Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Nyie si ndio vichwa jamani, so you shud take all the blame.

Tulikuwa vichwa zamani

siku hizi mnaita haki sawa kwa wote...

mishahara mnayo,magari mnanunua,nyumba mnajenga..

'hambabaishwi' mmnaongozwa pale mnapojisikia....
 
Tulikuwa vichwa zamani

siku hizi mnaita haki sawa kwa wote...

mishahara mnayo,magari mnanunua,nyumba mnajenga..

'hambabaishwi' mmnaongozwa pale mnapojisikia....

Wacha we!! Tunadai haki sawa sio wajibu sawa.
 
Wacha we!! Tunadai haki sawa sio wajibu sawa.

Huwezi tenganisha haki sawa na wajibu sawa...
ukidai haki sawa na wajibu pia utakuwa sawa
'to whom much is given much is required'

Nawaelewa wale wachache wanaodai 'haki za wanawake' na sio 'haki sawa'
 
Kama mkeo ni mdada wa mjini kipato ni 200,000

vinginevyo familia nyingine kipato hapo ni 600,000 ukitoa 100,000 ya mwanaume(kwa ajili ya pombe au michepuko)
 
Back
Top Bottom