Sweden jua linazama Saa nne usiku

Sweden jua linazama Saa nne usiku

Kuzungumza mpira huonekana na wanaoenda Uwanjani, Tanzania hatuendi Uwanjani kuangalia mpira, ingia hapo Ulaya uone maajabu
Tanzania sio Ikulu wala bungeni, sio masikini wa mwisho wala tajiri wa kwanza ni mamipira tu.

Yani hakuna mahali hakuzungumzwi mpira hata kazini kwangu ni mampira
 
Inaonekana hujawah ishi mikoan pembenpemben huko


Kuna eneo mnaish mnajikuta wote mnafahamiana hata km si kwa majina lkn mtu akikuona tu anajua wew ni wa wap sasa akiingia mgen fasta tu anajulikana kuwa yey si wa pale
True[emoji4]
 
Mungu fundi kwa kweli jiji la stocklohom uswedish jua huzama majira ya saa nne usiku kwa msimu huu.

Maisha yanakuwa si ya kawaida watu wanatembea kama hawatembei. Watu wanalala kama hawalali.

Usipoangalia majira unaweza ukalala muda wa kuamka.

Nchi za ulaya zimebarikiwa sana.
Neno "USIKU" chanzo chake nin?
Ni giza kama nlivokua nkidhani?

Kama saa nne kuna kua na mwanga kwanini tuuite USIKU wakati tukijua neno usiku huambatana na giza
 
Yamezidi na yamekuwa kero sasa, ukipanda gari redio ni mipira mitupu na wachambuzi wao uchwara wanaochanganya L na R. Kila mahali kwenye kakikundi cha watu wengine wamajaa njaa na ufukara mtupu unakuta wanachambua na kubishania mipira wakipoteza muda, upuuzi mtupu.
Alafu haya mambo ya mampira mbona kama bongo yamezidi, hivi kuna taifa linazungumza mamipira kiasi hichi duniani kama Tz?

Alafu sasa hatuna lolote si Chan wala CECAFA tunayoiweza ni mapumbavu pumbavu tu ya mwisho
Kuzaliwa Tz uwaki sana
 
Inaonekana hujawah ishi mikoan pembenpemben huko


Kuna eneo mnaish mnajikuta wote mnafahamiana hata km si kwa majina lkn mtu akikuona tu anajua wew ni wa wap sasa akiingia mgen fasta tu anajulikana kuwa yey si wa pale
Kwa sababu ni kijijini, mjini hata mkiwa watano mji mzima hakuna anayefuatilia maisha ya wengine au kujua wanafanya nini.
 
Kitendo cha kuwa wachache lazima mfatiliane
Huko Sweden, Finland na Denmark wako wachache na hawafuatiliani. Ni mwiko na nje ya utamaduni wao kufuatiliana, huko unawez kufia hata ndani ya nyumba yako na ukakaa miezi bila majirani kujua kuna mtu alishakata moto ndani muda mrefu sana.
 
Huko Sweden, Finland na Denmark wako wachache na hawafuatiliani. Ni mwiko na nje ya utamaduni wao kufuatiliana, huko unawez kufia hata ndani ya nyumba yako na ukaa miezi bila majirani kujua kuna mtu alishakata moto ndani muda mrefu sana.
Waswahili tukifika huko lazima tudumishe utamadun
 
Mungu fundi kwa kweli jiji la stocklohom uswedish jua huzama majira ya saa nne usiku kwa msimu huu.

Maisha yanakuwa si ya kawaida watu wanatembea kama hawatembei. Watu wanalala kama hawalali.

Usipoangalia majira unaweza ukalala muda wa kuamka.

Nchi za ulaya zimebarikiwa sana.
Ni summer time ni kawaida,haujasoma Geography darasa la tano?Mambo ya season na dunia inavyolizunguka jua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom