Syria watungua ndege ya Israel

Syria watungua ndege ya Israel

Naona uzi umekua wako mkuu, unaleta update kuliko alieleta uzi, unaonekana umeumia sana mkuu, poleni bana ndio maisha, ata tajiri anapata misukosuko mda mwingne mkuu, hahahahah
Hakuma mwenye hati miliki na Uzi mkuu, Hatuwezi kupata marifa tukikwazana kama vile tupo kwenye siasa za mwendo kasi!,
update kuhusu hizi ndege ni muhimu sana maana ni moja wapo ya tegemeo la U.S. zipo nyingi sana kwenye kambi zao na ni za ghali sana kama zimesha anza kudunguliwa ni hatari sana maana nyingine wana zi upgrade to hazina tofauti kubwa sana !! hii F-16 kwa ubora wake imepewa majina kibao ya sifa mara nyoka wa Angani!!
 
Hezbollah na Israeli vita yao huwa inapoa tuu miaka kadhaa wanaanzisha tena..nakumbuka ishu ya Hezbollah kugoma kutoa maiti moja ya mwanajeshi wa Israel mpaka Israel alianzisha vita ili kupata hiyo maiti wapi hakufanikiwa wanajeshi wa Israel na Hezbollah walikufa wengi tuu mpaka wakaamua kusitisha vita watoe maiti na wao wapewe mateka walio jela nadhani vita yao haiishi leo wala kesho...
 
Ndo nimeona hii ase, tatizo ni kuwa huyu mu Israel asije kulikuza hili likawa kubwa kuliko..
Amempuliza mbwa kwenye makalio sasa zita dunguliwa kama njiwa hadi sasa Israel amesha kunja mkia kama mbwa muoga !!!
kama Syria amedungua 2 au moja lazima ata dungua nyingine !!
 
Wameisha ona mchezo wa Syria kuwawachia kila mara umeisha. Mchezo wa zamani umeisha, piga Syria afu wakuwachie the game is over. Israel hajui lugha isipokuwa ya nguvu. Hasubuti tena kwenda kushanbulia Syria.
Usicheze na Israeli wewe...wale jamaa kwenye ulinzi wa Taifa lao achana nao kabisa. Nakuhakikishia haifiki mwezi wa 6 watashambulia tena Syria. Hifadhi hii comment utaikumbuka.
 
Habari zinasema israel imeshambulia target 12 ndani ya syria,akitarget majeshi ya iran,watakua wana maanisha hezbollah,
uwanja wa ndege wa israel Ben gurion umefungwa kwa kuhofia mashambulizi ya makombora toka syria,
Netanyau yuko IDF HQ kujadiliana na makamanda kuhusu masahibu yaliyowakuta kufuatia uchokozi wa syria kutungua ndege yao,
Watalipiza x100
 
Hezbollah na Israeli vita yao huwa inapoa tuu miaka kadhaa wanaanzisha tena..nakumbuka ishu ya Hezbollah kugoma kutoa maiti moja ya mwanajeshi wa Israel mpaka Israel alianzisha vita ili kupata hiyo maiti wapi hakufanikiwa wanajeshi wa Israel na Hezbollah walikufa wengi tuu mpaka wakaamua kusitisha vita watoe maiti na wao wapewe mateka walio jela nadhani vita yao haiishi leo wala kesho...
Mnazalisha maiti zaidi kwa kugombea maiti moja! Ujinga!
 
Hii ni issue ya kitoto sana kwa Israel. Kipigo watakachokipata magaidi na wafadhili wao watajuta uchokozi wa kitoto walioufanya. Eti makombora yamelenga ndege, ikadondokea Israel, na rubani hajafa au kukamatwa. That alone gives you a clue uwezo wa hawa jamaa. Wakati nyie mnapeleka binadamu forefront kujilipua, wao ni protection ya life ya watu wao kwanza. Hamuoni tafauti?
Ujumbe mzito
 
Umeona mrejesho wa Israel au bado? Wanajeshi wao wawili walipona ila kipigo alichopewa Syria wanasema hakijatokea kwa miaka 30 iliyopita. Mshindi nani?
Habari njema sana hii. Tupe source Mkuu. Ok, are here

Source 01: Israel Strikes Iran in Syria and Loses a Jet
Source 02: Analysis | Israel has taken its biggest step into the Syrian war yet. What does that mean?
Source 03: A Potentially Dangerous Door Opens in Syria as Israel Launches Massive Strike After Its Jet Is Shot Down

Naona magaidi na wafadhili wao wanalishwa kinyesi chao sawia na wanakibugia kwa fujo kweli kweli manina zao! Walonywa mapema wasicheze na "mato" hawakuelewa. Cc: Elungata Nalendwa ze kokuyo niah

***************

Israel says it has inflicted huge damage on Syrian air defences after one of its fighter jets was brought down during a raid over Syria.

The response was the "most significant attack" of its kind against Syria since the 1982 Lebanon war, said senior Israeli air force general Tomer Bar.

The F-16 jet went down during a mission that followed an Iranian drone launch into Israeli territory, Israel says.

The two pilots parachuted to safety before the crash in northern Israel.

Israel says it responded with a second wave of strikes on both Syrian and Iranian military targets operating inside Syria.

Israeli air strikes in Syria are not unusual, BBC Middle East correspondent Tom Bateman says, but the loss of an Israeli fighter jet marks a serious escalation.
 
Halafu hizi habari alizotangaza israel kuwa ameshambulia maeneo 12 na Military base 4 za iran pamoja na airdefence system baada ya ndege yao kudunguliwa nahisi ni uongo make nimefuatilia kwenye media hakuna hiyo habari....nahisi wanatoa hiyo habari kujikosha tu na kipigo cha jana na huenda marubani wao kadhaa walikufa
 
Back
Top Bottom