February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
Wadau wa kupiga mbizi tujuane tupeane na machimbo.
Mimi napenda kupiga maji Kila weekend na napenda pia pool iwe na watoto wakali...ila sio zile za uswahilini isijae watu mob mpaka ukose pa kukanyaga...Zile swaga za Dem mmoja anaingia anapiganiwa na watu sita siziwezi.
Napenda Ile unakuta pool kubwa ila watu kama 15 tu na watoto Kama wote. Drinks na mziki wa mbali kwa pembeni.
Kama mdau tumeelewana tupeane machimbo,
Naanza mimi
1. Viva villa mbezi
2. Sunrise hotel kigamboni
3.........
Mimi napenda kupiga maji Kila weekend na napenda pia pool iwe na watoto wakali...ila sio zile za uswahilini isijae watu mob mpaka ukose pa kukanyaga...Zile swaga za Dem mmoja anaingia anapiganiwa na watu sita siziwezi.
Napenda Ile unakuta pool kubwa ila watu kama 15 tu na watoto Kama wote. Drinks na mziki wa mbali kwa pembeni.
Kama mdau tumeelewana tupeane machimbo,
Naanza mimi
1. Viva villa mbezi
2. Sunrise hotel kigamboni
3.........