Si umempenda lakini...utavumiliaYeah lazima iwe hivyo. kuna mengi yapaswa kujulikana before commitment..hebu fikiria unakuta kama alivyosema mdau hapo juu kwamba unakuta no marinda, au breki mapaja and so on...itakuaje
Na me ntamwambia "No Money to Give before Marriage"N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..![]()
Sasa hupendi penseli wala tango.... unataka uingiziwe ngumi au goti?Hata mie kama mwanamke sikubali!
Je ukute mwanamme ana KAPENSELI au LITANGO!!!
Lazima nione ndio nifanye maamuzi kama anafaa kuishi hadi kifo kitutenganishe au hafai!!!!
Jizazii😂meno????hukung'atwa sasa???Wanaume tunashuhudia mengi wewe....nlishawahi kukutana na K ina meno. Hiyo ndo siku niligundua nina kipaji cha riadha. Tena MARATHON...
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..![]()
Yap nakubali........N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍷🍾
Inatakiwa kuwa kwenye size elekezi babu Asprin.Sasa hupendi penseli wala tango.... unataka uingiziwe ngumi au goti?
hahhah hahahSi umempenda lakini...utavumilia
Watu sio wavumilivu kabisaa😄Tena kwa upande wangu hayo mahusiano hayatadumu hata miezi 2, bila mgegedo.!
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..![]()
Utaikagua kwa macho sasa??😀Bikra Sawa tena nikague niridhike
Daku la leo litakuwa amazing woiii😍😍Hii njianhuwa salama sana endapo mtu anapata mtu sahihi.
Inatakiwa mwanamke ajiweke katika mazingira ambayo hata mwanaume mwenyewe aone aibu kuomba penzi kabla ya Ndoa.
Lakini kwa mwanamke ambae amejiweka mazingira ambayo mwanaume anashawishika kuomba penzi kabla ya ndoa kwa nini mwanaume asiombe kuzini na huyo mtu?
Kwa sababu kama anavaa kwa kutamanisha na kujiweka mazingira hayo basi kuombwa penzi ndio reaction ya action ya mazingira anayojiweka.
Kila kitendo lazima kiwe na athari zake.
Kitendo cha mwanamke kujiweka mazingira ya kuvutia kingono na kuwatamanisha wanaume wengine basi athari zake ni kuwa mwaanaume hatokubali kumuacha hivi hivi wakati kila siku akimtamanisha kwa mavazi adimu kama hayo.
Na mwanaume hawezi kuamini kwamba ni kweli unajitunza mwanamke wakati mazingira yakko yanaonesha kwamba haupo kwa kujitunza.
WANAWAKE WANAFANYA KOSA KUBWA kuwaamini wapenzi wao(wachumba).
Wanawake sikilizeni : mwanaume pekee unaepaswa kumuamini ni mumeo tu" kwa sababu huna uhakika kwamba huyo utakayempa penzi kama atakuoa au atakuacha.kwa hyo kama anashida kweli akusubiri.
Lakini pia wanaume nao tuna matatizo sana.hivi unamuoaje na kumuamini mwanamke ambae alikubali kukupa penzi kabla ya ndoa?
Kama aliweza kukupa penzi wewe ambae sie mumewe na hujamuoa je atashindwa kuwapa wengine penzi ambao pia sio waume zake na hawajamuoa?... Una nini cha ziada mpaka ujiamini kwamba anakupa penzi peke yako?.
Hahahahhaahha MOTHER confessor
inavyotakiwa ndio hivyo no sex before marriage, sasa siku ya ndoa jamaa anakuta kumbe na wewe sio bikra. Yaani mngetunza bikra ungekuwa na nguvu asilima 100 ya kukataa sex before ndoa. wewe unasemaje sasa jamaa akisubiri afu akute hamna kitu umetumika sana tuN'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍷🍾