ayrib sevad
Member
- Dec 8, 2017
- 5
- 8
Ni breaking news,asubuhi na mapema leo drone kutoka syria iliingia anga la golan inayokaliwa na israel,kutafuta waasi wa syria.
Israel wakaitungua,na pia wakashambulia uwanja wa ndege wa T-4 ilipotokea drone.
Syria wakafyatua makombora ya kutungulia ndege na kuipiga ndege ya israel ambayo imeangukia israel japo ruban kapona japo majeruhi.
Israel wanalipa kisasi mida hii wanashambulia damusca na syria wanajibu mapigo kwa kufyatua makombora kuelekea golan,
developing story
Nadhani Nchi Kama Israel Kuisambaratisha Syria itatumia Mda wa Masaa Matano 5 hrs, Sawa Na Asilimia 30%, Ya Mda ilioutumia Mwaka 1967 Kuzisambaratisha Nchi za Jumuia ya Kiarabu Zilizoungana Pamoja Kuwapiga Mafundi Hao Wa Technology DUNIANI na Kupelekea Kulifanya Taifa la Palestina Kuwa Watu wasio na Makao Maalumu, Watumwa na Wakimbizi Mpaka Hivi Leo,
Nadhani Kitakachoifanya Israel isifanye yale iliyoyafanya 1967 Ni Jumuia ya Umoja wa maTaifa na Dunia Kiujumla Itasema Nini, Ukizingatia Mzozo wa Mashariki Ya Kati bado Haujapatiwa Ufumbuzi.
Unadhani Marekeni KuwAkumbatia Hawa Jamaa ni Kwa Sababu gani, Hawa wayahudi walikuwa na Na Nini cha Kumpa Marekeni Mpaka awabebe Kiasi Hiki?
Ikumbukwe pia Israel ndo Nchi Pekee ambayo Raia wake Wote ni Wanajeshi Bila kujali jinsia. Mafunzo ambayo kwa Mwanaume ni Miezi 30 Kambini Huku Wanawake ni 24.
Mrusi nae Ni Namna ya Kumtafuta Marekeni wala siyo Israeli Kama wanavyosema.