ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
Mkuu hizo 4th generation fighter jets zishapitwa na wakati,sasa hivi kila nchi kubwa inahamia kwenye 5th generation ambazo ni stealth,zinaweza kusupercruise bila kutumia afterburner (kwa sasa yenye uwezo huu ni F22 tu ya Mmarekani),zinakua na mfumo wa hali ya juu wa jamming,nk.Role Multirole fighter, air superiority fighter
National origin United States
Manufacturer General Dynamics
Lockheed Martin
First flight 20 January 1974
Introduction 17 August 1978
Status In service
Primary users United States Air Force
25 other users (see operators page)
Produced 1973–2017, 2019–[1]
Number built 4,573 (July 2016)[2]
Unit cost
F-16A/B: US$14.6 million(1998)[3]
F-16C/D: US$18.8 million(1998)[3]
Variants General Dynamics F-16 VISTA
Developed into Vought Model 1600
General Dynamics F-16XL
Mitsubishi F-2
Mkuu hii kitu kumbe ni pesa nyingi sana na ina mbwembwe nyingi sana dah kwaiyo zikidunguliwa mbili tu ni cash ya maana !!! kweli kila kitu na zama zake hii kitu ilitamba sana Iraq !!!!!
nadhani sasa itakiwa inarushwa kwa kuvizia maana mlenga shabaha kuwa akiweza mara moja lazima aweze mara ya pili na ya tatu
View attachment 693622
single seat dah lazima wakune kichwa leo !!!
ila ujuwe sisi wa Africa tupo na mungu wao wapo na technology lazima wale wa Africa wanaotaka kufukuzwa huko Israel dua zao zimeanza kufanya kazi au !
Mfano wa 5th generation kwa sasa ambazo zipo kazini
1.F22 Raptor imeanza tangu 2005 (USA)
2.F35A Joint strike imeanza 2017 (USA)
3. J20 imeanza mwaka 2018 (China)
Ambazo zipo kwenye majaribio ni Su-57 ya Mrusi inatarajiwa kuanza kazi 2019/20.
Pia F35B bado ipo kwenye majaribio.
Nchi zenye project zao wenyewe za hizo 5th gen ni pamoja na Japan,South Korea, Turkey,India(wakishirikiana na Russia),nk.