Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Matatizo ya kwenye ndoa yanasababishwa na wote na hii inaanzia na msingi wa mahusiano yaliyopelekea ndoa. Mkikosea hapo tarajia kushuhudia mabaya tuuu, ila pia usitegemee katika ndoa utashuhudia mazuri tuu hakuna kitu kama hicho, no one is perfect.

Kwahiyo kutakuwa na kukwazana na kufurahishana pia,cha msingi ni kutambua namna bora ya kudeal na changamoto zenu. Ni msingi mliojijengea ndio utakaokuwa namna bora ya kutatua matatizo yenu.

Emagine kuishi na mzazi wako tu ni changamoto,vipi kuhusu binadamu mlokutana ukubwani? Ni kuomba tu umpate wa kufanana nae ambae mtaivana na kuweza kuchukuliana. Ukibugi ndio ule msemo wa kosea kujenga nyumba ila usikosee kuoa/kuolewa.
OK, iweni makini kwenye maamuzi yenu.
 
Kipato cha familia inaweza kuwa laki tano kulingana na akili za wahusika. (Ukute jamaa ni mario au ndo mtu wa michepuko,mke inabidi ajiongeze kwa lazima)
 
Hiyo laki mbili na laki saba tumeweka kama mfano

so inaweza kuwa kipato cha baba ni milioni 2
na cha mama ni milioni 5
swali hili lililenga kwa uzoefu wa ndoa zetu na jinsi ambavyo wanawake wengi
wanachukulia pesa zao ni zao tu...na za familia ni jukumu la baba...
so majibu ni kwa mujibu wa ndoa za watu..na nafikiri umeona watu wengi wamejibu laki mbili

Nimekuelewa.

Kimsingi baba anapaswa kugharamia kila kitu kwenye familia na mama mshahara wake anaopata atatoa kiasi fulani kwenye familia katika masuala kama miradi au ujenzi wa nyumba na vingine na si vinginevyo yaani mnakubaliana na yeye ndiye ataamua ni kasi gani atoe na si baba.

Hii inafanywa na wale wanandoa ambao wameshibana kwelikweli tangu urafiki , uchumba hadi ndoa.

Ila mshahara wa mama ni wake yeye, si amekupatia watoto na ndiyo mwandnai wako kwa kila kitu?

Ndiyo maana kuna sehemu zingine mama hafanyi kazi lakini ni baba ndiye anahusika na kila kitu na mama anavaa baibui na kupaka hina tu, basi.
 
Kipato cha familia inaweza kuwa laki tano kulingana na akili za wahusika. (Ukute jamaa ni mario au ndo mtu wa michepuko,mke inabidi ajiongeze kwa lazima)

Kwa nini isiwe laki saba?
 
Nimekuelewa.

Kimsingi baba anapaswa kugharamia kila kitu kwenye familia na mama mshahara wake anaopata atatoa kiasi fulani kwenye familia katika masuala kama miradi au ujenzi wa nyumba na vingine na si vinginevyo yaani mnakubaliana na yeye ndiye ataamua ni kasi gani atoe na si baba.

Hii inafanywa na wale wanandoa ambao wameshibana kwelikweli tangu urafiki , uchumba hadi ndoa.

Ila mshahara wa mama ni wake yeye, si amekupatia watoto na ndiyo mwandnai wako kwa kila kitu?

Ndiyo maana kuna sehemu zingine mama hafanyi kazi lakini ni baba ndiye anahusika na kila kitu na mama anavaa baibui na kupaka hina tu, basi.


Sasa kama mkeo ana mshahara wa milioni 5
wewe moja...na umgharimie kila kitu
swali...yeye pesa zake anapeleka wapi?
 
OK, iweni makini kwenye maamuzi yenu.
Ndio maana ile kauli ya watu wanayosemaga "fulani anachagua sana" huwa naishia tu kuishangaa, maana anachagua sana kwa vipimo vya nani? Kwahiyo mtu aingie tu kwakuwa watu wanaingia na sio kwakuwa amempata mtu sahihi wanaeendana!!!

