Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,583
- 59,671
Norway Kuna wakati ndio halizami kabisa
Hivi usiku si unatokana na jua kutokuwepo? Unasemaje usiku wakati jua lipo au ndiyo linazama!??NCHI za Scandinavia hawaangalii jua kuzama, huko ni Lazima uwe na saa.
Niliwahi KUISHI Finland jua linazama saa Tisa usiku
Panakuwaje mchana hakuna jua?Na jua likiwa south pole ndio uwa mchana kunakua Giza kabisa huko Scandinavia
Baadhi ya nchi hazina JESHI Wala mageleza.
Saizi jua liko northern hemisphere ndio maana wana experience jua muda mwingi katika Masaa 24, dunia ni "tenge" kiumbile so kuna kipindi linakuwa south pole , mbali na wao north so unakuta saa 5 asub bado Giza kabisa, linatoka saa 6 then saa 9 linazama.Panakuwaje mchana hakuna jua?
Jua haliwezi zama saa 9 usiku. Yaani 03:00 am haliwezi labda kuchomoza saa hiyoNCHI za Scandinavia hawaangalii jua kuzama, huko ni Lazima uwe na saa.
Niliwahi KUISHI Finland jua linazama saa Tisa usiku
Mkuu acha bhaaaanaNCHI za Scandinavia hawaangalii jua kuzama, huko ni Lazima uwe na saa.
Niliwahi KUISHI Finland jua linazama saa Tisa usiku
Taa zinawashwa🤣🤣Panakuwaje mchana hakuna jua?
Anyway naikubali Stockholm na malmo.Mungu fundi kwa kweli jiji la stocklohom uswedish jua huzama majira ya saa nne usiku kwa msimu huu.
Maisha yanakuwa si ya kawaida watu wanatembea kama hawatembei. Watu wanalala kama hawalali.
Usipoangalia majira unaweza ukalala muda wa kuamka.
Nchi za ulaya zimebarikiwa sana.
Thibitisha, la sivyo Moderator akulime ban ya masaaHuku Australia jua linazama saa 6 usiku maeneo ya devonport
Ukisikiliza redio ndo utashangaaAlafu haya mambo ya mampira mbona kama bongo yamezidi, hivi kuna taifa linazungumza mamipira kiasi hichi duniani kama Tz?
Alafu sasa hatuna lolote si Chan wala CECAFA tunayoiweza ni mapumbavu pumbavu tu ya mwisho
Kuzaliwa Tz uwaki sana
Kama kigezo ni hicho, basi Tz ina safari ndefu.Hakuna uzur wowote
Inakua km mnaish kwenye kijij
Ukikwanyua dem kila mtu anajua huwez hata kudabo
Sasa kama mmeenda guest house mkuuHakuna uzur wowote
Inakua km mnaish kwenye kijij
Ukikwanyua dem kila mtu anajua huwez hata kudabo
Halafu linachomoza saangapi?NCHI za Scandinavia hawaangalii jua kuzama, huko ni Lazima uwe na saa.
Niliwahi KUISHI Finland jua linazama saa Tisa usiku
Inaonekana hujawah ishi mikoan pembenpemben hukoSasa kama mmeenda guest house mkuu
Hicho ni moja kati ya vigezo vingiiiiiiiiiiiiii ambavyo km ukiamua kuvilenk hiki kinaweza kuwa cha 30 ktk vigezo 100
Wewe utakuwa haukusoma Geography maishani mwako.🤣🤣Mungu fundi kwa kweli jiji la stocklohom uswedish jua huzama majira ya saa nne usiku kwa msimu huu.
Maisha yanakuwa si ya kawaida watu wanatembea kama hawatembei. Watu wanalala kama hawalali.
Usipoangalia majira unaweza ukalala muda wa kuamka.
Nchi za ulaya zimebarikiwa sana.
Tusiosoma geography tupo wengiWewe utakuwa haukusoma Geography maishani mwako.[emoji1787][emoji1787]
Mbona Ni Jambo la kawaida kipindi cha equinox and solistice