fatmanuria
JF-Expert Member
- Aug 26, 2017
- 440
- 701
Nataka nijuue hcho kipigo walichompa syria mbona habar yake siion zaid ya hzo picha za tukio la jana
Kumbe umepona ....pole sanaOooh umepona?[emoji13] [emoji13]
Mm mwenyewe bbc sijaona sasa sijui ni bbc ya kwa mtogole anasemeaNimeisoma yote mpk mwisho ....mkuu ingetokea ungeona media zote zimeandikwa na wanaelezea ila mpk sasa sijaona hcho kitu kwenye cnn .bbc .aljazira kote
Mkuu hayo yote yamefanyika jana Wala sio leo.Tena ni muda mfupi tu baada ya Netanyahu kuitisha kikao na wakuu wake wa Usalama.Sasa huon kama hyo habar ni yajana na hyo ndege ni ile ya israel iliyoangushwa jana na syria
Hahahahha.. ...hata mimi naona hvyo mkuuMm mwenyewe bbc sijaona sasa sijui ni bbc ya kwa mtogole anasemea
Ingia Google andika "Israel strike Syria" utaona habari toka kwenye vyombo vingi vya kimataifa utachagua usome ipiMm mwenyewe bbc sijaona sasa sijui ni bbc ya kwa mtogole anasemea
Hahahahha.. ...hata mimi naona hvyo mkuu
Yan hapa tatizo lote ninakuja ni kwenye uelewa wa kutafsir neno kutoka kwenye lugha pendwa mpk lugha yetu yakiswahili
Hiyo habari ni ya jana Wala sio leo.Mm mwenyewe bbc sijaona sasa sijui ni bbc ya kwa mtogole anasemea
Bombardier ni jina gum sana tata kwa sasa !!
Ok bac tunataka hzo picha la tukio kama tulivyoona picha za tukio la syria walivyoangusha ndege na pia tukio la israel kuwapa kichapo syria ambacho hawajawahi kukipata tangu miaka hyo waliyotaja zionekaneHiyo habari ni ya jana Wala sio leo.
Babu yangu alikuwa nalo nikaona la nini sasa hili nikalirudisha polisi nikawambia ninaunga mkono shughuli za fulani wambie U.S. F-16 haina kazi tena mkuu ilisifiwa sana !![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Gobore tena[emoji2]
Ndo maana hata BBC wametumia hizi '.......' kwenye sentence kwa sababu hawana uhakika na habari imetoka upande mmoja tu wa IDF bila upande wa pili.Ok bac tunataka hzo picha la tukio kama tulivyoona picha za tukio la syria walivyoangusha ndege na pia tukio la israel kuwapa kichapo syria ambacho hawajawahi kukipata tangu miaka hyo waliyotaja zionekane
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] Ila jana hiyohiyo F-16 ilirudisha mashambulizi tena ipasavyoBabu yangu alikuwa nalo nikaona la nini sasa hili nikalirudisha polisi nikawambia ninaunga mkono shughuli za fulani wambie U.S. F-16 haina kazi tena mkuu ilisifiwa sana !!
Trump kamwambia aseme hivyo hawa jamaa ni hatari sana kwa mkwara kama una picha yake apo lazima alikuwa amenyonga Tai moja matata maana bila kuonyonga Tai huwa hawawezagi kusema hayo maneno !!Yale yale Nilikuwa nauliza, huyu jamaa kiboko kashafanya yake kurudisha mapigo ya F-16 moja..
"The response was the "most significant attack" of its kind against Syria since the 1982 Lebanon war, said senior Israeli air force general Tomer Bar.."
Hapo kama mtu akili inachemka ndo utajua kama ni propaganda mana toka lin tukio litokee wasionyesheNdo maana hata BBC wametumia hizi '.......' kwenye sentence kwa sababu hawana uhakika na habari imetoka upande mmoja tu wa IDF bila upande wa pili.
Idf lazima wajikoshe maana hawakutegemea lililowakuta kama lingewezekanaNdo maana hata BBC wametumia hizi '.......' kwenye sentence kwa sababu hawana uhakika na habari imetoka upande mmoja tu wa IDF bila upande wa pili.
Tena tukio liwahusu waarabuHapo kama mtu akili inachemka ndo utajua kama ni propaganda mana toka lin tukio litokee wasionyeshe
Mkuu hiyo ndio AK47 hawana nyingine inayoweza mpiku F-16 ila ukweli ni kwamba lazima itadunguliwa tena ![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] Ila jana hiyohiyo F-16 ilirudisha mashambulizi tena ipasavyo
Sasa hv wana F-35Mkuu hiyo ndio AK47 hawana nyingine inayoweza mpiku F-16 ila ukweli ni kwamba lazima itadunguliwa tena !
Ni kweli na kitendo cha kudunguliwa ndio kinawaumiza sana hawa jamaa hawata sahau milele na zitaendelea kudunguliwa !!Niliposema "unaleta update kuliko mleta uzi" kuna kitu nimemaanisha, soma vizuri utanielewa wala sijamkwanza mtu, kuna kitu anajaribu kutuonesha, anajaribu kutetea taifa flani
By the way tuachane na hayo Kuna mtu anakwambia hizo ndege zimepitwa na wakati,..! zimepitwa na wakati halafu bado ziko kwenye uwanja wa vita kufanya nini..?, Pro US/Israel ndio wanasema zimepitwa na wakati, na leo ndio wamejua zimepitwa na wakati baada ya kua shot down..! , ndege zilizopitwa na wakati zimestafishwa tayari haziko kwenye vita..!!
Wakubali tu Syria jana kawaotea, japokua wanamshushia makombora kupunguza hasira