Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Hii kampuni imeonyesha biashara na tender zinavyotakiwa kufanyika.

1. Wamesema bei walionunulia mitambo

2. Wamesema bei ya umeme watakayoiuzia Tanesco. Marekani hapa wastani wa bei ya umeme kwa Kwh tunalipa USD 12 Cents na hawa jamaa wamesema rate ni USD 4.99 Cents kwa gas na 6.5 Cents kwa Jet fuel.

3. Wameongea na waandishi wa habari na kujibu maswali

Huu ni utaratibu mzuri kwani hii inawasaidia wenyewe kuwa wazi, inasaidia wananchi kuelewa ni nini kinachoendelea na inasaidia serikali kuwa wazi na kukosolewa pale wakikosea na sio mpaka tatizo liwe kubwa.Mfano kama rate zingekua juu na wananchi wangekuja juu hivyo uwazi ni muhimu.

Mimi kwa mawazo yangu jamii yetu ya Tanzania tuna tabia ya siri na siri nyingi si za msingi. Hata wazazi wana siri za kuficha familia za nje au hata miradi mbalimbali kama viwanja na biashara. Hivyo mimi navyoona sio kila kitu ni rushwa lakini wakati mwingine ni tabia tulio nayo ya usiri. Hii tabia sio nzuri kwa serikali na hii kampuni ni mfano mzuri.
 
Hii kampuni imeonyesha biashara na tender zinavyotakiwa kufanyika.

1. Wamesema bei walionunulia mitambo

2. Wamesema bei ya umeme watakayoiuzia Tanesco. Marekani hapa wastani wa bei ya umeme kwa Kwh tunalipa USD 12 Cents na hawa jamaa wamesema rate ni USD 4.99 Cents kwa gas na 6.5 Cents kwa Jet fuel.

3. Wameongea na waandishi wa habari na kujibu maswali

Huu ni utaratibu mzuri kwani hii inawasaidia wenyewe kuwa wazi, inasaidia wananchi kuelewa ni nini kinachoendelea na inasaidia serikali kuwa wazi na kukosolewa pale wakikosea na sio mpaka tatizo liwe kubwa.Mfano kama rate zingekua juu na wananchi wangekuja juu hivyo uwazi ni muhimu.

Mimi kwa mawazo yangu jamii yetu ya Tanzania tuna tabia ya siri na siri nyingi si za msingi. Hata wazazi wana siri za kuficha familia za nje au hata miradi mbalimbali kama viwanja na biashara. Hivyo mimi navyoona sio kila kitu ni rushwa lakini wakati mwingine ni tabia tulio nayo ya usiri. Hii tabia sio nzuri kwa serikali na hii kampuni ni mfano mzuri.

Karibuni sana JF...angalia usitumiwe vibaya ndugu.
 
Hii kampuni imeonyesha biashara na tender zinavyotakiwa kufanyika.

1. Wamesema bei walionunulia mitambo

2. Wamesema bei ya umeme watakayoiuzia Tanesco. Marekani hapa wastani wa bei ya umeme kwa Kwh tunalipa USD 12 Cents na hawa jamaa wamesema rate ni USD 4.99 Cents kwa gas na 6.5 Cents kwa Jet fuel.

3. Wameongea na waandishi wa habari na kujibu maswali

Huu ni utaratibu mzuri kwani hii inawasaidia wenyewe kuwa wazi, inasaidia wananchi kuelewa ni nini kinachoendelea na inasaidia serikali kuwa wazi na kukosolewa pale wakikosea na sio mpaka tatizo liwe kubwa.Mfano kama rate zingekua juu na wananchi wangekuja juu hivyo uwazi ni muhimu.

Mimi kwa mawazo yangu jamii yetu ya Tanzania tuna tabia ya siri na siri nyingi si za msingi. Hata wazazi wana siri za kuficha familia za nje au hata miradi mbalimbali kama viwanja na biashara. Hivyo mimi navyoona sio kila kitu ni rushwa lakini wakati mwingine ni tabia tulio nayo ya usiri. Hii tabia sio nzuri kwa serikali na hii kampuni ni mfano mzuri.


Bogus, akili yako itakuwa na matatizo
 
Mimi binafsi sijaelewa USD 4.99 cents kwa gas na USD 6.5 cents kwa Jet Fuel unamaanisha nini? kwamba wao watauza Tanesco kwa hizo bei? Kwani wao wanacontrol bei ya gas au jet fuel? Jee mabali na kutoza hivyo viwango kuna malipo mengine kama Capacity Charges watakazolipwa na Tanesco?
 
By Email:
info@symbion-power.com
By Telephone:
Washington, DC: + 1 703 621 0367
By Mail:
Symbion Power Services (a subsidiary company)
1919 Pennsylvania Avenue, NW
Suite 775
Washington, DC 20006
For more about Symbion Power Services, contact Alissa Wulff:
Email: alissa.wulff@symbion-power.com
Phone: 1 703 621 0815

Both of their numbers are cell phone numbers. No body pick them up when you call. Is this the same scam?
 
Ndugu zangu mimi ni lazima nieleze hata mimi nilikuwa na hasira za mikataba ya umeme lakini kuendeleza hasira hazitasaidia kujenga nchi yetu.

Kuhusu gas na jet fuel: Machine zinaweza kutumia Jet fuel au gas asilia na gas asilia ni bei rahisi kuliko jet fuel na ndiyo maana bei ni tofauti. Wametoa rate zote kwasababu kuna wakati songas wanakuwa na matatizo ya kuleta gas hivyo watatumia jet fuel-mafuta ya ndege kwa kuendesha hizo machine.

Kuhusu gharama mimi nimesema mteja kama wewe na mimi kwa hapa marekani record zinaonyesha walilipa wastani wa USD 12 Cents kwa Kwh. Mimi hapa Texas nalipa USD 10 Cents na nimesaini mkataba wa mwaka mmoja. Hivyo hiyo ni bei ya mteja na kama wananchi na sio Tanesco watalipa chini ya USD 12 Cents haitakuwa mbaya sana. Hawa jamaa wametoa rate kwasababu Tanesco wakitoa rate ya juu sana kwa watu ijulikane wazi kwamba si wenyewe waliotoa hiyo rate ya juu bali ni Tenesco. Kwa ufupi wame ji cover.
Ndugu zangu nawaomba msilewe matatizo badala yake tulewe mawazo. Tunatati mawazo ya kusaidia nchi
 
Hawana lolote hawa ni mafisadi walewale wanaombeba Rostam kwa kutumia jina lao la Symbion.
 
download




U.S. Ambassador Alfonso E. Lenhardt welcomed senior General Electric (GE) executives to Tanzania on May 26, presiding over a roundtable luncheon with local private sector leaders, including Felix Mosha, chairman of the Confederation of Tanzania Industries; Paddy Hoon, Vice President of the American Chamber of Commerce; and Paul Hinks, CEO of Symbion Power. GE Global Vice Chairman John Rice and newly appointed CEO for Africa Jay Ireland visited Dar es Salaam to meet with Tanzanian officials and discuss potential investment opportunities in energy, healthcare, rail and aviation. Rice said the company realizes Africa offers the next frontier of growth and that Tanzania is well-situated as a partner to introduce the company's innovative transport, health and energy solutions to the regional market. (Photo courtesy of the American Embassy)


Kwanza ujio wa Symbion chini ya Millenium Challenge Account ilikuwa ni dalili moja kuwa Wamarekani wameamua kuisaidia serikali baada ya kuona suala la Dowans limekuwa kubwa na hakuna njia. Safari hii wamewakaribisha GE - na kimsingi kuwafanya serikali wazungumze na hawa jamaa moja kwa moja kwani kwa muda wote tunalalamikia suala la nishati wengi tumepiga kelele kwanini hatuzungumzi na watengenezaji na mifano ya GE, Yamaha, n.k imekuwa ikitajwa.

