Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Hapo hakuna familia tena,ila baba atabakia na laki zake mbili na mama atabaki na milioni zake tano
 
inategemeana na mfumo wao wa ndoa.
kwani kuna ndoa zingine zinaona hela ya baba ndio ya familia na ya mke ni ya mke.
lakini zingine kama yangu ni kwamba hela ya mke ni yetu na hela ya mme ni yetu .hivyo tunaziweka pamoja na kufanyia jambo la kimaendeleo kama tunavyopanga pamoja.
ni mtazamo wa familia yetu maana kila mtu ana ndoa yake.
hivyo inaweza kuwa laki mbili au milioni tano na laki mbili kulingana na mfumo tajwa hapo juu
Hakuna kitu
 
Kwhyo Mumeo Akikwama Nawewe Pesa Unayo It Means Huwezi Kumsaidia?
Umeuliza familia itakuwa na shs ngapi, jibu ni 200,000 kama ulivyoambiwa na wengi. Kusaidia ni jambo jingine.
Hivi mume unaruhusuje mkeo kuwa na 5m na wewe laki mbili kweli!
 
he he he ndio maana ndoa ngumu sana nowdays. hadi ifungwe sio shughuli ndogo waoaji wameshtuka....

na hata ikifungwa muoaji akiona anatumika tu anaivunjilia mbali
Ni wewe tu ndio unaweza kuvunja ndoa kwasababu mkeo kakunyima hela, wenzio wanajua na wanaona ndio uanaume!
 
Ni wewe tu ndio unaweza kuvunja ndoa kwasababu mkeo kakunyima hela, wenzio wanajua na wanaona ndio uanaume!

kuna kutumika na kusaidiana

kama anaamka kila siku asubuh na hana msaada wowote kwa familia huyo ni kupe... ya nini uishi na kupe..
 
Back
Top Bottom