Sweden jua linazama Saa nne usiku

Sweden jua linazama Saa nne usiku

Tusiosoma geography tupo wengi


Binafs mtoa mada nilimuona km analeta porojo


Ila michango ya nyinyi wasom walau imenipa shauku ya kutaka kujua zaid
Nadhani Kuna wadau washaelezea hivi nilivyovimention hapo juu. Pitia pitia ujifunze mkuu
 
Alafu haya mambo ya mampira mbona kama bongo yamezidi, hivi kuna taifa linazungumza mamipira kiasi hichi duniani kama Tz?

Alafu sasa hatuna lolote si Chan wala CECAFA tunayoiweza ni mapumbavu pumbavu tu ya mwisho
Kuzaliwa Tz uwaki sana
Kuzungumza mpira huonekana na wanaoenda Uwanjani, Tanzania hatuendi Uwanjani kuangalia mpira, ingia hapo Ulaya uone maajabu
 
Mungu fundi kwa kweli jiji la stocklohom uswedish jua huzama majira ya saa nne usiku kwa msimu huu.

Maisha yanakuwa si ya kawaida watu wanatembea kama hawatembei. Watu wanalala kama hawalali.

Usipoangalia majira unaweza ukalala muda wa kuamka.

Nchi za ulaya zimebarikiwa sana.
Kuna msimu linabip tu 90%+ ni giza😅🤣 subiri ifike October
 
Mungu fundi kwa kweli jiji la stocklohom uswedish jua huzama majira ya saa nne usiku kwa msimu huu.

Maisha yanakuwa si ya kawaida watu wanatembea kama hawatembei. Watu wanalala kama hawalali.

Usipoangalia majira unaweza ukalala muda wa kuamka.

Nchi za ulaya zimebarikiwa sana.
Nchi zilixoendelea watu wanaangalia saa, wakati nyinyi kwenu bado mna share mfumo na akili za kuku na mifugo mingine kwa kuangalia na giza.
Jua kikianza kuzama mnaanza kufunga kazi/biashara, likichomoza mnaamka huku mnawika.
Kuna nyakati kuna maeneo yanapata giza only 3 to 6 hours, mengine kuna nyakati no giza at all
 
Tusiosoma geography tupo wengi


Binafs mtoa mada nilimuona km analeta porojo


Ila michango ya nyinyi wasom walau imenipa shauku ya kutaka kujua zaid
Mimi vilishapotea kabisa, majukumu na ukubwa wadau wamenikumbusha vitu vingi sana kwenye Geography
 
Hiyo ni geography ya form One!!
geography theory lakini in pratice ukiona hiyo hali inakuwa inakushangaza.

Mimi nakumbuka tulisoma hiyo hali darasa la sita (namkumbuka mpaka mwalimu aliyetufundisha-RIP) kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa. Alizungumzia habari ya theluji (snow) basi sisi tulikuwa tunasema siku tukifika Ulaya tutabugia barafu za kutosha kwa vile itakuwa ni bure tu hununui. Enzi hizo waliokuwa na mafriji walikuwa wachache sana.

Nilipofika huko kwenye matheluji, loh! hata hamu sikuwa nayo kwani ilikuwa inanikumuta vizuri licha ya kuwa nimevaa 'winter coat'. Lakini hukumbukia tu tulivyokwa tukiwaza theluji na usiku mrefu na mfupi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom