Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Watu wengi walishaingia mkenge sana kuna mshkaji mmoja aliambiwa hivyo akasubiri mpaka ndoa. Baada ya ndoa jamaa anampembua mtoto nguo anakutana na msono kumbe dem alishazaa siku nyingi hakutaka tu apate mtoto wa pili kabla ya ndoa
 
Na kwa vile ubishi siuwez umeshinda mkuu

Hapa sio swala la kushinda Mkuu. Ukweli ndio huo.

Unadhani kwa nini ukikutwa ugoni unayelipishwa ni Mwanaume badala ya Mwanamke. Hujui ni kwa nini ukilala na binti ukamtoa bikra hata kama wote ni mara yenu ya kwanza lakini mwanaume ndio unaambiwa umemnajisi au kumuharibu binti wa watu.

Au hujui ni kwa nini Mwanamke anabikra alafu mwanaume hana.

Siku hizi walioenda shule ndio wajinga kuliko wasioenda.

FaizaFoxy huwa namuelewaga sana katika hili.

Mtu asiyejua dini lazima abishe vitu kama hivi.
 
Yeah lazima iwe hivyo. kuna mengi yapaswa kujulikana before commitment..hebu fikiria unakuta kama alivyosema mdau hapo juu kwamba unakuta no marinda, au breki mapaja and so on...itakuaje
Duh!!na ujanja wangu wote hii breki mapaja ndio kwanza naskia hapa.ndio kitu gan hii mkuu???
 
Mahusianobya kimapenzi au mahusiano tu mkielekea kwenye ndoa?
 
hamna shida mbona....na yeye asubirie mpk ndoa ndo ale hela yangu
 
inavyotakiwa ndio hivyo no sex before marriage, sasa siku ya ndoa jamaa anakuta kumbe na wewe sio bikra. Yaani mngetunza bikra ungekuwa na nguvu asilima 100 ya kukataa sex before ndoa. wewe unasemaje sasa jamaa akisubiri afu akute hamna kitu umetumika sana tu
Mkuu ukisema wanawake wajitunze automatically unamaanisha na wanaume nao pia wajitunze kwa sababu hizo bikira hazitoki zenyewe ninyi ndo mnazitoa kwahiyo kabla haujataka mwanamke bikira hakikisha kwanza na wewe ni bikira

Siyo mnatoa bikira za watoto wa watu huko mnawatumia halafu mkishawachoka ndo mnakuja humu mnaanza kulaumu kuwa wanawake wasio na bikira hawafai kwa kuoa mnataka wenye bikira sasa hao mliowatoa bikira zao kabla ya ndoa mnataka waolewe na kina nani?
 
Bila Bikra siwezi kuoa.
Ndio maana mwanamke akinambia ananipenda na ni bikra alafu mimi simpendi abadan siwez kumtoomba.

Natoomba Malaya waliotolewa bikra. Naharibu vilivyoharibiwa. Na Najisi vilivyonajisiwa. Nachafua vilivyochafuliwa.

Siwezi kutakasa kilichonajisiwa na mwingine. Siwezi Safisha kilichochafuliwa na mwingine. Siwezi unda kilichoharibiwa n Mwingine.

Kwa ufupi. Nikisikia Mwanamke hana bikra namuona kama Mhuni fulani hivi asiyestahili kabisa kuolewa na Mimi.

Mwanamke asiyebikra namchukulia kama mtu aliyetoa mimba.

Namchukulia kama shimo la Taka ambalo kila mwenye uchafu anakuja kuutupa kwenye shimo lake.

Mwanamke Asiye na Bikra ni bora awe ameolewa na kuachika au mumewe amefariki. Huyu thamani yake ni kama Makombo.

Kiufupi Kuoa mwanamke asiyebikra ni uchafu katika nyumba. Yaani ni kama Mbwa ambaye ni mchafu asiyejali idadi ya maumbwa dume.

Nashukuru kwa Misimamo yangu imenisaidia kupata furaha katika maisha.

Kwa kujibu swali lako. Mimi mwanamke kama ni bikra sina haja ya kusubiri siku ya ndoa wakati mimi wa leo ndio huyo wa siku ya ndoa. Halikadhalika na yeye.

Anipe tuu.
Mkitaka kuoa mabikira ndo acheni kuomba mchezo kabla ya ndoa sasa yaani kwa maana nyingine ni kwamba jinsia zote zijitunze maana hizo bikira hazijitoi zenyewe eti
 
Mwanaume Anabikra?

Nyie endeleeni Kujilinganisha wakati nyie ni watumiwaji sisi ni watumiaji
Khaa sasa ukisema hivyo unamaanisha nini? Kwani wanawake hizo bikira zinatolewa na kina nani? Mkisema wanawake wajitunze automatically mnamaanisha na wanaume nao wajitunze labda kama nyie mtakuwa mnafanya na wanyama huku wanawake wakiwa wanajitunza
 
Back
Top Bottom