Swali kwa wazazi: Binti yako akianza kukomaaa...

siku zote tuwalee watoto kwenye misingi na maadili ya kidini. istoshe wazazi tujitahidi kuwaelimisha zaid wanetu juu ya maisha halisi na siyo maisha ya maigizo. tusiangalie uwezo tulio nao sisi wazazi na kuuchorea mfereji kwamba hata akimess up still ataish kama mfalme ama malkia. tuwajengee wanetu uwezo wa kujiamini na kujitambua na uwezo wa kujitegemea kifikra na kimatendo. tuwape uwezo wa kufanya kazi na kujifunza na zaidi tuwatie moyo sana wanapojifunza.

tusione maisha ya wengine walioyachagua kama ni bora zaid tukasahau kwamba maisha bora ni yale yanayoleta sura ya uwajibikaji wa dhati wenye tija na heshima kwa jamii.
 
Na hapo ndipo huwa siwaelewi wazungu ambao wanaweza kupumzika na kuendelea na mambo yao wakati kibinti chao kidogo kiko kwa bed room na ki boyfriend chake wanakula uroda...

Huwa nikiwaza hivyo natamani niliposimama litokee shimo nitumbukie halafu lijifunge!

Babu DC!!
babu DC nikifikaga kwenye swala la maadili huwa naishiwa nguvu kabisa halafu nasema moyoni zikizimia siku ya taabu basi nguvu zangu ni chache.

basi hujikuta naamka na kuanza tena kuwa role model si kwa wanangu tu hata wanafunzi wangu. huwaga ninasema ninatenda hadi wao wananiita mama malezi.

inauma sana hata tu kumkuta mtoto wa mtu anashiriki ngono katika umri mdogo
 
Hivi ni wewe Kongosho yule yule wa juzi, jana na leo mchana?

Haki ya nani sumu ya Zombie inakaribia ya Green mamba....

Kwenye huu uzi unaongea kama mwenyekiti wa akina mama kwenye jumuiya ya Mtakatifu Kaunga!!

Babu DC!!

kwi kwi kwi kwi kwi!hii sio thread ya kucheka lakini imenibidi nicheke tu!
chezea MWENYEKITI WA WAWATA kwenye jumuiya wewe!na kitenge chake cha blue na nyeupe!ahahahhahahahh babu mi spendi lakini!
 
kwa kweli hakuna kipindi kigumu kwa wazazi na walezi kama kipindi kijana anaingia kwenye huu umri!
la kufanya ni kuwapa elimu ya utambuzi na kuwahimiza kusali sana!
 
kwi kwi kwi kwi kwi!hii sio thread ya kucheka lakini imenibidi nicheke tu!
chezea MWENYEKITI WA WAWATA kwenye jumuiya wewe!na kitenge chake cha blue na nyeupe!ahahahhahahahh babu mi spendi lakini!

Mjukuu wangu snowhite,

Cheka lakini dose isiwe kubwa...ni tiba ya magonjwa mengi ....

Back to TOPIC,

Jamani kuna watu wa aina 3 ambao ukijua kuwa wanaliwa uroda unatamani kufa kufa au unahisi kama una tumbo la uzazi...

Wa kwanza ni mke, wa pili ni binti yako ambaye hajapewa ruhusa rasmi (bado mdogo) na pia mama yako mzazi....

Hata dada akiwa bado mdogo anauma ila siyo sana kama hao watatu!

Halafu eti ndo uanze kujadiliana na kabinti kako jinsi ya kula uroda salama (kakiwa 13-17 years)....

No, please....Inauma kama kufikiria kuwa kaboy kako kanafanywa kisamvu...

Hii topic kwa kweli haifai kufungia siku...ingawa mleta mada ndo anakula lunch...may be anatelemshia na kisusio cha kihindi!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna sex until marriage..
au awe above 21.....ndo mengine yatafuata...
vitabu na majarida na dini sana...
ikishindikana. mashangazi wanaitwa..


But Baba eti umwambie binti yako atumie vidonge au condom?
hiyo ni 'abomination aisee

Enzi zetu nakumbuka mzazi alikuwa anakuja na vitabu vya EMAU (Elimu na Malezi ya Ujana) anakubwagia unapitiapitia, tatizo siku hizi hali sio hali, unakuta kwenye Tv zetu hizi zinafanya promotion kiaina kuhusu ngono. Binti bado mdogo akihojiwa anaulizwa una boyfriend, kwa maswali kama haya kisaikolojia yanamwandaa mtu kwamba kumbe hii issue ni rukhsa.

Nadhani hapo kwa mashangazi, majarida ya dini pamekaa vyema
 
Mjukuu wangu snowhite,

Cheka lakini dose isiwe kubwa...ni tiba ya magonjwa mengi ....

Back to TOPIC,

Jamani kuna watu wa aina 3 ambao ukijua kuwa wanaliwa uroda unatamani kufa kufa au unahisi kama una tumbo la uzazi...

Wa kwanza ni mke, wa pili ni binti yako ambaye hajapewa ruhusa rasmi (bado mdogo) na pia mama yako mzazi....

Hata dada akiwa bado mdogo anauma ila siyo sana kama hao watatu!

Halafu eti ndo uanze kujadiliana na kabinti kako jinsi ya kula uroda salama (kakiwa 13-17 years)....

No, please....Inauma kama kufikiria kuwa kaboy kako kanafanywa kisamvu...

Hii topic kwa kweli haifai kufungia siku...ingawa mleta mada ndo anakula lunch...may be anatelemshia na kisusio cha kihindi!!

Babu DC!!
wala si uongo babu!wengine tuna maslahi binafsi hapa!niseme nini minor wa Babu DC mie!naumwa tumbo kiukweli
MUNGU ANIKUZIE !tu cacico mamiie tufanye novena!
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli hakuna kipindi kigumu kwa wazazi na walezi kama kipindi kijana anaingia kwenye huu umri!
la kufanya ni kuwapa elimu ya utambuzi na kuwahimiza kusali sana!
ma dia nakumbuka wengi wa umri wetu mtani na huku kusema sema hovyo tumeanzia hapa jamvini wengine.
hivi unakumbuka home economics? tulifundishwa juu ya namna ya kukaa kitako kama binti, namna ya kuitika, kusalimia, na hata kuongea. zaid tulifundishwa namna ya kubajeti matumizi ya ndani na kufanya manunuzi, ingawa upishi na usafi vilikuwepo.

nakumbuka ilikuwa ukitoka shule kurudi nyumban mama anatumika kama mwl wako manake anasimamia yale uliyofunzwa shule na mbaya zaid ilikuwa siku ya bw afya kutembelea nyumban akiwa na afisa ustaw wa jamii basi unademonstrae na enzi zile tulikuwa tunapewa tunzo.

nazitamani enzi zile jamani tulioishi vijijini tulipata mengi sana.

ilikuwa hata kupaza sauti kwa mtoto wa kike ni mwiko na ikitokea umepaza sauti mama anasema hivi mnataka watu wajue kwamba humu ndani kuna mabinti ama?? sijui ilikuwa nikinyume na haki za binadamu ama ilitufunza?
 
ma dia nakumbuka wengi wa umri wetu mtani na huku kusema sema hovyo tumeanzia hapa jamvini wengine.
hivi unakumbuka home economics? tulifundishwa juu ya namna ya kukaa kitako kama binti, namna ya kuitika, kusalimia, na hata kuongea. zaid tulifundishwa namna ya kubajeti matumizi ya ndani na kufanya manunuzi, ingawa upishi na usafi vilikuwepo.

nakumbuka ilikuwa ukitoka shule kurudi nyumban mama anatumika kama mwl wako manake anasimamia yale uliyofunzwa shule na mbaya zaid ilikuwa siku ya bw afya kutembelea nyumban akiwa na afisa ustaw wa jamii basi unademonstrae na enzi zile tulikuwa tunapewa tunzo.

nazitamani enzi zile jamani tulioishi vijijini tulipata mengi sana.

ilikuwa hata kupaza sauti kwa mtoto wa kike ni mwiko na ikitokea umepaza sauti mama anasema hivi mnataka watu wajue kwamba humu ndani kuna mabinti ama?? sijui ilikuwa nikinyume na haki za binadamu ama ilitufunza?
we usinikumbushe!mi nilisoma day ,pale forodhani kuna mwl mmoja wa cookery alikuwa anaitwa mama Mzundu!dah!yule mama alikuwa anatupa mishushuo ya kujibehave mpka basi!by tht time sikuwa namwelewa lakini now ndo naona impact yake!
nyumbani mamangu alikuwa mfano bora sana tu ila tu nilimuangusha wakati fulani ndo mana niko vry sensitive na malezi ya binti yangu!
 
Mjukuu wangu snowhite,

Cheka lakini dose isiwe kubwa...ni tiba ya magonjwa mengi ....

Back to TOPIC,

Jamani kuna watu wa aina 3 ambao ukijua kuwa wanaliwa uroda unatamani kufa kufa au unahisi kama una tumbo la uzazi...

Wa kwanza ni mke, wa pili ni binti yako ambaye hajapewa ruhusa rasmi (bado mdogo) na pia mama yako mzazi....

Hata dada akiwa bado mdogo anauma ila siyo sana kama hao watatu!

Halafu eti ndo uanze kujadiliana na kabinti kako jinsi ya kula uroda salama (kakiwa 13-17 years)....

No, please....Inauma kama kufikiria kuwa kaboy kako kanafanywa kisamvu...

Hii topic kwa kweli haifai kufungia siku...ingawa mleta mada ndo anakula lunch...may be anatelemshia na kisusio cha kihindi!!

Babu DC!!

Babu usiseme tena, yaani kitendo cha kujua mwanao ama mume wanashiriki ngono inaumiza kuliko maelezo.

hii hutokana na ukweli kwamba kila mtu hutamani wanawe wawe role models wa nidhamu na wasianguke ktk maradhi. mume huuma kwasababu ni kitendo cha kudhalilisha mwenza kufanya hayo.
 
we usinikumbushe!mi nilisoma day ,pale forodhani kuna mwl mmoja wa cookery alikuwa anaitwa mama Mzundu!dah!yule mama alikuwa anatupa mishushuo ya kujibehave mpka basi!by tht time sikuwa namwelewa lakini now ndo naona impact yake!
nyumbani mamangu alikuwa mfano bora sana tu ila tu nilimuangusha wakati fulani ndo mana niko vry sensitive na malezi ya binti yangu!
sikatai kuna kuanguka dhambini manake mtu si chuma useme atasimama imara milele. lkn huoni kwamba ulipojitambua kwamba umeenda nje ya mstari ulirudi tena??
namshukuru sana mama sikuwah kwenda kinyume na mstari manake alikuwa na maneno ambayo si fimbo ila yanauma. nasikitika sana kuna siku nilikosea nikiwa ndoani lol! niliregret na kutubu kwa mungu. na sasa ninamshukuru sana Mungu kwamba huko nimevuka.
 
ma dia nakumbuka wengi wa umri wetu mtani na huku kusema sema hovyo tumeanzia hapa jamvini wengine.
hivi unakumbuka home economics? tulifundishwa juu ya namna ya kukaa kitako kama binti, namna ya kuitika, kusalimia, na hata kuongea. zaid tulifundishwa namna ya kubajeti matumizi ya ndani na kufanya manunuzi, ingawa upishi na usafi vilikuwepo.

nakumbuka ilikuwa ukitoka shule kurudi nyumban mama anatumika kama mwl wako manake anasimamia yale uliyofunzwa shule na mbaya zaid ilikuwa siku ya bw afya kutembelea nyumban akiwa na afisa ustaw wa jamii basi unademonstrae na enzi zile tulikuwa tunapewa tunzo.

nazitamani enzi zile jamani tulioishi vijijini tulipata mengi sana.

ilikuwa hata kupaza sauti kwa mtoto wa kike ni mwiko na ikitokea umepaza sauti mama anasema hivi mnataka watu wajue kwamba humu ndani kuna mabinti ama?? sijui ilikuwa nikinyume na haki za binadamu ama ilitufunza?
well said mwalimu, kwanza naomba kuuliza swali, hapo kwenye red ndo sayansi kimu? maana mimi sikumbuki hiyo home economics
 
sikatai kuna kuanguka dhambini manake mtu si chuma useme atasimama imara milele. lkn huoni kwamba ulipojitambua kwamba umeenda nje ya mstari ulirudi tena??
namshukuru sana mama sikuwah kwenda kinyume na mstari manake alikuwa na maneno ambayo si fimbo ila yanauma. nasikitika sana kuna siku nilikosea nikiwa ndoani lol! niliregret na kutubu kwa mungu. na sasa ninamshukuru sana Mungu kwamba huko nimevuka.
mwali nilijitambua nikiwa tayari na kakid at 17,imagine!mstari huu huupenda sana kuutumia! ULINGUKA,INUKA,FUTA VUMBI,SIMAMA,TAZAMA MBELE!ISHI!
we acha tu!ilinifanya nikawa snowhite huyu leo nashusha mipwenti hapa!my girl was my turning point!nilibadilika na kuwa mtotto(mama)mzuri ajabu!AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA ZAWADI YA binti uliyonipa akanifanya niyatazame maisha katika angle nyingine kabisa!
 
well said mwalimu, kwanza naomba kuuliza swali, hapo kwenye red ndo sayansi kimu? maana mimi sikumbuki hiyo home economics
sayansi kimu tulifundishwa kila kitu from tabia, usafi mapish nk
 
mwali nilijitambua nikiwa tayari na kakid at 17,imagine!mstari huu huupenda sana kuutumia! ULINGUKA,INUKA,FUTA VUMBI,SIMAMA,TAZAMA MBELE!ISHI!
we acha tu!ilinifanya nikawa snowhite huyu leo nashusha mipwenti hapa!my girl was my turning point!nilibadilika na kuwa mtotto(mama)mzuri ajabu!AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA ZAWADI YA binti uliyonipa akanifanya niyatazame maisha katika angle nyingine kabisa!
na hapo ndipo binti kama wewe anapoongezeka thamani. manake anajua kwamba sitakiwi kukosea tena.Binafsi nilisema nimekosea kama mwanadamu ila sitoyarudia makosa yangu na daima nitasimama kueleke njia iliyo bora daima. NAMSHUKURU SANA MUNGU ALINIITIKIA NA KUNIPAUJASIRI NA SASA NI MIONGONI MWA WATU JASIRI SANA NA AMBAO MAKOSA YAO YA NYUMA HAYAWAFUATI TENA.
 
mwali nilijitambua nikiwa tayari na kakid at 17,imagine!mstari huu huupenda sana kuutumia! ULINGUKA,INUKA,FUTA VUMBI,SIMAMA,TAZAMA MBELE!ISHI!
we acha tu!ilinifanya nikawa snowhite huyu leo nashusha mipwenti hapa!my girl was my turning point!nilibadilika na kuwa mtotto(mama)mzuri ajabu!AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA ZAWADI YA binti uliyonipa akanifanya niyatazame maisha katika angle nyingine kabisa!

Nagonga LIKE hapo nilipo bold, ukifuata hayo maneno hakuna frustration katika maisha maana kama tatizo likitokea hata ukinung'unika haliwezi futika kikubwa ni kuchukua hatua ya namna ya kulirekebisha pia iwe ni funzo kwa wengine lisiwatokee (na ndio maana inasemwa duniani mambo yote yanayotokea ni mazuri hata kama kwa namna moja ama nyingine yamekuletea shida ila unachotakiwa ni kuangalia suluhisho la hilo tatizo na ndio kukomaa kwenyewe)
 
Back
Top Bottom