Swali la kizushi kwa Nyani Ngabu.

Swali la kizushi kwa Nyani Ngabu.

Tiger

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2007
Posts
1,747
Reaction score
387
Mkuu, ulishasema hapa jf kuwa wewe ni "agnostic".
Sasa naomba kuuliza, is it possible to be "agnostic christian"?
If yes/no why?
Wewe upo upande upi wa agnotism?
Karibu sana.
Kwa asiye fahamu: agnostic ni mtu asiye na hakika na anahisi ni vigumu "kujua" kama mungu yupo/hayupo.
Kwa hiyo agnostic-christian ni mtu asiye na hakika kama mungu yupo/hayupo ila ni muumini wa ukristo.
 
nawasalimiatu
habari zenu


mkiva
Today 11:17
#10

JF Senior Expert Member
Array
Join Date : 28th January 2012
Posts : 850
Rep Power : 527
Likes Received:242
Likes Given: 1

Mkuu mkiva bila shaka hiyo Like ulitoa kwa mama Elizabeth Dominic wakati unamfatilia..........
:yo::yo::yo:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom