Syria watungua ndege ya Israel

Syria watungua ndege ya Israel

Yep kaka.. raia wa kule wamepewa dili la dola elfu tisa kuwakamatisha miafrika kuirudisha kwao… serikali ilitoa ofa ya dola buku tatu kila mkimbizi “mweusiwafrika” alikubali kurudi kwao kwa hiari jamaa wakachomoa ndo ikaja hiyo… miafrika hamtakiwi huko ila huku JF tunawashobokea balaa…
Umeskia na Tanzania wanachomoa kuhudumia na kupokea wakimbizi?
Vp na huku wanakaa waisraeli?
 
Mmeshauharibu Uzi na mipasho yenu ya kikuda na elimu yenu ya kitanzania isiyowasaidia hata kugeuza kinyesi kuwa mbolea
 
nilisema na nitasema tena urusi sio kitu cha mchezo mchezo.

Mkuu binadamu wengine wana analytical mind za kushangaza kidogo, Eti Israel itashambulia Moscow!!! Yaani wamesahau kwamba thermonuclear kombora moja la Urusi lenye mlipuko wenye kishindo cha mamillion ya TNT lina uwezo wa kufuta Taifa lenye eneo la mraba kama Ufaransa kutoka uso wa Dunia, je, kombora kama hilo likidodonshwa ndani ya kanchi kadogo kama Israel si katabaki majivu tu - we unafikiri kwa nini Natenyau kabla hajafanya chochote katika anga la Syria ukimbilia Urusi kumuona Putin kwanza - sasa Israel hisipo kuwa makini ikawa carried away na ujeuri wa Waziri mkuu wao watakuja kutandikwa vikali wajute kuzaliwa, siwasemi vibaya lakini dawa yao hiko jikoni ni suala la muda tu na timing.
 
Mkuu binadamu wengine wana analytical mind za kushangaza kidogo, Eti Israel itashambulia Moscow!!! Yaani wamesahau kwamba kombora moja la mlipuko wa thermonuclear lina uwezo wa kufuta Taifa lenye eneo la mraba kama Ufaransa kutoka uso wa Dunia, je, kombora kama hilo likidodonshwa ndani ya kanchi kadogo kama Israel si katabaki majivu tu - we unafikiri kwa nini Natenyau kabla hajafanya chochote katika anga la Syria ukimbilia Urusi kumuona Putin kwanza - sasa Israel hisipo kuwa makini ikawa carried away na ujeuri wa Waziri mkuu wao watakuja kutandikwa vikali wajute kuzaliwa, siwasemi vibaya lakini dawa yao hiko jikoni ni suala la muda tu na timing.
BABA TATIZO IMANI ZINATIA SANA UPOFU ZINAPUNGUZA UWEZO WA KUFIKIRI,MAANDIKO YANAWAFANYA WATU WAHISI HAWA JAMAA NI KITU CHA AJABU.ILA KUNA WATU HAWAFAI KUCHOKOZWA WALA TU KUPULIZWA NA UPEPO WA KICHOKOZI.NADHA NI UKOSEFU WA HEKIMA NA KUKARIRI MAANDIKO.
 
Mkuu binadamu wengine wana analytical mind za kushangaza kidogo, Eti Israel itashambulia Moscow!!! Yaani wamesahau kwamba kombora moja la mlipuko wa thermonuclear lina uwezo wa kufuta Taifa lenye eneo la mraba kama Ufaransa kutoka uso wa Dunia, je, kombora kama hilo likidodonshwa ndani ya kanchi kadogo kama Israel si katabaki majivu tu - we unafikiri kwa nini Natenyau kabla hajafanya chochote katika anga la Syria ukimbilia Urusi kumuona Putin kwanza - sasa Israel hisipo kuwa makini ikawa carried away na ujeuri wa Waziri mkuu wao watakuja kutandikwa vikali wajute kuzaliwa, siwasemi vibaya lakini dawa yao hiko jikoni ni suala la muda tu na timing.
MKUU NI UKOSEFU WA HEKIMA NA PROPAGANDA ZA KIDINI ZINAWAPOFUSHA.ILA SIKUSOMA SANA ILA NIKIKUMBUKA KILICHOMTOKEA HITLER LABDA NINGEKUWA MTU WA DINI NINGESEMA URUSI NDIO WALIOPEWA HILO TEUZI HASA LA KUIGOMBOA DUNIA KWA KIPINDI KILE.URUSI NI TATIZO.
 
Hii ni issue ya kitoto sana kwa Israel. Kipigo watakachokipata magaidi na wafadhili wao watajuta uchokozi wa kitoto walioufanya. Eti makombora yamelenga ndege, ikadondokea Israel, na rubani hajafa au kukamatwa. That alone gives you a clue uwezo wa hawa jamaa. Wakati nyie mnapeleka binadamu forefront kujilipua, wao ni protection ya life ya watu wao kwanza. Hamuoni tafauti?
Huyu Mu Israeli kaja kupambana na Waarabu hapa JF.
 
BABA TATIZO IMANI ZINATIA SANA UPOFU ZINAPUNGUZA UWEZO WA KUFIKIRI,MAANDIKO YANAWAFANYA WATU WAHISI HAWA JAMAA NI KITU CHA AJABU.ILA KUNA WATU HAWAFAI KUCHOKOZWA WALA TU KUPULIZWA NA UPEPO WA KICHOKOZI.NADHA NI UKOSEFU WA HEKIMA NA KUKARIRI MAANDIKO.
Bora ifutwe tu waarabu wa palestina na Jf tuigawe upya mpaka yake bila tabu
 
Kwa nini chief??
HUYU ALINIFANYA NIJUE KWAMBA JEWS NI WATU KAWAIDA SANA TENA DHAIFU NA LAGHAI,WAKUBEBWABEBWA NA WASALITI.ILA ZAIDI NI JINSI ALIVYOWASHUGHULIKIA.KISHA WAO HAWAJUI KWAMBA MRUSI NDIO ALIMZUIA ADUI WAO ASIWAMALIZE,NA SASA WANAMHARIBIA BIASHARA ZAKE PALE SIRIA.SASA HAWA SI PUPPETS TU MKUU.
 
HUYU ALINIFANYA NIJUE KWAMBA JEWS NI WATU KAWAIDA SANA TENA DHAIFU NA LAGHAI,WAKUBEBWABEBWA NA WASALITI.ILA ZAIDI NI JINSI ALIVYOWASHUGHULIKIA.KISHA WAO HAWAJUI KWAMBA MRUSI NDIO ALIMZUIA ADUI WAO ASIWAMALIZE,NA SASA WANAMHARIBIA BIASHARA ZAKE PALE SIRIA.SASA HAWA SI PUPPETS TU MKUU.
Sawa mkuu, kuna kipindi nilikuwa siwafahamu kwa ukaribu hawa wayahudi nilikuwa nawaona kila kitu ila jamii forum imenifungua sana tangu niifahamu kwa kweli nimepata kuyajua hata kama si mengi ila nina uelewa kidogo kuhusu hawa watu
 
Sawa mkuu, kuna kipindi nilikuwa siwafahamu kwa ukaribu hawa wayahudi nilikuwa nawaona kila kitu ila jamii forum imenifungua sana tangu niifahamu kwa kweli nimepata kuyajua hata kama si mengi ila nina uelewa kidogo kuhusu hawa watu
WANAPENDA KUBEBWA MPAKA WANAAMINISHA WATU KWAMBA MUNGU HUANZA KWAO KWANZA,LAKINI NI WATU WANAOISHI KWA SHIDA NA WASIWASI WAKITUMIKA TUMIKA HOVYO HOVYO,ILA NI WABAGUZI NA WALA HAWANA CHOCHOTE.
 
Back
Top Bottom