Ok futa hii replyHizi namba muwe mnapeana huko PM, kwa usalama zaidi.
ndio ili tupate pakuanziaPicha ya nguo aua aje
Acha ubishi mkuu weka pichaUmeelewa nilichoomba lakini
Ngoja waje kukupa mwongozoSna picha za nguo nataka maelekezo ili niwezd nunua kma unazopicha za nguo tuma
Ilala hakuna mtaa wa Ashanti kama unazungumzia pale sokoni linapoonekana bango lao ule ni mtaa wa Morogoro japo ulibadilishwa jina na kuitwa mtaa wa Ramadhani Mwinshehe(Baba yake Ditopile) lakini bado unavuma mtaa wa Morogoro.Hello guys naomba kujuzwa mtaa wa ashanti ilala wanauza nguo za mtumba bei gani je wanauza mabalo ya nguo ama amna wenye connection na wafanyabiashara pale nawaomba wanisms pm maisha ni kusaidiana only serious people
Acha ubishi mkuu subiri waje kukupa mwongozoWewe ulotaka kunisanifu tu mananaongelea kujuzwa unakassna na picha
Huo naujua nmeambiwa ni mbele eti kma unaenda machingaIlala hakuna mtaa wa Ashanti kama unazungumzia pale sokoni linapoonekana bango lao ule ni mtaa wa Morogoro japo ulibadilishwa jina na kuitwa mtaa wa Ramadhani Mwinshehe(Baba yake Ditopile) lakini bado unavuma mtaa wa Morogoro.
Mbele yake ni mtaa wa tabora au Rajabu Diwani kule sana sana naona kuna kisoko kidogo wanauza nyanya kwa jumla na wachuuzi wa viungo vya nyumbani kama vitunguu, tangawizi, vitunguu saumu n.k biashara ya nguo mtaa ule sio sana.Huo naujua nmeambiwa ni mbele eti kma unaenda machinga
Nmeelekezwa kua n mbele kabsa sio hapo jilan ninjilaninna machanga naambiwa ivo sasa sielewiMbele yake ni mtaa wa tabora au Rajabu Diwani kule sana sana naona kuna kisoko kidogo wanauza nyanya kwa jumla na wachuuzi wa viungo vya nyumbani kama vitunguu, tangawizi, vitunguu saumu n.k biashara ya nguo mtaa ule sio sana.
Ok, basi hiyo sehemu sijaijua.Nmeelekezwa kua n mbele kabsa sio hapo jilan ninjilaninna machanga naambiwa ivo sasa sielewi
Unazidi kuchanganya mambo mdau hapo amekupa facts zote,nini hasa unahitaji? wanapouza bale au rejarejaHuo naujua nmeambiwa ni mbele eti kma unaenda machinga