Wamarekani wamesikia sauti ya Watanzania na sasa wamewaleta GE na nina uhakika kama kuna kitu kinapikwa basi kitakuwa ni mtindo ule ule wa MCA ambapo Wamarekani wanatoa fedha za misaada, haziendi Tanzania moja kwa moja bali zinasimamiwa na Wamarekani na kuhakikisha kuwa makampuni ya kwao ndio yanapewa tenda ya kufanya kinachotakiwa kufanywa. Hivyo sitashangaa hata hili la GE nalo litaangukia kwenye MCA vile vile kwani kulitengwa karibu milioni 206 dolla kwa sector ya nishati tu na as far as I know ni karibu milioni 100 ambazo tayari zimeshakuwa allocated kwenye miradi fulani.


Tukumbuke ilikuwa ni akaunti ya karibu dola milioni 700 ambazo bado zinahitaji kutumiwa na Wamarekani wameona ni bora watuoneshe nini kinatakiwa kufanya. Well, siwezi kuwalaumu GE kwani wao ni kampuni ya kibiashara na wanakuja siyo kufanya hisani bali kutengeneza more dola dola bills!
 
Mimi nilienda kwenye Dicota meeting ya watanzania diaspora iliyofanyika state ya MN mwaka jana. Nilibahatika kukutana na kiongozi wa Millenium Challege account pale na huyu jamaa anajua barabara na miradi kuliko katibu mkuu wa raisi ambae tulikua nae pale. Marekani imeona nchi inaenda pabaya na njia pekee ni kutoa pesa bila kuita msaada Symbion inafanya kazi za serikali huko Afighanistan na wanalipwa na serikali ya marekani. Hivyo GE, Symbion hawatategemea Tanzania bali watalipwa na USA pesa fulani ili wasipate hasara na kitu ambacho Obama atafanya ni kuongeza pesa kwenye Millenium Challange na kusema kwa Tanzania Nishati ni iko miongoni mwa challenge. Hii siyo mbaya kwani hizi kampuni zitaweza ku charge rate za chini na corruption itapungua kwasababu pesa haiendi kwa wanasiasa wanaopanga kuiba pesa kila siku. Tanzania ni future Millitary base ya USA na ndiyo maana balozi wa Tanzania ni mwanajeshi waliomvua magwanda. USA wanaogopa serikali ya Kikwetwe kuanguka kwa sasa
 
Hii inaweza kuwa habari nzuri sana sana.

Labda Rais wa kweli Dr Slaa aliongea nao ili kulifanyia kazi hili swala.

Kuna haja hawa wahisani waache kutupa pesa moja kwa moja ila wawe wanafanya vitu kama hivi....

Ngoja na Wachina waje watupe msaada wa KUIFUFUA TAZARA......

Wakimaliza umeme, waifufue ATCL na hapo ipigwe nyundo.

Sidhani kama tumelogwa. Ila tunahitaji siku moja watu wapigwe risasi uwanja wa UHURU.

Damu imetumika kusafisha madhambi tangu enzi ya Adam. Inabidi litokee hilo ili nchi irude kweli reli.
 
Hii inaweza kuwa habari nzuri sana sana.

Labda Rais wa kweli Dr Slaa aliongea nao ili kulifanyia kazi hili swala.

Kuna haja hawa wahisani waache kutupa pesa moja kwa moja ila wawe wanafanya vitu kama hivi....

Ngoja na Wachina waje watupe msaada wa KUIFUFUA TAZARA......

Wakimaliza umeme, waifufue ATCL na hapo ipigwe nyundo.

Sidhani kama tumelogwa. Ila tunahitaji siku moja watu wapigwe risasi uwanja wa UHURU.

Damu imetumika kusafisha madhambi tangu enzi ya Adam. Inabidi litokee hilo ili nchi irude kweli reli.

Una maanisha Slaa wa PhD ya kanoni bila degree hata moja? au yupi?
 
