Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Kwa nini inakuwa ngumu kwa TANESCO ambalo ni shirika la serikali kununua mitambo yake badala ya kutegemea umeme wa kuuziwa na kina dowans?
 
But still, what exactly is your point, bro? Lets say, okay, Symbion Power watazalisha hizo 120MW (and ultimately up to 130MW as per PP agreement with Tanesco.) And then what happens next? Please be more specific as to elaborate the kind of post-scenario(s) you're trying to allude to in your post.

Heee Tayariiiiiiiii?
 
Mheshimiwa Makamba,
Nimepokea habari za ubadilishanaji wa mitambo ya kuzalisha umeme kati ya Symbion power na Dowans ambao una baraka za serikali ya Tanzania na ya America kwani MCC imetajwa huko katikati, pia wakati wa mkutano wa utambulisho kwa waandishi wa habari, afisa ubalozi wa America alikuwaepo kuiwakilisha serikali yake.
Hili ni jambo zuri haswa kama itawezesha mitambo hiyo kufanya kazi na kutupunguzia adha tunayoipata sisi wazalishaji.
Pia nina imani serikali yetu isingeshindwa kulipa $120M inazodaiwa kulipwa na Symbion. Anyway hivyo ndivyo tulivyo, mara nyingi tukekuwa hatujui lipi bora kwa uchumi wetu na watu wetu. Hayo yote ni biashara ukisinzia wenzio wanachukua nafasi.
Anyway, hilo silo langu. Langu mimi ni kutaka kusisitiza kuwa mabadilishano kama hayo lazima yalipewe kodi ya mapato. Sina uhakika sheria inasemaje, lakini kama haisemi hivyo hayo ni mapungufu.
Mfano mimi niliuza gari, mteja wangu alipohitaji kubadili umiliki alitakiwa kulipa kodi ya mapato na alilipa.
Nakupa mfano mwengine wa kampuni iliyotafiti mafuta Uganda ilipoyapata ilitaka kuuza vile visima kwa kampuni nyingine, Rais Museveni alikuwa muwazi kabisa akawaambia lazima walipe kodi kutokana na mapato ya mauzo hayo.
Nadhani hata katika mauzo haya ni lazima serikali idai kodi ya mapato.
 
Kwa nini inakuwa ngumu kwa TANESCO ambalo ni shirika la serikali kununua mitambo yake badala ya kutegemea umeme wa kuuziwa na kina dowans?

Tanesco wizi mtupu, au huyajui mashirika ya umma? kwani yote yamekufa kwa nini? si ufisadi wa wafanyakazi wa hayo mashirika.
 
Nimepata nafasi ya kuzungumza na Dr. Slaa siku ya Jumapili juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea nchini na hasa juu ya ziara waliyomaliza huko Nyanda za Juu Kusini. Pamoja na mengine mengi nilitaka ufafanuzi wa kauli yake juu ya kuondolewa kwa uongozi kabla ya muda kuisha na sakata ambalo wakati ule lilikuwa tayari limeshaanza kufukuka huko Nyamongo, Tarime. Mahojiano hayo yatarushwa kwenye posti hii muda si mrefu ujao.

Jaribu kudownload au kusikiliza kutokana na limitation ya bandwidth kuna limited number ya watu wanaoweza kudownload kwa siku; so first come, first get..


http://www.box.net/shared/2c846ggjb7
 
Last edited by a moderator:
tunaingoja hii kitu ili tujue mstakabalina kitu gani kinafuata badae,na huko tarime hali ipoje ipoje sasa hivi yani. i hope makamanda wetu ni wazima
 
Mbona unamuuliza maswali ya kumpa ujiko? halafu kama unamsaidia kumalizia majibu?

Ulisahau kumuuliza kuhusu mshahara wake au ulifanya makusudi?
 
Mbona unamuuliza maswali ya kumpa ujiko? halafu kama unamsaidia kumalizia majibu?

Ulisahau kumuuliza kuhusu mshahara wake au ulifanya makusudi?

mshahara wake unanihusu nini? mbona majibu yalishatolewa sehemu nyingine au ulitaka nirudie for the sake of kurudia; na ningeuliza hilo ungesema "mbona hujauliza kuhusu x,y"... wengine wanaweza kumtafuta kumuuliza yote ambayo mimi sikuwa na interests nayo kuuliza.
 
Nimepata nafasi ya kuzungumza na Dr. Slaa siku ya Jumapili juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea nchini na hasa juu ya ziara waliyomaliza huko Nyanda za Juu Kusini. Pamoja na mengine mengi nilitaka ufafanuzi wa kauli yake juu ya kuondolewa kwa uongozi kabla ya muda kuisha na sakata ambalo wakati ule lilikuwa tayari limeshaanza kufukuka huko Nyamongo, Tarime. Mahojiano hayo yatarushwa kwenye posti hii muda si mrefu ujao.

Jaribu kudownload au kusikiliza kutokana na limitation ya bandwidth kuna limited number ya watu wanaoweza kudownload kwa siku; so first come, first get..

SIKILIZA HAPA
Ahasante mwanakijiji kwa mahojiano haya muhimu. Hotuba haifiki mwisho, au technology haijakomaa kwa mimi. Nimesikiliza lakini ikaishia njiani. What next plse, if any
 
mshahara wake unanihusu nini? mbona majibu yalishatolewa sehemu nyingine au ulitaka nirudie for the sake of kurudia; na ningeuliza hilo ungesema "mbona hujauliza kuhusu x,y"... wengine wanaweza kumtafuta kumuuliza yote ambayo mimi sikuwa na interests nayo kuuliza.

Mkuu sio lazima umjibu kila mpuuzi kwa maswali ya kipuuzi yasiokuwa na tija.
 
Nice MKJJ!
nIMEPATA baadhi ya majibu ya maswali ambayo nilikuwa nina hamu kuyajua!
 
Back
Top Bottom