Kabla ya Rais Samia kushika Hatamu,Swala la Taa za Barabarani Mikoani ilikuwa Anasa.Kwa Sasa Mitaa ya Miji yetu Inawaka

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,785
Mojawapo ya maelekezo ya Rais Samia Baada ya kushika Kijiti ilikuwa ni kuhakikisha watu wanafanya biashara mchana na usiku.

Aliagiza hakuna kujenga barabara za lami bila taa na akaagiza Polisi/Latra wawezeshe usafiri wa masaa 24.

Ubunifu huu umewezesha kufungiwa taa Kila Miji wa Tanznaia hii kutoka Dar Hadi Bunda,Mtwara Hadi Ngara na Tanga Hadi Namanyere.

Miji yote mikubwa na midogo imefungwa taa za Barabarani na Sasa biashara zinafanyika mda wote na usafiri uko mda wote.

Kabla ya Samia ,swala la Taa za Barabarani ilikuwa ni anasa na jambo la kujivunia Kwa Majiji makubwa hasa Dar,tulikuwa tunataniana kwamba watu wa Mikoani tunaenda Dar kushangaa mataa na magorofa ila Leo hii ni historia.Taa ziko Kila sehemu.Hongera sana Rais Samia Kwa ubunifu huu.

Tusiishie hapa Bali kwenye masoko kote tufunge taa na tuache ujinga wa kufunga masoko eti tunaenda kulala Bali Kila mtu afanye biashara mda anaotaka na atalala mda anaotaka Ili kusudi tukuze Uchumi wa Nchi yetu.

Kazi iendelee 👇

View: https://www.instagram.com/p/C21YTSKoy-v/?igsh=enlubGJpajl1bTV4
 
Duh.

Labda wageni ndio watadanganyika.

Tunakumbuka wale ambao hawakuweka taa za Barabarani na Vyoo baada ya kutaka miradi ifunguliwe bila hivyo, kilichowakuta.

Nuff said

Watanzania wanajua zilikuwa ni juhudi za nani.
 
Duh.

Labda wageni ndio watadanganyika.

Tunakumbuka wale ambao hawakuweka taa za Barabarani na Vyoo baada ya kutaka miradi ifunguliwe bila hivyo, kilichowakuta.

Nuff said

Watanzania wanajua zilikuwa ni juhudi za nani.
Wakina nani hao?
 
Mojawapo ya maelekezo ya Rais Samia Baada ya kushika Kijiti ilikuwa ni kuhakikisha watu wanafanya biashara mchana na usiku.

Aliagiza hakuna kujenga barabara za lami bila taa na akaagiza Polisi/Latra wawezeshe usafiri wa masaa 24.

Ubunifu huu umewezesha kufungiwa taa Kila Miji wa Tanznaia hii kutoka Dar Hadi Bunda,Mtwara Hadi Ngara na Tanga Hadi Namanyere.

Miji yote mikubwa na midogo imefungwa taa za Barabarani na Sasa biashara zinafanyika mda wote na usafiri uko mda wote.

Kabla ya Samia ,swala la Taa za Barabarani ilikuwa ni anasa na jambo la kujivunia Kwa Majiji makubwa hasa Dar,tulikuwa tunataniana kwamba watu wa Mikoani tunaenda Dar kushangaa mataa na magorofa ila Leo hii ni historia.Taa ziko Kila sehemu.Hongera sana Rais Samia Kwa ubunifu huu.

Tusiishie hapa Bali kwenye masoko kote tufunge taa na tuache ujinga wa kufunga masoko eti tunaenda kulala Bali Kila mtu afanye biashara mda anaotaka na atalala mda anaotaka Ili kusudi tukuze Uchumi wa Nchi yetu.

Kazi iendelee 👇

View: https://www.instagram.com/p/C21YTSKoy-v/?igsh=enlubGJpajl1bTV4

Hata nyumbu huwa hakosi wafuasi bana. Ndo kama hivi sasa
 
Watu wa Mara acheni ushamba na ujinga.

Mtaa ambako taa zitaibiwa Wanamtaa walipishwe Iko kukomesha huu ujinga na watawataja wahusika.

View: https://www.instagram.com/reel/C20AXoWhKPc/?igsh=MXdpMHI1N3VtcmY4NQ==

Ushamba ni kitu cha hovyo sana, umeona taa za barabarani leo basi eti Samia kaagiza! Usafiri wa saa 24 wananchi tulipiga kelele serikali mkasema kuna majambazi sasa leo Samia kaagiza!
Huo ni ulemavu wa akili kama wa jaji wenu kushangaa watu kwenda kwa Makonda badala ya kuona chombo anachokiongoza hakifanyi kazi. Mahakama imeshindwa kutimiza wajibu Sasa anamwomba rais ampe hela aanzishe mabaraza ya usuluhishi ili wao waendelee kulala na kula rushwa. Utashangaa badala ya rais kumstaafisha kwa manufaa ya umma akampa hela.
 
