Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Je Na Ile Ya Mwanamke Haihusiki Kwenye Familia?
Yani cha zaidi baada ya ile laki mbili kuisha,familia itakopa laki tano,mama ndio atafanikisha kupatikana kwa hiyo hela kwa riba.(In realsense anatoa mfukoni mwake).
Ya mwanamke inapaswa kuwa ya familia,ila mfumo umemwonea mwanamme.
 
Familia itakua na laki moja, sababu hiyo laki mbili ya mwanaume inagaiwa mara mbili nusu anachuka mwanamke na anajumlisha na ile milioni yakee, iliyobaki ndio ya familia
 
he he he ndio maana ndoa ngumu sana nowdays. hadi ifungwe sio shughuli ndogo waoaji wameshtuka....

na hata ikifungwa muoaji akiona anatumika tu anaivunjilia mbali
Avunje tu akivunja mwengine atajenga upyaa
 
Yani cha zaidi baada ya ile laki mbili kuisha,familia itakopa laki tano,mama ndio atafanikisha kupatikana kwa hiyo hela kwa riba.(In realsense anatoa mfukoni mwake).
Ya mwanamke inapaswa kuwa ya familia,ila mfumo umemwonea mwanamme.
Good Kwa Maelezo Bora Dada Ndio Maana Wanawake Mmetofautiana Kwenye Upendo
 
Naomba majibu yenu wandugu maana nimeitoa sehemu na majibu ya swali yalikuwa magumu sana hivyo mlioweza kuoa au kuolewa mnijibu
Hapo bwana tambua kua mna laki mbili tu maana pesa aliyonayo mkeo kuipata ni majaliwa
 
Back
Top Bottom