Mimi nilienda kwenye Dicota meeting ya watanzania diaspora iliyofanyika state ya MN mwaka jana. Nilibahatika kukutana na kiongozi wa Millenium Challege account pale na huyu jamaa anajua barabara na miradi kuliko katibu mkuu wa raisi ambae tulikua nae pale. Marekani imeona nchi inaenda pabaya na njia pekee ni kutoa pesa bila kuita msaada Symbion inafanya kazi za serikali huko Afighanistan na wanalipwa na serikali ya marekani. Hivyo GE, Symbion hawatategemea Tanzania bali watalipwa na USA pesa fulani ili wasipate hasara na kitu ambacho Obama atafanya ni kuongeza pesa kwenye Millenium Challange na kusema kwa Tanzania Nishati ni iko miongoni mwa challenge. Hii siyo mbaya kwani hizi kampuni zitaweza ku charge rate za chini na corruption itapungua kwasababu pesa haiendi kwa wanasiasa wanaopanga kuiba pesa kila siku. Tanzania ni future Millitary base ya USA na ndiyo maana balozi wa Tanzania ni mwanajeshi waliomvua magwanda. USA wanaogopa serikali ya Kikwetwe kuanguka kwa sasa

After the disastrous administration of our own so called "stimulus package" which in reality stimulated the pockets of blessed few the US gvt more concerned. The gvt is running on a massive debt while corruption runs amock the US had to come to the rescue. Ndio faida ya kuwa na mjomba.
 
After the disastrous administration of our own so called "stimulus package" which in reality stimulated the pockets of blessed few the US gvt more concerned. The gvt is running on a massive debt while corruption runs amock the US had to come to the rescue. Ndio faida ya kuwa na mjomba.


Hata hivyo kuna watu wengine hutumia matatizo ya wengine kama mradi. Mi naamini kabisa hakuna msaada wa bure. Tujiulize, wamarekani wanataka nini kwa hiki wanachotufanyia? Naamini focus ya Marekani ni uchumi na ndo maana hata Bush aliwahi kusema kwamba Marekani ina permanent interests na wala siyo permanent friends. Mimi naona misaada hii inahatarisha zaidi uhuru na maliasili zetu.
 
Lincoln ukishaamua kupokea misaada ya hivyo huna ujanja tena. Tanzania chini ya serikali hii haina ujanja tena.
 
Thats good take mwanakijiji. Serikali za nchi nyingi duniani na hizi financial institutions right now wamekuwa wakitafuta njia ya kutofanya kazi na serikali za mafisadi na wezi hivyo njia ni kwenda directly through projects ambazo zinaleta impacts kwa wananchi. I am 100% support hii strategy kwa sababu tutaepuka wizi na accountability na hasa judicial system ya kijinga ya ccm.

Big up Chadema kwa kufungulia milango hizi financial institutions.
 
Kama mtakumbuka siku chache zilizopita Mkullo alitangaza ku-sign mkataba na nchi wahisani GBS baada ya 'MAZUNGUMZO' ! Badala ya wahisani 14 kama ambavyo ilikuwa huko nyuma mwaka huu walikuwa 12 tu. The Netherlands and Switzerland wamejitoa! Spinning ilifanyika lakini wajanja wanajua porojo za hapa bongo.

Kwa miaka hii michache iliyopita (past 2006) kiasi cha pesa kinachoenda Treasury (hazina) kupitia huu mpango wa GBS kinashuka wakati kiwango cha fedha kwenye miradi, na mfuko wa pamoja kinapanda. Tafsiri yake ni kwamba kwa muda sasa wahisani wamekuwa wanapoteza imani na serikali katika kusimamia matumizi ya fedha na ndio maana wanaamua kusimamia hiyo miradi wenyewe. Hii hali ilikuwepo pre-Mkapa. wakati wake Mkapa akarebesha confidence ikarudi lakini sasa tumerudi kule kule- ground zero.
 
Back
Top Bottom