Ushamba ni kitu cha hovyo sana, umeona taa za barabarani leo basi eti Samia kaagiza! Usafiri wa saa 24 wananchi tulipiga kelele serikali mkasema kuna majambazi sasa leo Samia kaagiza!
Huo ni ulemavu wa akili kama wa jaji wenu kushangaa watu kwenda kwa Makonda badala ya kuona chombo anachokiongoza hakifanyi kazi. Mahakama imeshindwa kutimiza wajibu Sasa anamwomba rais ampe hela aanzishe mabaraza ya usuluhishi ili wao waendelee kulala na kula rushwa. Utashangaa badala ya rais kumstaafisha kwa manufaa ya umma akampa hela.
Hizo kelele zenu Mama amezisikia Sasa wewe wivu wa nini? Kelele mlianza mwaka gani?

Pili kama nikivyosema mlikuwa mnaona taa za Barabarani ni anasa na zinatakiwa kuwepo Dar pekee,ndio nasema Sasa Samia akasema tunafunga Mikoani Hadi Wilayani pamoja na usalama ila watu wafanye biashara 24 hours.

Saizi Mkakati wa kufunga taa kwenye masoko umeanza Dar ,ukileta matunda itakuwa Tzn nzima.

Give credits where is due
 
Lakini miji mingi zimehujumiwa hazijawa replaced, zilizogongwa na magari zingali zimelala.
Ni uzembe wa mamlaka husika ila inatakiwa Wananchi wapige kelele Kwa sababu wao ndio wanufaika Moja kwa Moja.
 
Kazi kubwa ya Magufuli. Punguza wivu kwa marehemu.
Kazi kubwa ipi hiyo? Nakueleza kwamba ni kazi ya Samia unasema Magufuli acha ujinga.

Fuatilia ziara zote za Rais Samia watu walikuwa wanataka nini kama sio taa.Mkoa niliko taa zote zimeanza kufungwa baada ya Samia na ndivyo ilivyo Nchi nzima.

Uliwahi kuona taa za Barabarani Songwe,Rukwa,Njombe,Songea nk kabla ya Samia? Nikuletee video uone zilianza kufungwa lini?

Narudia tena chuki zenu Wala hazijawahi zuia Samia kuandikisha historia,sana sana mnamuongezea upambanaji tuu bila kelele.
 
Mojawapo ya maelekezo ya Rais Samia Baada ya kushika Kijiti ilikuwa ni kuhakikisha watu wanafanya biashara mchana na usiku.

Aliagiza hakuna kujenga barabara za lami bila taa na akaagiza Polisi/Latra wawezeshe usafiri wa masaa 24.

Ubunifu huu umewezesha kufungiwa taa Kila Miji wa Tanznaia hii kutoka Dar Hadi Bunda,Mtwara Hadi Ngara na Tanga Hadi Namanyere.

Miji yote mikubwa na midogo imefungwa taa za Barabarani na Sasa biashara zinafanyika mda wote na usafiri uko mda wote.

Kabla ya Samia ,swala la Taa za Barabarani ilikuwa ni anasa na jambo la kujivunia Kwa Majiji makubwa hasa Dar,tulikuwa tunataniana kwamba watu wa Mikoani tunaenda Dar kushangaa mataa na magorofa ila Leo hii ni historia.Taa ziko Kila sehemu.Hongera sana Rais Samia Kwa ubunifu huu.

Tusiishie hapa Bali kwenye masoko kote tufunge taa na tuache ujinga wa kufunga masoko eti tunaenda kulala Bali Kila mtu afanye biashara mda anaotaka na atalala mda anaotaka Ili kusudi tukuze Uchumi wa Nchi yetu.

Kazi iendelee 👇

View: https://www.instagram.com/p/C21YTSKoy-v/?igsh=enlubGJpajl1bTV4


Mkuu umejiuliza % ngapi ya uwekaji wa taa hizo ni ule upigaji wetu pendwa?
 
Mjinga ni wewe unaesahau Samia yupo ndani ya awamu ya Magufuli. Jembe kaweka kila kitu

Historia ni ya Magufuli,jamaa jiwe kweli anaongoza toka kaburini. Ikikuuma vunja serikali itisha chaguzi upya
Kazi kubwa ipi hiyo? Nakueleza kwamba ni kazi ya Samia unasema Magufuli acha ujinga.

Fuatilia ziara zote za Rais Samia watu walikuwa wanataka nini kama sio taa.Mkoa niliko taa zote zimeanza kufungwa baada ya Samia na ndivyo ilivyo Nchi nzima.

Uliwahi kuona taa za Barabarani Songwe,Rukwa,Njombe,Songea nk kabla ya Samia? Nikuletee video uone zilianza kufungwa lini?

Narudia tena chuki zenu Wala hazijawahi zuia Samia kuandikisha historia,sana sana mnamuongezea upambanaji tuu bila kelele.
 
Back
Top Bottom