Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Kama bikra nitakubali Ila kama sio asepe tu
 
Sex Huwa haiombwi Kama unaomba karanga (Weak spots) ...
Wanaojua washajua namaanisha nn.... Kama hujaelewa uliza watakwambia.....
 
Hii njianhuwa salama sana endapo mtu anapata mtu sahihi.

Inatakiwa mwanamke ajiweke katika mazingira ambayo hata mwanaume mwenyewe aone aibu kuomba penzi kabla ya Ndoa.

Lakini kwa mwanamke ambae amejiweka mazingira ambayo mwanaume anashawishika kuomba penzi kabla ya ndoa kwa nini mwanaume asiombe kuzini na huyo mtu?

Kwa sababu kama anavaa kwa kutamanisha na kujiweka mazingira hayo basi kuombwa penzi ndio reaction ya action ya mazingira anayojiweka.

Kila kitendo lazima kiwe na athari zake.
Kitendo cha mwanamke kujiweka mazingira ya kuvutia kingono na kuwatamanisha wanaume wengine basi athari zake ni kuwa mwaanaume hatokubali kumuacha hivi hivi wakati kila siku akimtamanisha kwa mavazi adimu kama hayo.

Na mwanaume hawezi kuamini kwamba ni kweli unajitunza mwanamke wakati mazingira yakko yanaonesha kwamba haupo kwa kujitunza.

WANAWAKE WANAFANYA KOSA KUBWA kuwaamini wapenzi wao(wachumba).
Wanawake sikilizeni : mwanaume pekee unaepaswa kumuamini ni mumeo tu" kwa sababu huna uhakika kwamba huyo utakayempa penzi kama atakuoa au atakuacha.kwa hyo kama anashida kweli akusubiri.

Lakini pia wanaume nao tuna matatizo sana.hivi unamuoaje na kumuamini mwanamke ambae alikubali kukupa penzi kabla ya ndoa?

Kama aliweza kukupa penzi wewe ambae sie mumewe na hujamuoa je atashindwa kuwapa wengine penzi ambao pia sio waume zake na hawajamuoa?... Una nini cha ziada mpaka ujiamini kwamba anakupa penzi peke yako?.


Hahahahhaahha MOTHER confessor
Mkuu Kuna wanawake wanavaa vizuri pasipo kutamanisha kingono lakini Ni wazinifu balaa humu mitaani!!
 
wanawake wa sasa hivi.....wengi ni mitumba kwahyo acha tuwajaribu tu
Manguo ya mtumba ndo yanajaribiwa.

Nguo mpya safi ya duka kutoka duka classic hutothubutu kujaribu.

Ukiona umempata mwanamke akakupa uchi kabla ya ndoa kwa kigezo cha kujaribu jua HUYO DADA NI MTUMBA NA HAJIAMINI.

Mwanamke wa duka hawezi kukuacha ujaribu kwa kuwa ana uhakika wa bidhaa yake.

Mambo ya kujaribu ni mitumbani huko.
 
Naunga mkono hoja.

Dunia imebadilka. Unaingia ndoani unashangaa mtoto hampati miaka inakatika. Kumbe mtu alisha haribu kizazi.
Sasa hapo anakuwa amekubali au "anakufikiria"? Afu ukute hata bikira yenyewe ilishabomolewa

Yaani univulie chupi baada ya ndoa? Nikikuta huna K?

Mimi bhana ili nikuoe sio univulie chupi tu bali na mimba juu! Ndoa itafungwa ukiwa na mimba ya miezi 9 au mtoto kashazaliwa.
 
Back
Top Bottom