Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Mbona the boss ametumia hesabu nyepesi ila ni kwa njia ya maneno yaani 500000+200000= 700000. hayo maneno familia nk ni zuga tu hebu kuwen kama GT wakuu hongera yako mkuu data
 
Mbona the boss ametumia hesabu nyepesi ila ni kwa njia ya maneno yaani 500000+200000= 700000. hayo maneno familia nk ni zuga tu hebu kuwen kama GT wakuu hongera yako mkuu data

Mkuu umesoma majibu ya watu wengine?
halafu hii nimeikuta tu watsaap Groups ..ikizua mjadala

soma wengine uone majibu yalivyo tofauti
 
Naomba tutofautishe kati ya kipato na matumizi

kipato
Familia inajengwa na wanafamilia, mume na mke ni wanafamilia
mume akipata laki 2 na mke akipata laki 5, Kipato cha familia ni laki 7

Matumizi
Inategemeana na taratibu za familia..

Kipato cha familia ni kwa maana zitatumika kwa familia
kama mmoja kila akipata ni matumizi yake binafsi basi haiwezi kuwa kipato cha familia
 
Kipato cha familia ni laki 2

Laki 5 haihusu familia hahaha

kuna mtu mmoja alinambia mwanamke ukimpa lak 5 kwa ajili ya matumizi nyumban sababu unasafiri ikatokea safari ikafa ni kwamba ile lak5 ilishaisha so utoe pesa nyingine ya matumizi
 
laki mbili za baba+ laki mbili za mama...laki NNE.sijazisahau laki tatu.
 
Kama hujaoa,hongera sana. Wanawake hawafai yaani pesa zao hazionekani kabisa.
 
Hapo familia ina den tayar hakuna tena kipato
 
Back
Top Bottom