Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Nijibu hili swali moja tu na mwanaume ambaye hajajitunza naye tumuweke kwenye kundi gani? Kama hauna hoja lazima ukiambiwa ukweli useme ni povu nijibu hilo swali hapo


Sasa wewe ni nani mpaka ujilinganishe na Mwanaume?

Kama hujui maandiko ya kiroho kwenye Biblia na Quran. Au hata kwenye matambiko ya kijadi huwezi elewa nazungumzia nini.

Swali lako muulize aliyekuumba mwanamke maana yeye ndiye katoa sheria ya kuoa bikra na hajamconsider mwanaume.
 
Naam mother ni hiyana na udanganyifu mkubwa sana kumficha mchumba ukweli kuhusu bikira.

Huku zenji jamaa amejizuia hakuzini nae,akajua bikira,na mwanamke hakusema.basi jamaa siku ya siku anashangaa hakuna breki daaah jamaa yu hoi akadai mahari yake wee ugomvi mkibwa sanaaa.

Sasa bora kuwekana wazi mapema.
Hahaha...halafu nasikia visiwani...wengi huolewa na bikira(forward),lakini bikra ya upande wa mashariki haipo...
 
Hahaha...halafu nasikia visiwani...wengi huolewa na bikira(forward),lakini bikra ya upande wa mashariki haipo...
Ni kweli hayo yapo na yanafanyika,inasikitisha sana kwa dhambi hii,japo wapo ambao huolewa na bikira zao zote.

Lakini balaa zaidi unakuta mdada hana bikira ya mbele na nyuma hana kitu pia manake empty both sides.
 
Kwa misingi ipi yaani kwa mfano? Ukisema hivyo unamaanisha kwamba hata yeye natakiwa nimkute kajitunza hajawahi kufanya mapenzi na mwanamke yeyote ila kama na yeye alishawapitia wanawake wengine huko na wengine aliwatoa bikira basi anatakiwa ajue kuwa pia kuna wanaume wenzie nao walimpitia mke wake mtarajiwa maana hata yeye aliowapitia ni wake za watu watarajiwa

Yaani kwenye hili swala hamuwezi kutulaumu wanawake tu sababu nyie ndo mnaongoza kutaka ngono kabla ya ndoa halafu mwisho wa siku mnawaacha watoto wa watu waende kuolewa na kina nani sasa? Ndo maana na wewe itabidi upate aliyetumika kama ambavyo wewe uliwatumia wa wenzio yaani wewe usijitunze halafu kabisa unataka upate aliyejitunza? Are you serious? Ofcourse you are not serious.
Absolutely..
 
Ni kweli hayo yapo na yanafanyika,inasikitisha sana kwa dhambi hii,japo wapo ambao huolewa na bikira zao zote.

Lakini balaa zaidi unakuta mdada hana bikira ya mbele na nyuma hana kitu pia manake empty both sides.
Aisee...tupo kwenye nyakati mbaya mnoo,.aso hili ana lile
 
yaan unataka ununue nguo bila kuijaribu kama ni ndogo au kubwa...
Manguo ya mtumba ndo yanajaribiwa.

Nguo mpya safi ya duka kutoka duka classic hutothubutu kujaribu.

Ukiona umempata mwanamke akakupa uchi kabla ya ndoa kwa kigezo cha kujaribu jua HUYO DADA NI MTUMBA NA HAJIAMINI.

Mwanamke wa duka hawezi kukuacha ujaribu kwa kuwa ana uhakika wa bidhaa yake.

Mambo ya kujaribu ni mitumbani huko.
 
Exposure ya Zinaa sina mimi.

Wewe tafuta wenye exposure na wala mapagama wakina Rikiboy. Wazee wa Mitumba lakini huwezi pata watu makini kama sisi.

Yaani nitumie mtumba wakati uwezo wa kutumia kitu kipya ninacho thubutu.

Alafu lazima ujue kuwa mwanamke kuolewa akiwa bikra ni agizo la Muumba sio agizo langu.

Sasa wewe kalia hapo ku-think out of box kuwalisha wenzako uchafu.

