Syria watungua ndege ya Israel

Syria watungua ndege ya Israel

Umeona mrejesho wa Israel au bado? Wanajeshi wao wawili walipona ila kipigo alichopewa Syria wanasema hakijatokea kwa miaka 30 iliyopita. Mshindi nani?
Mkuu acha kudanganya kipigo gan unaweza kuwapa syria ukasema hakijawahi kutokea nchi hipo ipo kwenye vita miaka yote hii imeshapigwa kila aina ya siraha watu wake wameshakufa kila aina ya vifo mpk kuchinjwa live .kuzikwa waziwa kila aina asa huyo muisrael atawapa kipiggo kipi ambacho kitawastua .... yan nchi ya syria si wakubwa wala wtt wanaish kwakujua watakufa leo kesho kutokana na yanayoendelea kwenye nchi hyo walishakata tamaa kabisa ..hvyo hakuna kipigo hata kimoja watakachopigwa na muisrael kikawa kipya yote marudio
 
Usicheze na Israeli wewe...wale jamaa kwenye ulinzi wa Taifa lao achana nao kabisa. Nakuhakikishia haifiki mwezi wa 6 watashambulia tena Syria. Hifadhi hii comment utaikumbuka.
Mkuu miezi 6 uliyotabiri mingi sana kwa Israel kuvumilia; ameshawaliza vibaya tayari. Ni kichapo cha aina yake huko Syria tangu 1982; magaidi na wafadhili wao wanasaga meno mida hii. Hata wale wa hapa JF washasepa tayari.
 
Usicheze na Israeli wewe...wale jamaa kwenye ulinzi wa Taifa lao achana nao kabisa. Nakuhakikishia haifiki mwezi wa 6 watashambulia tena Syria. Hifadhi hii comment utaikumbuka.

Habari njema sana hii. Tupe source Mkuu. Ok, it's here: Israel Strikes Iran in Syria and Loses a Jet

Naona magaidi na wafadhili wao wanalishwa kinyesi chao sawia na wanakibugia kwa fujo kweli kweli manina zao! Cc: Elungata Nalendwa ze kokuyo niah

***************

Israel says it has inflicted huge damage on Syrian air defences after one of its fighter jets was brought down during a raid over Syria.

The response was the "most significant attack" of its kind against Syria since the 1982 Lebanon war, said senior Israeli air force general Tomer Bar.

The F-16 jet went down during a mission that followed an Iranian drone launch into Israeli territory, Israel says.

The two pilots parachuted to safety before the crash in northern Israel.

Israel says it responded with a second wave of strikes on both Syrian and Iranian military targets operating inside Syria.

Israeli air strikes in Syria are not unusual, BBC Middle East correspondent Tom Bateman says, but the loss of an Israeli fighter jet marks a serious escalation.


Yale yale Nilikuwa nauliza, huyu jamaa kiboko kashafanya yake kurudisha mapigo ya F-16 moja..

"The response was the "most significant attack" of its kind against Syria since the 1982 Lebanon war, said senior Israeli air force general Tomer Bar.."
 
Mkuu acha kudanganya kipigo gan unaweza kuwapa syria ukasema hakijawahi kutokea nchi hipo ipo kwenye vita miaka yote hii imeshapigwa kila aina ya siraha watu wake wameshakufa kila aina ya vifo mpk kuchinjwa live .kuzikwa waziwa kila aina asa huyo muisrael atawapa kipiggo kipi ambacho kitawastua .... yan nchi ya syria si wakubwa wala wtt wanaish kwakujua watakufa leo kesho kutokana na yanayoendelea kwenye nchi hyo walishakata tamaa kabisa ..hvyo hakuna kipigo hata kimoja watakachopigwa na muisrael kikawa kipya yote marudio
Maneno sijayatunga. Ingia cnn, bbc au vyombo vingine usikilize au usome. Myahudi anasema kwa miaka 30 ilikuwa haijaishambulia syria kama walivyofanya jana na wamesema wataendelea na mashambulizi. Soma au sikiliza vyombo vya habari.
 
Jamanii eeehhe wajerumani walionekana ni wauaji wakubwa walipojaribu kuusafisha ulimwengu na hawa jamaa wenye fitna hapa duniani leo tunashuhudia jinsi wanavyoitawala dunia kwa fitna zao na vita yote duniani hapo ni lazima hawa jamaa wamo kwa namna moja au nyingine. Jamani hawa waYahudi hasa wala Mazayuni si watu wazuri kabisa ni bora yule jamaa angewamaliza tuuu
Walishindikana kumalizwa na hakuna atakayeweza kuwamaliza kamwe milele yote
 
Maneno sijayatunga. Ingia cnn, bbc au vyombo vingine usikilize au usome. Myahudi anasema kwa miaka 30 ilikuwa haijaishambulia syria kama walivyofanya jana na wamesema wataendelea na mashambulizi. Soma au sikiliza vyombo vya habari.
Nipo hapa naangalia ila cijaona hyo habar zaid ya mazungumzo
 
Yale yale Nilikuwa nauliza, huyu jamaa kiboko kashafanya yake kurudisha mapigo ya F-16 moja..

"The response was the "most significant attack" of its kind against Syria since the 1982 Lebanon war, said senior Israeli air force general Tomer Bar.."
Uzuri wake jamaa hua hawacheleweshagi, yani ukiwazingua tu mida hiyohiyo wanalipiza. Nimeingia Haarez na Sputnik wametoa video inayoonyesha wakishambulia ile base ya Iran.
Habari njema sana hii. Tupe source Mkuu. Ok, are here

Source 01: Israel Strikes Iran in Syria and Loses a Jet
Source 02: Analysis | Israel has taken its biggest step into the Syrian war yet. What does that mean?
Source 03: A Potentially Dangerous Door Opens in Syria as Israel Launches Massive Strike After Its Jet Is Shot Down

Naona magaidi na wafadhili wao wanalishwa kinyesi chao sawia na wanakibugia kwa fujo kweli kweli manina zao! Walonywa mapema wasicheze na "mato" hawakuelewa. Cc: Elungata Nalendwa ze kokuyo niah

***************

Israel says it has inflicted huge damage on Syrian air defences after one of its fighter jets was brought down during a raid over Syria.

The response was the "most significant attack" of its kind against Syria since the 1982 Lebanon war, said senior Israeli air force general Tomer Bar.

The F-16 jet went down during a mission that followed an Iranian drone launch into Israeli territory, Israel says.

The two pilots parachuted to safety before the crash in northern Israel.

Israel says it responded with a second wave of strikes on both Syrian and Iranian military targets operating inside Syria.

Israeli air strikes in Syria are not unusual, BBC Middle East correspondent Tom Bateman says, but the loss of an Israeli fighter jet marks a serious escalation.
 
Vijana wa Netanyahu wamerudisha mapigo mpaka kwenye Iran Military targets ndani ya Syria.
Hope this won't escalate..
Binyamin "Bibi" Netanyahu binadamu mwenye IQ ya hatari duniani kwa kizazi hiki! Kichwa cha aina hii kiitishe kikao cha dharua cha kamati ya ulinzi ya taifa lazima mjiandae kulipa "gharama" tena ndani ya masaa machache sana. Magadi na wafadhili wao wanalishwa vinyesi vyao muda huu.
 
Vijana wa Netanyahu wamerudisha mapigo mpaka kwenye Iran Military targets ndani ya Syria.
Hope this won't escalate..
Haiwezekani kwa sasa.Maana Syria wanajua wakilianzisha Bhas Israel nae anaingia ardhini kama alivyofanya Turkey. Au anaweza kuongeza mashambulizi ya anga ipasavyo Kama alivyofanya kwenye Operation Mole Cricket19 ambapo air defenses karibu 30 za Syria ziliharibiwa ndani ya siku mbili tu bila damage yoyote upande wa Israel.
 
Uzuri wake jamaa hua hawacheleweshagi, yani ukiwazingua tu mida hiyohiyo wanalipiza. Nimeingia Haarez na Sputnik wametoa video inayoonyesha wakishambulia ile base ya Iran.
Iran anajiingiza kichwa kichwa; anazidi kukuza mgogoro bila sababu. Anyway, hebu tuone hizo projects zake za kujenga air bases huko Syria zitaishia wapi.
 
Maneno sijayatunga. Ingia cnn, bbc au vyombo vingine usikilize au usome. Myahudi anasema kwa miaka 30 ilikuwa haijaishambulia syria kama walivyofanya jana na wamesema wataendelea na mashambulizi. Soma au sikiliza vyombo vya habari.
watanzania mnanifurahishaga sana. mnaijua vita ya mashariki ya kati kuliko walioko vitani[emoji23]
 
Hakuma mwenye hati miliki na Uzi mkuu, Hatuwezi kupata marifa tukikwazana kama vile tupo kwenye siasa za mwendo kasi!,
update kuhusu hizi ndege ni muhimu sana maana ni moja wapo ya tegemeo la U.S. zipo nyingi sana kwenye kambi zao na ni za ghali sana kama zimesha anza kudunguliwa ni hatari sana maana nyingine wana zi upgrade to hazina tofauti kubwa sana !! hii F-16 kwa ubora wake imepewa majina kibao ya sifa mara nyoka wa Angani!!

Niliposema "unaleta update kuliko mleta uzi" kuna kitu nimemaanisha, soma vizuri utanielewa wala sijamkwanza mtu, kuna kitu anajaribu kutuonesha, anajaribu kutetea taifa flani

By the way tuachane na hayo Kuna mtu anakwambia hizo ndege zimepitwa na wakati,..! zimepitwa na wakati halafu bado ziko kwenye uwanja wa vita kufanya nini..?, Pro US/Israel ndio wanasema zimepitwa na wakati, na leo ndio wamejua zimepitwa na wakati baada ya kua shot down..! , ndege zilizopitwa na wakati zimestafishwa tayari haziko kwenye vita..!!

Wakubali tu Syria jana kawaotea, japokua wanamshushia makombora kupunguza hasira
 
Nipo hapa naangalia ila cijaona hyo habar zaid ya mazungumzo
2cc56fc5d8b0f71a20cfc1aa6251fd93.jpg

Ingia hata Sputnik Ile ya Urusi. Hiyo habari utaikuta.
 
Back
Top Bottom