Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Leo nimefurahi sana maana Mwanakijiji kauliza maswali yangu yote niliyokwisha yauliza humu JF, kumbe viongozi wa CHADEMA wako kisasa zaidi, amenijibu hata lile nililolieleza katika post yangu kwamba sio kila mtu anauwezo wa kupiga picha nzuri naona pia amelitolea ufafanuzi.

Pia katika mahojiano haya nimefurahi sana kusikia kuwa anatembea la laptop na kupata habari na kero zinazotolewa humu kwa wakati.

Bigup Mwanakijiji.
 
MMKthanks
but sijasikia maelezo ya Dr kuhusu tarime. clip imeisha kwa dowans symbion
 
Nafarijika sana pale anapokuwa mkweli hata kwa kukubali madhaifu yaliyojitokeza, lakini bila kusita kuomba radhi na kuahidi kurekebisha.....! Huu ndio uongozi unaohitajika popote duniani.....! Thanks a lot...!
 
Nimemsikiliza kwa makini Dr. Slaa, inaoneka Chadema wamewasikiliza na kuzingatia maoni yanayotolea na wana JF kuhusu kitengo chao cha mawasiliano/ habari. Kwa mujibu wa Dr. Slaa, CHADEMA wako kwenye mkakati mkali wa ku-revamp kitengo chao hicho.
Wana-JF wamekuwa wakipiga kelele kwa kukosa habari pamoja na picha pale CHADEMA wanapokuwa wanafanya maandamano na hata mikutano yao.

Kama sijakosea, Dr. Slaa ameahidi kuwa kuna kitu wanakiandaa ambacho hakijafanyika Afrika. Hakupenda kukitaja, tusubiri.
 
Mkuu Mwanakijiji,
Ningekushauri unapokuwa unafanya mahojiano kama haya, ingekuwa vyema una-shut down instant messengers. Maana mtu anapo-sign-in anasikika.
 
Mwanakijiji.
Nimesikiliza mahojiano yako na Dr. Slaa hadi mwisho. Cha kushangaza, hakuna sehemu ambayo Dr. Slaa amezungumzia mauaji ya Nyamongo kama maelezo yako yalivyosema. Je hicho kipande utakiweka hapa?
 
Kampuni ya Symbion Power katika mchakato wa kufua na kugawa umeme Wafanyakazi wa Symbion Power wakiwa katika mazoezi wakati wa mafunzo ya utaalamu wa umeme kwenye chuo cha kampuni hiyo ya kufua umeme toka Marekani Kilichopo mkoani Morogoro kwa kushirikiana na kampuni ya Pike. Kabla hata ya kununua mtambo wa Dowans kampuni hiyo ilikuwa inatoa mafunzo kwa wafanyakazi wake, na imepeleka watatu huko Idaho, Marekani, kupata mafunzo ya juu ili kuja kuwafundisha wenzao hapa nyumbani Tizi la kuning'inia kwenye nguzo za umeme Mafunzo ya kusimika nguzo za umeme Mafunzo ya kuweka nyenzo za umeme kwenye nguzo Mtaalamu wa kampuni hiyo akiwapa maelezo kundi la wanahabari lililozuru chuo hicho mjini Morogoro Jumatatu Dada Agnes ni mwanamama wa kwanza wa kampuni hiyo kupata mafunzo ya Symbion/Pike Dada Agnes katika mafunzo

Symbion Power

Symbion ni Shirika la uhandisi la kimataifa na ni wakandarasi wenye mbinu za kipekee katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya Umeme. Ikiwa na dhamira thabiti ya kuiwezesha jamii husika, Symbioni inaunganisha maarifa na ujuzi katika kufanikisha kazi zake katika mazingira yenye changamoto kubwa za ujenzi duniani.
Shirika la Symbion lilianzishwa mwaka 2005 kwa ajili ya kuunda, kununua na kujenga miundombinu ya Umeme iitwayo Turnkey ambayo kwa lugha ya kitaaluma hujumuisha njia za Umeme yaani Transmission lines, Substations, Switchyards na thermal power plant.
Hii ni kweli ama kujisafisha kwake baada ya kununua mitambo ya Dowans
 

Attachments

  • IMG_6182.jpg
    IMG_6182.jpg
    29.8 KB · Views: 44
  • IMG_6220.jpg
    IMG_6220.jpg
    19.8 KB · Views: 46
  • IMG_6180.jpg
    IMG_6180.jpg
    40 KB · Views: 40
Nadhani sasa utakubali kuwa alihusisha sheria ya serikali Za mitaa na sheria za serkali kuu kuhusu mamlaka na kuondolewa kwa rais madarakani kwa kutumia ibara ya nane ya katiba ya jamhuri.
 
Back
Top Bottom