Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,989
leo nimekumbuka sana maisha nikiwa ya kidato cha nne na hasa nilipokuwa naenda kufanya mtihani wa hesabu with zero brain in calculation lakin cha ajabu nilitumia muda mwingi kufikiri kuliko mtihani wowote na ajabu zaidi niliingia na kitabu cha four figure wakati sikuwahi kujifunza kabisa yaani mimi na hesabu nilikuwa nimeshagombana nae ila ajabu nilijikokoki mno kwenye mtihani wa Taifa,mambo yaliukuwa fire hatimae matokeo nililetewa mswaki mkubwa na sikuweza kukataa ila aiseee hesabu ipewe heshima yake.