Utawakamata hao wenye exposure ya Kidunia lakini sio ya ulimwengu wa roho. Bila bikra wewe ni laana na mkosi kwa mumeo.
Daah wewe mgumu kuelewa aisee wewe bwabwaja hapo ila kaa ukijua kuwa kujitunza kunahitajika kote kwa wanaume na wanawake na siyo kwa wanawake tu

Na hiyo ndo point yangu na vitabu vya dini vimeagiza tusizini wala tusiwe na wake au waume wengi na kwa mantiki hiyo basi ina maana kwamba jinsia zote hazitakiwi kuzini bali kusubiri hadi ndoa

Sasa wewe unalazimisha kwamba wanawake ndo wajitunze halafu wanaume wazini sasa ndo ujiulize inawezekanaje jinsia moja kujitunza halafu nyingine inazini hiyo inayozini inafanya na kina nani sasa na wanyama au?

Hebu labda unijibu hapo wakati wanawake wanajitunza wanaume mnakuwa mnazini na kina mbona haujibu unazunguka tu na kulazimisha vitu ambavyo haviwezekani yaani unaongelea maandiko wakati huo huo unatetea uzinzi?
 
Sasa wewe ni nani mpaka ujilinganishe na Mwanaume?

Kama hujui maandiko ya kiroho kwenye Biblia na Quran. Au hata kwenye matambiko ya kijadi huwezi elewa nazungumzia nini.

Swali lako muulize aliyekuumba mwanamke maana yeye ndiye katoa sheria ya kuoa bikra na hajamconsider mwanaume.
Mkuu jibu hili swali wakati wanawake wanajitunza wanaume mnakuwa mnafanya mapenzi na kina nani?
 
Daah wewe mgumu kuelewa aisee wewe bwabwaja hapo ila kaa ukijua kuwa kujitunza kunahitajika kote kwa wanaume na wanawake na siyo kwa wanawake tu

Na hiyo ndo point yangu na vitabu vya dini vimeagiza tusizini wala tusiwe na wake au waume wengi na kwa mantiki hiyo basi ina maana kwamba jinsia zote hazitakiwi kuzini bali kusubiri hadi ndoa

Sasa wewe unalazimisha kwamba wanawake ndo wajitunze halafu wanaume wazini sasa ndo ujiulize inawezekanaje jinsia moja kujitunza halafu nyingine inazini hiyo inayozini inafanya na kina nani sasa na wanyama au?

Hebu labda unijibu hapo wakati wanawake wanajitunza wanaume mnakuwa mnazini na kina mbona haujibu unazunguka tu na kulazimisha vitu ambavyo haviwezekani yaani unaongelea maandiko wakati huo huo unatetea uzinzi?
Daah wewe mgumu kuelewa aisee wewe bwabwaja hapo ila kaa ukijua kuwa kujitunza kunahitajika kote kwa wanaume na wanawake na siyo kwa wanawake tu

Na hiyo ndo point yangu na vitabu vya dini vimeagiza tusizini wala tusiwe na wake au waume wengi na kwa mantiki hiyo basi ina maana kwamba jinsia zote hazitakiwi kuzini bali kusubiri hadi ndoa

Sasa wewe unalazimisha kwamba wanawake ndo wajitunze halafu wanaume wazini sasa ndo ujiulize inawezekanaje jinsia moja kujitunza halafu nyingine inazini hiyo inayozini inafanya na kina nani sasa na wanyama au?

Hebu labda unijibu hapo wakati wanawake wanajitunza wanaume mnakuwa mnazini na kina mbona haujibu unazunguka tu na kulazimisha vitu ambavyo haviwezekani yaani unaongelea maandiko wakati huo huo unatetea uzinzi?


Mkuu unafikiri sikuelewi. Mwanamke akijitunza automatic mwanaume hana ujanja.

Wewe kwa akili yako unafikiri ni kwa nini mtoto wa kike ndiye anafungiwa ndani zaidi kuliko mtoto wa kiume.

Ukimtunza mwanamke umeitunza jamii. Ukimharibu mwanamke umeiharibu jamii.

Wazazi siku hizi wamewaacha watoto wakike bila uangalizi ndio maana jamii imeharibika. Ebu angalia jamii ambazo bado mpaka leo wanawake wapo chini ya uangalizi alafu angalia maadili yao yalivyo.

Nikupe mifano huenda hujui.
Angalia Waarabu, Wahindi, Wayahudi, Wamasai n.k.

Kama mkuu huna bikra muombe msamaha mumeo tuu naye atakusamehe.
 
I
Na wanawake wasiokuwa na bikira wanakuwa wana ugonjwa huo wa kiakili wa kukosa confidence ya kuwanyima wapenzi wao kabla ya ndoa.

Kwa sababu anaoona kwamba hivi nikimnyima alafu akasubiri mpaka ndoa na akakuta sina bikira je ataonaje?...hapo ndo mwanamke huona bora aachie.kumbe ndo anazidi kujiharibia.kwa sababu sio kila mwanaume nni muowaji,wengi wanatumia gia hiyo kupata ngono tu,hivyo anachotakiwa mwanamke kupima ni kunyima penzi kabla ya ndoa ili aone kwamba huyu mtu ana nia ama mzushi tu.

Lakini iwe pamoja na kumfikishia habari kwamba bhana mimi sio bikira niliteleza hapo nyuma kwa hiyo ukiridhika na hali hiyo nisubiri mpaka ndoa kama hunamini basi njiannyeupe.

Wanawake wakiwa na misimamo hii basi hupelekea kupata mume ambae ana malengo nae kweli kweli.kwa sababu atapata mume ambaye amemkubali mapungufu yake.

Na sio kwamba tunaoana kwa sababu hatuna mapungufu,bali tunaoana kwa sababu tumeyakubali mapungufu.

Njia hii ni salama sana.
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾
KAMA ATAKUA NA UHUSIANO NA MM NA HAJAWAHI KUWA NA UHUSIANO NA MTU MWINGINE NTAHESHIMU MAWAZO YAKE ILA KAMA AMEWAHI SITA MWACHA ILA NTAKUA NA MTU MWINGINE HUKU YY AKISUBIRI NDOA IFUNGWE THEN SEX IHAMIE KWAKE
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾
Kama hataki kunitunuku sasa mimi naoaje bila kujua kama yaliyomo yamo?
 
Hapa sio swala la kushinda Mkuu. Ukweli ndio huo.

Unadhani kwa nini ukikutwa ugoni unayelipishwa ni Mwanaume badala ya Mwanamke. Hujui ni kwa nini ukilala na binti ukamtoa bikra hata kama wote ni mara yenu ya kwanza lakini mwanaume ndio unaambiwa umemnajisi au kumuharibu binti wa watu.

Au hujui ni kwa nini Mwanamke anabikra alafu mwanaume hana.

Siku hizi walioenda shule ndio wajinga kuliko wasioenda.

FaizaFoxy huwa namuelewaga sana katika hili.

Mtu asiyejua dini lazima abishe vitu kama hivi.

Sawa mkuu wewe unajua
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾
Haha Mimi sipendi 'chini' as i said before mama.
Kama ni tunda bado halijaliwa ntasubiri mpaka ndoa
Lakini kama siyo why aniambie mpaka ndoa.
wakati tunda tiyari limeshamenywa na kuliwa na waume wenza
 
Mkuu unafikiri sikuelewi. Mwanamke akijitunza automatic mwanaume hana ujanja.

Wewe kwa akili yako unafikiri ni kwa nini mtoto wa kike ndiye anafungiwa ndani zaidi kuliko mtoto wa kiume.

Ukimtunza mwanamke umeitunza jamii. Ukimharibu mwanamke umeiharibu jamii.

Wazazi siku hizi wamewaacha watoto wakike bila uangalizi ndio maana jamii imeharibika. Ebu angalia jamii ambazo bado mpaka leo wanawake wapo chini ya uangalizi alafu angalia maadili yao yalivyo.

Nikupe mifano huenda hujui.
Angalia Waarabu, Wahindi, Wayahudi, Wamasai n.k.

Kama mkuu huna bikra muombe msamaha mumeo tuu naye atakusamehe.
Kwa bahati mbaya nina mwanaume anayejielewa na ambaye hakariri maisha kama wewe anajua kuwa bikira siyo ticket ya kudumu kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom