nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Watu kukosa huduma, kupoteza maisha na kuwa bila tiba ndio mnaona mafanikio? Ingekuwa dini yangu inaniruhusu kuwalaani basi nisingesita kuwaaambia madaktari waliogoma wamelaaniwa. Mlitaka nini zaidi ya Waziri Mkuu kuwaita na kuwasikiliza? na mkamdharau? Kama si laana hiyo ni nini? kama si kufungamana na siasa chafu ni nini? msijidai kujivuwa lawama baada yakuona maji yako shingoni.
Hamna haya wala hamjui vibaya, akili na matumbo yenu yako kwenye kula tu, na mtakuwa na uchu na njaa maisha yenu hata muwe mmeshiba vipi, vile vihela mnavyolazimisha kuhongwa na wagonjwa haviwatoshi? kuachiwa kufanya kazi za binafsi kwenye mahospitali na vituo vya afya vya binafsi hakuwatoshi? Wacheni kuona Watanzania wote ni wajinga.
Nasema Serikali iwahukumu wote kwa makosa ya jinai kwa kukosa kuripoti na kutoa huduma. Msiokuwa na haya wala msiojuwa vibaya.
fikra za huyu mtu huwa za kipunguani daima, kwanini yeye Pinda asiafuate Madaktari kule walipo, kazi yake ni kukaa ofisini tu , nyie watu mmelogwa ama ? wao ndio wenye shughuli, wanamtaka aje awasikilize, anaanza yeye kupanga masharti tena, ukialikwa wewe ndio unapanga ukumbi, umesoma shule lakini kalunguyeye wa akili