Syria watungua ndege ya Israel

Syria watungua ndege ya Israel

Mi huu mgogoro hata siuelewagi naona nyota nyota tu
 
Hii ni issue ya kitoto sana kwa Israel. Kipigo watakachokipata magaidi na wafadhili wao watajuta uchokozi wa kitoto walioufanya. Eti makombora yamelenga ndege, ikadondokea Israel, na rubani hajafa au kukamatwa. That alone gives you a clue uwezo wa hawa jamaa. Wakati nyie mnapeleka binadamu forefront kujilipua, wao ni protection ya life ya watu wao kwanza. Hamuoni tafauti?

Mkuu usisahau kuwa vita usidharau unaaepigana nae, hao Israelí walipelekwa mchaka mchaka na Hizbullah mpaka wakaamua kushambulia mji mkuu wa Lebanon ilhali wanajua kuwa mahasimu wao wanapatikana kwenye maeneo ya kusini mwa Lebanon kwenye mpaka na Israel.... Vita havitabiriki , omba salama TU
 
Habari ambayo haipo youtube nachukulia kama ni habari ya kizushi
 
Not confirmed but nasikia msemaji wa jeshi la israel kasema kwasasa yameisha,
yaani operation zao syria kwa leo zimeisha,sasa sijui anataka kudeesclate ili isiwe fullblown war maana hakuna aliejiandaa kuwa syria watatungua ndege ya israel,
wamesema wanastudy how to respond,
wakati huo vituo vya hezbollah nchini syria na lebanon viko on full alert wakitegemea mda wowote kitawaka,
baada ya israel kufanya mashambulizi asubuhi baada ya ndege kuangushwa ,hivi sasa hali ni shwari,
nishasema siku nyingi tabia ya israel kushambulia syria kila mara wanapotaka kupasha moto injini za ndege kuna siku itawatokea puani,
kwani syria amekuwa akisoma mcxhezo na kujifunza taratibu,
hivi sasa syria inaqualify kuitwa ina jeshi ambalo ni battle hardened,kwa miaka 7 mfululizo jeshi la syria linapigana usiku na mchana katika frontline karibu kumi na maadui tofauti tofauti,washakua sugu na wamegain exprience,hamna amount ya mashambulizi ya makombora itawatia kiwewe,wameshakuwa sugu,
na sasa wameanza kuperfect namna ya kudungua makombora ya israel,nasikia hata shambulizi la pili la israel,makombora mengi yamedunguliwa na hayakuhit target,hiyo ni dalili kuwa siku za mbele itabidi israel asitishe mashambulizi yake yasiyo na sababu katika syria ama warisk fullscale war.

DVpocsJVoAAWzDF.jpg:small
.
Eneo ndege ilipoangukia baada ya kutunguliwa mapema leo asubuhi
 
Hii ni issue ya kitoto sana kwa Israel. Kipigo watakachokipata magaidi na wafadhili wao watajuta uchokozi wa kitoto walioufanya. Eti makombora yamelenga ndege, ikadondokea Israel, na rubani hajafa au kukamatwa. That alone gives you a clue uwezo wa hawa jamaa. Wakati nyie mnapeleka binadamu forefront kujilipua, wao ni protection ya life ya watu wao kwanza. Hamuoni tafauti?
Ndo umeongea nn sasa?
 
Hii ni picha imepigwa syria 5olan ikionyesha raia wa syria wakiangalia mabaki ya ndege ya israel iliyotunguliwa leo.
Picha ya kwanza hapo juu ni mabaki ya ndege hiyo yakiwaka moto ndani ya israel.

Syria wanadai wamedodosha zaidi ya ndege moja,lakini bado haijawa confirmed.

DVqN4ztVMAM8gkk.jpg:small
 
Israel ni wachumba tu. Nasasa kuitwa mji wa bwana itakuwa mwisho.
 
Syria na Israel hawajah kusaini mkataba wamakubaliano ya Aman.. Wataendeleaga kuzichapa ivi ivi
 
Taarifa zisizo rasmi zinasema syria walitumia makombora 10 ya ulinzi wa anga,kudungua ndege 2 za F-16 na helcopter moja,Apache na makombora 5 ya israel.
Taarifa kutoka source ndani ya israel defence zinasema israel is in disarray,sijui kudisarray no nini au wamepanick au kuchachawa sijui,

wanadai Russia imewazunguka na kuplot na syria na iran,kuiangusha ndege yao
 
Taarifa zisizo rasmi zinasema syria walitumia makombora 10 ya ulinzi wa anga,kudungua ndege 2 za F-16 na helcopter moja,Apache na makombora 5 ya israel.
Taarifa kutoka source ndani ya israel defence zinasema israel is in disarray,sijui kudisarray no nini au wamepanick au kuchachawa sijui,

wanadai Russia imewazunguka na kuplot na syria na iran,kuiangusha ndege yao


disarray: a state of disorganization or untidiness.
 
Hii ni issue ya kitoto sana kwa Israel. Kipigo watakachokipata magaidi na wafadhili wao watajuta uchokozi wa kitoto walioufanya. Eti makombora yamelenga ndege, ikadondokea Israel, na rubani hajafa au kukamatwa. That alone gives you a clue uwezo wa hawa jamaa. Wakati nyie mnapeleka binadamu forefront kujilipua, wao ni protection ya life ya watu wao kwanza. Hamuoni tafauti?
Ahahahaaa jamani shidaaaa!!!! Kuna jamaa amecoment humu ndani kuwa ngoje waje waisrael na waarabu wa jf waanzishe vita yao humu jf nikampa like kumbe ni kweli kabisa we wa kwanza mkuu,,, ahahahaaa
 
Back
Top Bottom