popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,622
Unapigwa kwa target halafu wewe unajibu kwa kuvurumisha hovyo makombora,Ni breaking news,asubuhi na mapema leo drone kutoka syria iliingia anga la golan inayokaliwa na israel,kutafuta waasi wa syria.
Israel wakaitungua,na pia wakashambulia uwanja wa ndege wa T-4 ilipotokea drone.
Syria wakafyatua makombora ya kutungulia ndege na kuipiga ndege ya israel ambayo imeangukia israel japo ruban kapona japo majeruhi.
Israel wanalipa kisasi mida hii wanashambulia damusca na syria wanajibu mapigo kwa kufyatua makombora kuelekea golan,
developing story
Ukiitwa muoga unakataa,
Waarabu bana