Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,962
Kuna kitu inaitwa S 500 hata THAAD haoni ndani.Hizi F-16 ndio pro-US huwa wanazisifia humu.
Sasa kama Syria kaziangusha kilaini namna hiyo, vipi zikisogelea air defense system ya Putin?
F-35 inadunguliwa kama kawa. Russia wahuni sana