Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,895
Khaa sasa ukisema hivyo unamaanisha nini? Kwani wanawake hizo bikira zinatolewa na kina nani? Mkisema wanawake wajitunze automatically mnamaanisha na wanaume nao wajitunze labda kama nyie mtakuwa mnafanya na wanyama huku wanawake wakiwa wanajitunza
Ndio maana nikasema endelea kusubiri Mwanaume ajitunze alafu mwisho wa siku tuone atakayekutwa hana bikra tuone atakuwa nani.
Wewe ni mwanamke yakupasa ujitambue. Kama hukuolewa na bikra basi jua wewe ni mkosi tuu kwa mumeo.



