porojo hizo za kujikosha baada ya aibu kuuVijana wa Netanyahu wamerudisha mapigo mpaka kwenye Iran Military targets ndani ya Syria.
Hope this won't escalate..
huoni kama zimedungua mbili janaIran anajiingiza kichwa kichwa; anazidi kukuza mgogoro bila sababu. Anyway, hebu tuone hizo projects zake za kujenga air bases huko Syria zitaishia wapi.
Syria imekua ikishindwa kutungua hizo hizo ndege unaziita za 1970's kwa miaka mingi...[emoji23] yani kutungua ndege ya miaka ya 1970 ni kitu Cha kujisifu kweli!!!! Tena hiyo ndege imekua ikishambulia Mara kwa Mara...Halafu mnajisifu wakati ndege moja imeirushia makombora 10 utafikiri mlikua mnaua Simba vile
Haya tufanye Israeli wamepigwa vibaya sana,yaani wamechakazwa balaaporojo hizo za kujikosha baada ya aibu kuu
Mbona hata ile ya Urusi iliyotunguliwa juzi na waasi wa Syria ilikua hot kwenye vyombo vyote vikubwa!!!!Syria imekua ikishindwa kutungua hizo hizo ndege unaziita za 1970's kwa miaka mingi...
Kuitungua kumeishtua Israel na kunewatia hari zaidi hao Syria,Hezbollah etc...Jeshi la Israel lazima linatafakari namna ya kulinda Rubani wake na ndege zake kama ikithibitika kabisa kuwa Syria 100% wanaweza angusha ndege zao...
Hii habari ndo maana imekua hot kwenye vyombo vyote vikubwa vya habari vikikaribisha wachambuzi kuangalia mstakabali mpya wa mashariki ya kati...
Usichukulie kiushabikishabiki tu
Uzuri wake jamaa hua hawacheleweshagi, yani ukiwazingua tu mida hiyohiyo wanalipiza. Nimeingia Haarez na Sputnik wametoa video inayoonyesha wakishambulia ile base ya Iran.
Iran anajiingiza kichwa kichwa; anazidi kukuza mgogoro bila sababu. Anyway, hebu tuone hizo projects zake za kujenga air bases huko Syria zitaishia wapi.
porojo hizo za kujikosha baada ya aibu kuu
Hamna cha ajabu kwako tu...lkn Israel ni kitu cha ajabu na lazima watakua wanajipanga...na ndo maana wanalipiza mashambulizi kwa ukali ili kuwapa onyo Syria na Iran....Netanyahu kaita press conference,Netanyahu kampigia Tellerson,Kampigia Putin...Israel pia hapo jana amewasilisha ombi baraza la usalama umoja wa mataifa ili waikanye Iran..sababu Iran ndo iliyokuwa source ya hiyo Incidence, huko Lebanon watu wameandamana kushangilia utunguaji wa Ndege.Then huoni kwamba kunakitu kikubwa sana kimetokea....???Israel inataka iwe dormint middle east..ni kwa ajili ya usalama wake......Mbona hata ile ya Urusi iliyotunguliwa juzi na waasi wa Syria ilikua hot kwenye vyombo vyote vikubwa!!!!
Hapo hakuna chochote Cha ajabu maana ni kawaida.
Mkuu hii habar ni ya jana ungeifungua kwanza ukasoma kilichoandikwa ndan ndo ungeelewa nimeshindwa jinsi yakuileta humu nilivyoifungua ukiifungua ndani inaelezea kichapo walichopata israel kutunguliwa ndege yao haikuwaitoke toka mwaka huo tajwa hapo juu![]()
Ingia hata Sputnik Ile ya Urusi. Hiyo habari utaikuta.
Embu isome vizuri Mkuu acha ubishiMkuu hii habar ni ya jana ungeifungua kwanza ukasoma kilichoandikwa ndan ndo ungeelewa nimeshindwa jinsi yakuileta humu nilivyoifungua ukiifungua ndani inaelezea kichapo walichopata israel kutunguliwa ndege yao haikuwaitoke toka mwaka huo tajwa hapo juu
Hahahaha nilipitia mara 3 Nikasema huyu jamaa aoni F-16 inakwenda kupumzishwa licha ya kuwa ndege muhimu kwenye vita yani haina tofauti na Ak47 kwenye !! ila kwa sasa inakwenda kuwa gobore!Hahahaha....acha tu maana fundi25 nusura anipandie Bombardier anifate nilipo
Nimeisoma yote mpk mwisho ....mkuu ingetokea ungeona media zote zimeandikwa na wanaelezea ila mpk sasa sijaona hcho kitu kwenye cnn .bbc .aljazira koteEmbu isome vizuri Mkuu acha ubishi
Kumchokoza Israel hutabaki salamaUmeona mrejesho wa Israel au bado? Wanajeshi wao wawili walipona ila kipigo alichopewa Syria wanasema hakijatokea kwa miaka 30 iliyopita. Mshindi nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Gobore tena[emoji2]Hahahaha nilipitia mara 3 Nikasema huyu jamaa aoni F-16 inakwenda kupumzishwa baada licha ya kuwa ndege muhimu kwenye vita yani haina tofauti na Ak47 kwenye !! ila kwa sasa inakwenda kuwa gobore!
Nimeisoma yote mpk mwisho ....mkuu ingetokea ungeona media zote zimeandikwa na wanaelezea ila mpk sasa sijaona hcho kitu kwenye cnn .bbc .aljazira kote
Oooh umepona?[emoji13] [emoji13]Mgonjwa ni wewe mkuu
Sasa huon kama hyo habar ni yajana na hyo ndege ni ile ya israel iliyoangushwa jana na syria