Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Mtanzania hatishiki na hilo swala la Udini kaka. DINI ni yako na mungu wako watanzania sasa hivi ni welefu hichi kitu kinaitwa dini hawakipi muda wa kupoteza.
 
Wawe makini kwenye hii mikataba jamani isije ikwa Richmond II
 
Tender iliyompa Symbion ushindi ilitangwa lini? na wakati inatangwa Symbion walikuwa na uwezo wa kuzalisha umeme kwa maana ya kuwa na mitambo? Mapitio yangu ya Website ya Symbion yanaonyesha kuwa hii ni Symbion ni Contractor wa kujenga miundo mbinu ya kusafirishia umeme (High way lines) na siyo wazalishaji wa umeme
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ushauri wangu kwa wanaJF, lets save our energy kwa sasa ila 2015 we have to put things right.
Nchi hii imechafuka mno and there is no way hawa hawa walioichafua wakaisafisha. Sijui,IPTL, Rites, TICS, Richmond, Dowans na sasa Symbion - kizunguzungu tupu!. Kila mwanaJF (Malaria Sugu included🙂) ajitahidi 2015 tupitishe fagio la chuma. enough is enough.
 
Kampuni ya Kimarekani ya Symbion iliyonunua Dowans itaanza kuuza umeme Tanesco kuanzia kesho Jumanne.

Symbion itaanza kwa kuiuzia Tanesco umeme wa majaribio wenye megawati 120 wakati majadiliano juu ya makubaliono kamili ya manunuzi ya umeme yakiendelea. Hayo yamedhibitshwa na afisa mmoja wa Tanesco aliyeongea na Fox News leo. Msemaji wa Symbion bado hajapatikana kudhibitisha haya.

Habari na Fox News.

U.S.-based Symbion Power is to start trial power generation at its 120 megawatts thermal power plants in Tanzania this week as it seeks to ease the African country's power crisis, an official said Monday.

The power will be supplied to Tanzania's state power utility, Tanesco, as discussions over the power purchase agreement continue, an official with Tanesco told Dow Jones Newswires.
"They will be supplying us with power generated from the trial period starting Tuesday," the official said.
Symbion officials could not be reached for an immediate comment.
Symbion Power acquired the 120 MW fuel-fired thermal plants earlier this month. The plants, which previously belonged to Dowans Tanzania Ltd., haven't been in operation for over a year following a power supply dispute between Tanesco and Dowans.
Read more: Tanzania Symbion To Start Trial Power Generation At Thermal Plants - FoxBusiness.com

Kwenye taarifa hii sijaona sehemu ambayo tanesco wamesema watanunua huo umeme wakati wa majaribio. nadhani symbion ( kama jina lao lilivyo) hawako mbioni kuuza wao wanawaonjesha kwanza TANESCO, ili tanesco wakinogewa wanunue.

Sijui ni Rushwa au kuonjesha (kama biashara ya njugu)
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tender iliyompa Symbion ushindi ilitangwa lini? na wakati inatangwa Symbion walikuwa na uwezo wa kuzalisha umeme kwa maana ya kuwa na mitambo? Mapitio yangu ya Website ya Symbion yanaonyesha kuwa hii ni Symbion ni Contractor wa kujenga miundo mbinu ya kusafirishia umeme (High way lines) na siyo wazalishaji wa umeme

You are just right TANESCO hawawezi kununua umeme kutoka Si mbioni bila kufloat tender, hiyo ni procurement na iko subject to the public procurement Act, tanesco wasijifanye mahayawani au mbumbumbu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
You are just right TANESCO hawawezi kununua umeme kutoka Si mbioni bila kufloat tender, hiyo ni procurement na iko subject to the public procurement Act, tanesco wasijifanye mahayawani au mbumbumbu.
Yaani hayo mambo ya umeme bongo kila siku kuns mpya! Enywayz watanzania ndiyo stahili yao hiyo.
 
Duh ama kweli Tanzania . Yaani utadhani Nchi haina wasomi na wana uchungu Nchi .
 
Duh ama kweli Tanzania . Yaani utadhani Nchi haina wasomi na wana uchungu Nchi .

Uchungu utoke wapi hawathamniwi, watu wanasoma kwa kubebana mwanzo hadi mwisho! anamaliza vyuo vikuu keshakuwa frustrated siku nyingi! hakuna uzalendo hapo! uzalendo unaweza kuwepo kama JKT itakuwepo labda but not sure too.
 
Yaani mimi nakasirika nasikia kulia kabisa kwa nini watawala wanatudharau na kutufanya sisi punguwani,nchi inapokosa heshima,inakuwa picha mbaya sana kimataifa,kila kikampuni kitakuja na kutuyummbisha wanavyotaka,its very frustrating ,i never thought i will live to see this mess
 
Tender iliyompa Symbion ushindi ilitangwa lini? na wakati inatangwa Symbion walikuwa na uwezo wa kuzalisha umeme kwa maana ya kuwa na mitambo? Mapitio yangu ya Website ya Symbion yanaonyesha kuwa hii ni Symbion ni Contractor wa kujenga miundo mbinu ya kusafirishia umeme (High way lines) na siyo wazalishaji wa umeme

Hii imekaa kisanii, kazi kwelikweli😛ound:
 
Naona makosa yanaanza kujirudia tena zaidi ya yale ya Richmond maana kwa Symbion, hawajashindanishwa kupata hii tenda kama kanuni za manunuzi zinavyosema.

Hata hivyo sishangai kwani huu ni muendelezo wa Sinema na Richmond. Sijui ni lini itaisha. Vigogo wanadhani sisi ni Mazuzu kumbe wanajidanganya bure.

SYMBION = DOWANS = RICHMOND = LOWASSA, ROSTAM & KIKWETE

Source: My Thinking.
 
Hivi mahakama siilitoa amri mambo ya dowans yasimamishwe kwanza, yakuna kuingia mkataba mpya n.k
Vipi tena mahakama imetengua uamuzi wake kimyakimya? au ndiyo mchwawnaendelea kutula!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Naona makosa yanaanza kujirudia tena zaidi ya yale ya Richmond maana kwa Symbion, hawajashindanishwa kupata hii tenda kama kanuni za manunuzi zinavyosema.

Hata hivyo sishangai kwani huu ni muendelezo wa Sinema na Richmond. Sijui ni lini itaisha. Vigogo wanadhani sisi ni Mazuzu kumbe wanajidanganya bure.

SYMBION = DOWANS = RICHMOND = LOWASSA, ROSTAM & KIKWETE

Source: My Thinking.

Ilikuwa vigumu sana kwa dowans na watangulizi wake kukubali hivivi kukosa biashara yenye urahisi wa kuvuna faida,mifumo yote ya kibepari
ndivyo inavyofanya kazi,na kwa sababu biashara yenyewe ilikuwa na mkono wa dola basi ni dola hiyo hiyo inaendeleza mambo hayo hayo,
Kumbuka Al adawi alipokuja hapa na kutupiga mkwara tukanywea wakati zamani alikana kumiliki dowans lakini alikiri kwamba ni yake,ili haya mambo yaishe ni lazima wengine wenye nia njema washike dola,lets fight for the regime and regulation change!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom