Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
1. Utakuwa unampatia vidonge vya uzazi ili kumsaidia asije kupata mimba au utatumia maneno na kushauriana tu?
2.Utahakikisha anajua namna ya kutumia kinga nyingine za magonjwa ya STD na za kuzuia mimba
3. Utamwacha ajifunze mbele ya safari na maboyfriend wake?