Swali kwa wataalamu wa JF (w/ume haswa)

funzadume

JF-Expert Member
Jan 28, 2010
13,559
21,040
Nimesoma post ya yule dada ambaye akinyonyesha ana cum imenikumbusha kitu kilinitokea miaka mingi sana iliyopita

Miaka ya nyuma sana wakati nasoma kidato cha nne niliwahi kukutwa na tatizo ambalo mpk leo nimekaa nalo kama siri, lakini kwa kuwa hapa kuna wataalam wengi ngoja niwamegee tujadili

Siku nilipokuwa nafanya mtihani wa mwisho wa taifa wa kidato cha nne wa Book Keeping kuna swali lilikataa ku-balance (wahasibu hapa mtanielewa vizuri) sasa wakati nachekecha akili na kuangalia wapi nimekosea nilisikia hali flani ya raha hivi mpaka nikapiga bao ndani ya chumba cha mtihani yaani ilikuwa na ajabu sana ila bahati nzuri waliokaa jirani walikuwa busy na mtihani hawakugundua ingawa nilipatwa na hali ya ajabu sana

ilibidi niombe ruhusa kwenda chooni kujiweka sawa ndio nikarudi kwenye paper na kuendelea (nilipata "A" mwisho wa siku)

Swali ni kwamba je hiyo ni hali ya kawaida au kuna mtu mwingine imeshamtokea akapiga bao katika kipindi cha stress kama hicho?. Naomba ushauri kutoka kwa wanaume au wanawake wenye taaluma na uzoefu wa mambo ya afya ya uzazi
 
aisee hata mimi nimewahi kupata hiyo hali nikiwa kwenye mtihani wa basic maths form four. Umenikumbusha mbali kweli
latter, i shared it with friends when i was in form six wakasema they have faced the same issue during o -level

i wish a doctor could explain this
 
aisee hata mimi nimewahi kupata hiyo hali nikiwa kwenye mtihani wa basic maths form four. Umenikumbusha mbali kweli
latter, i shared it with friends when i was in form six wakasema they have faced the same issue during o -level

i wish a doctor could explain this
kumbe wahanga tuko wengi lol
 
Pia mie ilishanitokea nilikuwa nafanya pepa ya kawaida ya physics kidato cha tano! Maswali yalikuwa mengi na mwalimu aliyekuwa anasimamia ni mjapan basi mra akaja akasema stooop time is over collect all the papers duh hapo hapo baoooo, lakini pia niligonga "A" ya akili tu.
Nafikiri ni hali ya kawaida, na hasa mashuleni maana kwa kuwa busy unaweza kaa muda mrefu bila ya kukutana na msichana
 
Imeshanitokea sana kwenye paper zangu nikiwa UD, na haswa haswa kile kipindi cha dakika za mwisho za kukusanya paper, wakati wenzangu wanarudisha paper kwa msimamizi nami wakati huo namalizia swali la mwisho... duuuuuu, unawish kupiga kelele hali inavyokuwa worse.
 
eeh jaman wakat mi napika chai jana asubuhi nikaskia hali km iyo bas uyooooo mbio toi...!!!!!!
 
Duuuh! Hii ni issue kwa kweli, mi sijawahi kutana nalo kuanzia primary mpaka bachelor. Kama atakosekana mwenye ufafanuzi makin bora utafute dokta kwa muda wako muelezee utasikia majibu yake
 
Inamaana mm siyo binadamu au? Mbona sijawahi kutana na hiyo hali? Nishazoega za ndotoni na hiyo ilikua zamani!
 
Nimesoma post ya yule dada ambaye akinyonyesha ana cum imenikumbusha kitu kilinitokea miaka mingi sana iliyopita

Miaka ya nyuma sana wakati nasoma kidato cha nne niliwahi kukutwa na tatizo ambalo mpk leo nimekaa nalo kama siri, lakini kwa kuwa hapa kuna wataalam wengi ngoja niwamegee tujadili

Siku nilipokuwa nafanya mtihani wa mwisho wa taifa wa kidato cha nne wa Book Keeping kuna swali lilikataa ku-balance (wahasibu hapa mtanielewa vizuri) sasa wakati nachekecha akili na kuangalia wapi nimekosea nilisikia hali flani ya raha hivi mpaka nikapiga bao ndani ya chumba cha mtihani yaani ilikuwa na ajabu sana ila bahati nzuri waliokaa jirani walikuwa busy na mtihani hawakugundua ingawa nilipatwa na hali ya ajabu sana

ilibidi niombe ruhusa kwenda chooni kujiweka sawa ndio nikarudi kwenye paper na kuendelea (nilipata "A" mwisho wa siku)

Swali ni kwamba je hiyo ni hali ya kawaida au kuna mtu mwingine imeshamtokea akapiga bao katika kipindi cha stress kama hicho?. Naomba ushauri kutoka kwa wanaume au wanawake wenye taaluma na uzoefu wa mambo ya afya ya uzazi

Itakuwa ulikuwa umevunja ungo noo I mean ni kipindi cha baleghe kwahiyo unakuwa na mshawasha yaani paka akiona tu samaki analia nyauuuuuuuuuuuuuuu.
 
Imeshanitokea sana kwenye paper zangu nikiwa UD, na haswa haswa kile kipindi cha dakika za mwisho za kukusanya paper, wakati wenzangu wanarudisha paper kwa msimamizi nami wakati huo namalizia swali la mwisho... duuuuuu, unawish kupiga kelele hali inavyokuwa worse.

Mimi sijawahi kuexperiance hiyo hali ila ninapokuwa kwenye mitihali ya long session like 3 hours "Mohammed" mdogo huwa ananisumbua sana......
 
Kwa assumptions za kawaida... u don't need women then... kila ukisikia kupata ahueni, fanya mtihani.... its fast and safer
 
hali kama hiyo siyo ajabu ingawa pia sio very common. inatokana na kupanda kwa level za homorne na moja ya side effect ya hiyo hommone ni usingizi na kuongeza joto la mwili kisi fulani. so mhusika atajisikia kuchoka na kupiga miayo miwili mitatu na macho yake hulegea kama ana usingizi na ndipo huweza kupata hiyo nocturnal emmission ya mchana kweupe. wengine hujinyonganyonga na kujibana vifaa vyao na mapaja na hivyo kuongeza hisia na kwa kufanya hivyo wana-accerererate hiyo emiision. hata maofisini wengi tu hupatwa na ama kufanya hali kama iyo. siyo direct result of stress bali an indrect one hasa mhusika anapoanza kpata kumbukumbu za mapicha ama mazingira ya miili ya kike na sometimes hayo mapicha yanamuijia akilini ili kurelease stress. unaweza kudhani ni aina ya kamchezo ka kujichua hivi.
 
ni hali inayowakuta watu ambao wanakua over-excited... inatokea kwa wote, wake kwa waume ingawa sio common sana

Zaidi kwa wanaume ni kile kipindi chetu.... kwa akina dada sina hakika
 
hali kama hiyo siyo ajabu ingawa pia sio very common. inatokana na kupanda kwa level za homorne na moja ya side effect ya hiyo hommone ni usingizi na kuongeza joto la mwili kisi fulani. so mhusika atajisikia kuchoka na kupiga miayo miwili mitatu na macho yake hulegea kama ana usingizi na ndipo huweza kupata hiyo nocturnal emmission ya mchana kweupe. wengine hujinyonganyonga na kujibana vifaa vyao na mapaja na hivyo kuongeza hisia na kwa kufanya hivyo wana-accerererate hiyo emiision. hata maofisini wengi tu hupatwa na ama kufanya hali kama iyo. siyo direct result of stress bali an indrect one hasa mhusika anapoanza kpata kumbukumbu za mapicha ama mazingira ya miili ya kike na sometimes hayo mapicha yanamuijia akilini ili kurelease stress. unaweza kudhani ni aina ya kamchezo ka kujichua hivi.
hapo kwenye blue sikubaliani na wewe hamna mapicha yoyote yanayokuja kichwani maana kinachotokea ni kwamba mtu unakuwa busy na pepar tena unakuwa huna fikra zozote zaidi ya huo mtihani ila unajikuta unapiga bao, ningependa mtu je na maelekezo ya kisayansi zaidi
 
Back
Top Bottom