Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
Ni breaking news,asubuhi na mapema leo drone kutoka syria iliingia anga la golan inayokaliwa na israel,kutafuta waasi wa syria.
Israel wakaitungua,na pia wakashambulia uwanja wa ndege wa T-4 ilipotokea drone.
Syria wakafyatua makombora ya kutungulia ndege na kuipiga ndege ya israel ambayo imeangukia israel japo ruban kapona japo majeruhi.
Israel wanalipa kisasi mida hii wanashambulia damusca na syria wanajibu mapigo kwa kufyatua makombora kuelekea golan.
====================
Ndege vita ya Israeli imeanguka baada ya kutunguliwa na Jeshi la Siria(Syrian Ant-AirCraft) baada ya shambulizi dhidi ya maeneo(Targets) ya Irani ndani ya Siria.
Marubani wa wili waliokuwa ndani ya ndege vita F-16 walifanikiwa kutoka ndani ya ndege na kutua salama kwa parachuti Kaskazini mwa Taifa la Israeli, inasemekana wamefikishwa hospitalini.
Israeli imesema ndege vita F-16 imefanya mashambulizi kadhaa kwa kujibu mapigo kitendo cha Irani kumshambulia Israeli kwa Drone ambayo walifanikiwa kuidhibiti.
Siria wamefanya shambulizi hilo kutokana na kitendo korofi cha Israeli.
Jeshi la Israeli limesema helicopter ya jeshi ilifanikiwa kudhibiti Drone ya Irani iliyosafiri kutoka Siria na kupenya mpaka Israeli.
"Drone hiyo iliingia eneo la Israeli na ikawa mikononi mwetu", Brig Gen Ronen Manelis Msemaji wa Jeshi la Taifa la Israeli (IDF).
Jeshi la Israeli (IDF) limesema kwa kujibu mapigo wakaamua ku-target harakati za Irani(Inasemekana ni military base) ndani ya Siria. Jeshi la Israeli likaendelea kusema mpango uliopangwa kufanyika ndani kabisa ya eneo la Siria umefanikiwa.
Sauti za tafadhali zilisikika kwenye maeneo ya Israeli Kaskazini na kwenye vilima vya Golan kutokana na shambulizi la anga lililofanywa na Siria.
Wakazi wa maeneo karibu na tukio wamesema wamesikia milipuko kadhaa kwenye maeneo karibu na mipaka ya Jordan na Siria.
Chombo cha habari cha Taifa la Siria kimenukuu chanzo cha habari kwa kusema ulinzi wa anga umefanya shambulizi kujibu mapigo kitendo korofi cha Israeli dhidi ya military base siku ya Jumamosi.
Irani na Urusi ni washirika wakubwa wa Raisi wa Siria Bashar AL Assad, ambao mjeshi yao yamekuwa yakipambambana na Waasi tangu 2011 nchini Siria.
11/2017,Usalama wa Magharibi waliiambia BBC kwamba Tehran (Irani) wameanzisha permanent military base nchini Siria.
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameonya kwamba Israeli haitakubali huo mpango kufanikiwa.
Source:Israel jet crashes amid Syrian fire - army
Israel wakaitungua,na pia wakashambulia uwanja wa ndege wa T-4 ilipotokea drone.
Syria wakafyatua makombora ya kutungulia ndege na kuipiga ndege ya israel ambayo imeangukia israel japo ruban kapona japo majeruhi.
Israel wanalipa kisasi mida hii wanashambulia damusca na syria wanajibu mapigo kwa kufyatua makombora kuelekea golan.
====================
Ndege vita ya Israeli imeanguka baada ya kutunguliwa na Jeshi la Siria(Syrian Ant-AirCraft) baada ya shambulizi dhidi ya maeneo(Targets) ya Irani ndani ya Siria.
Marubani wa wili waliokuwa ndani ya ndege vita F-16 walifanikiwa kutoka ndani ya ndege na kutua salama kwa parachuti Kaskazini mwa Taifa la Israeli, inasemekana wamefikishwa hospitalini.
Israeli imesema ndege vita F-16 imefanya mashambulizi kadhaa kwa kujibu mapigo kitendo cha Irani kumshambulia Israeli kwa Drone ambayo walifanikiwa kuidhibiti.
Siria wamefanya shambulizi hilo kutokana na kitendo korofi cha Israeli.
Jeshi la Israeli limesema helicopter ya jeshi ilifanikiwa kudhibiti Drone ya Irani iliyosafiri kutoka Siria na kupenya mpaka Israeli.
"Drone hiyo iliingia eneo la Israeli na ikawa mikononi mwetu", Brig Gen Ronen Manelis Msemaji wa Jeshi la Taifa la Israeli (IDF).
Jeshi la Israeli (IDF) limesema kwa kujibu mapigo wakaamua ku-target harakati za Irani(Inasemekana ni military base) ndani ya Siria. Jeshi la Israeli likaendelea kusema mpango uliopangwa kufanyika ndani kabisa ya eneo la Siria umefanikiwa.
Sauti za tafadhali zilisikika kwenye maeneo ya Israeli Kaskazini na kwenye vilima vya Golan kutokana na shambulizi la anga lililofanywa na Siria.
Wakazi wa maeneo karibu na tukio wamesema wamesikia milipuko kadhaa kwenye maeneo karibu na mipaka ya Jordan na Siria.
Chombo cha habari cha Taifa la Siria kimenukuu chanzo cha habari kwa kusema ulinzi wa anga umefanya shambulizi kujibu mapigo kitendo korofi cha Israeli dhidi ya military base siku ya Jumamosi.
Irani na Urusi ni washirika wakubwa wa Raisi wa Siria Bashar AL Assad, ambao mjeshi yao yamekuwa yakipambambana na Waasi tangu 2011 nchini Siria.
11/2017,Usalama wa Magharibi waliiambia BBC kwamba Tehran (Irani) wameanzisha permanent military base nchini Siria.
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameonya kwamba Israeli haitakubali huo mpango kufanikiwa.
Source:Israel jet crashes amid Syrian fire - army