023 na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI ambaye ni Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi - CCM mbele ya viongozi wa chama hicho na wananchi kwenye viwanja vya Ujamaa Ikwiriri, Rufiji.

"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuto ajira kwenye sekta ya afya na Rufiji imeendelea kupokea maafisa afya katika maeneno mbalimbali na hivi karibuni ameshatoa kibali cha kuajiri maafaisa afya, waganga (madaktari) takribani elfu 13, watakapoajiriwa, watapangiwa kazi kwenye vituo vyote vilivyojengwa wakati wa awamu ya sita kote nchini" amesema.

Mchengerwa ametoa taarifa ya kibali hicho cha Rais alipokuwa akifafanua maendeleo ya sekta ya afya kwenye Jimbo lake la Rufiji ambapo amesema kuwa katika kipindi cha 2021 hadi 2023 vituo vya afya vimeongezeka kutoka vinne hadi sita, Zahanati zimeongezeka kutoka 23 hadi 30 na akaongeza kuwa pamoja na mambo mengine, wamekamilisha ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Dharura ikiwa ni pamoja na kukamilisha ujenzi wa jengo la Mionzi katika Hospitali ya Wilaya na vyote hivyo tayari vimeanza kutoa huduma kwa wana Rufiji.
View attachment 2831377
"Tunaishukuru Serikali, kwani katika kipindi cha kuanzia Mwezi Julai, 2023 hadi Oktoba, 2023 tayari Sekta ya Afya imepokea jumla ya Shilingi 1,438,848,000.00 ambazo zimeanza kutekeleza miradi ya Ukarabati wa Miundombinu ya Hospitali ya Wilaya, Ukamilishaji wa Zahanati na Ujenzi wa Zahanati Mpya, Ujenzi wa Matundu ya vyoo na Miundombinu yake na Ukamilishaji wa Jengo la Wodi ya Wazazi, ameeleza.

Mchengerwa ameongeza kuwa vifaa tiba vimepelekwa katika vituo vyote vya afya na kuwa pamoja na uwepo wa Hospitali ya wilaya, kiasi cha sh. Bil. 10 kimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya kisasa itakayotoa huduma za kupokea na kuhudumia Wagonjwa.
CCM na serika yake Iliahidi, Imetekeleza na Inasonga mbele.....
 
Back
Top Bottom