Ni vyema mtu aingie ktk sekta hii akiwa tayari kweli kweli na kwakuwa kampata "watakaeooana", unless basi wala haina haja.

Be real.
 
Ubinafsi na mzunguko wa maisha. Kila mmoja ana bajeti yake nje ya familia,ana marafiki, ana vimeo. Hivyo inakuwa vigumu kuitoa hela yote kwa familia.
Kwa nini isiwe laki saba?
 
Sasa kama mkeo ana mshahara wa milioni 5
wewe moja...na umgharimie kila kitu
swali...yeye pesa zake anapeleka wapi?

Hiyo inategemea na set-up ya ndoa yenu mmejipanga vipi.

Pili, imekuwaje mama anakuzidi wewe baba kwa kipato?

Matatizo mengi huanzia hapo mabishano, kutohudumiana, kuleta house girl ndani na mengine huanzia hapo.

Mimi tangu nikiwa kijana nachakarika nilijiapiza kuwa na maximum income kila mwezi.
 
Ubinafsi na mzunguko wa maisha. Kila mmoja ana bajeti yake nje ya familia,ana marafiki, ana vimeo. Hivyo inakuwa vigumu kuitoa hela yote kwa familia.

Mnhh ndo wanawake wa siku hizi mliyo...
 
Ubinafsi na mzunguko wa maisha. Kila mmoja ana bajeti yake nje ya familia,ana marafiki, ana vimeo. Hivyo inakuwa vigumu kuitoa hela yote kwa familia.

Mnhh ndo wanawake wa siku hizi mliyo...
 
Hiyo inategemea na set-up ya ndoa yenu mmejipanga vipi.

Pili, imekuwaje mama anakuzidi wewe baba kwa kipato?

Matatizo mengi huanzia hapo mabishano, kutohudumiana, kuleta house girl ndani na mengine huanzia hapo.

Mimi tangu nikiwa kijana nachakarika nilijiapiza kuwa na maximum income kila mwezi.

Mama kukuzidi kipato?
hujui kuna hadi teuzi siku hizi?
unaweza sikia kesho Rais kamteua mkeo kuwa hiki au kile
akijiongeza tu kakuzidi....
 
Kipato cha familia ni laki mbili tu, pesa ya mwanamke ni nyongeza haipigiwi hesabu.
 
Kipato cha familia ni laki mbili tu, pesa ya mwanamke ni nyongeza haipigiwi hesabu.

Kuna watu wanabisha
wanasema mke wako ni mali yako na kila kitu chake ni mali yako
 
Mama kukuzidi kipato?
hujui kuna hadi teuzi siku hizi?
unaweza sikia kesho Rais kamteua mkeo kuwa hiki au kile
akijiongeza tu kakuzidi....

Mkuu, tatizo ni kwamba ndoa nyingi za siku hizi si zile za watu kuwa wamefahamiana barabara yaani tangu wakiwa wadogo hadi utu uzima, kuna wale ambao wanakutana vyuoni na hata makazini.

Kuna mbunge mmoja mwanamke sasa hivi anahangaika anatafuta mume.

Ndoa nyingi ni za kimkakati zaidi yaani kila mtu anawinda mnyonge wake.

Sasa unaoana na mtu halafu kesho kama ni mama anapewa cheo kikubwa hii si balaa hili?

😀😀😀
 
Sio wanawake wote wanaishi kwenye ndoa zao hivyo, wapo wengi tu ambao ndio mihimili pekee ya familia.
Ni kweli, lakin inategemea na mnavyoishi.km wote mtapata mshahara na kuuweka mezani kisha mkapanga matumizi hakuna shida lakin km mwanaume yake itaishia mfukoni, bas pesa ya mwanamke itabaki kuwa yake tu.
 
Back
Top Bottom