Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Bila Bikra siwezi kuoa.
Ndio maana mwanamke akinambia ananipenda na ni bikra alafu mimi simpendi abadan siwez kumtoomba.

Natoomba Malaya waliotolewa bikra. Naharibu vilivyoharibiwa. Na Najisi vilivyonajisiwa. Nachafua vilivyochafuliwa.

Siwezi kutakasa kilichonajisiwa na mwingine. Siwezi Safisha kilichochafuliwa na mwingine. Siwezi unda kilichoharibiwa n Mwingine.

Kwa ufupi. Nikisikia Mwanamke hana bikra namuona kama Mhuni fulani hivi asiyestahili kabisa kuolewa na Mimi.

Mwanamke asiyebikra namchukulia kama mtu aliyetoa mimba.

Namchukulia kama shimo la Taka ambalo kila mwenye uchafu anakuja kuutupa kwenye shimo lake.

Mwanamke Asiye na Bikra ni bora awe ameolewa na kuachika au mumewe amefariki. Huyu thamani yake ni kama Makombo.

Kiufupi Kuoa mwanamke asiyebikra ni uchafu katika nyumba. Yaani ni kama Mbwa ambaye ni mchafu asiyejali idadi ya maumbwa dume.

Nashukuru kwa Misimamo yangu imenisaidia kupata furaha katika maisha.

Kwa kujibu swali lako. Mimi mwanamke kama ni bikra sina haja ya kusubiri siku ya ndoa wakati mimi wa leo ndio huyo wa siku ya ndoa. Halikadhalika na yeye.

Anipe tuu.
 
Bila Bikra siwezi kuoa.
Ndio maana mwanamke akinambia ananipenda na ni bikra alafu mimi simpendi abadan siwez kumtoomba.

Natoomba Malaya waliotolewa bikra. Naharibu vilivyoharibiwa. Na Najisi vilivyonajisiwa. Nachafua vilivyochafuliwa.

Siwezi kutakasa kilichonajisiwa na mwingine. Siwezi Safisha kilichochafuliwa na mwingine. Siwezi unda kilichoharibiwa n Mwingine.

Kwa ufupi. Nikisikia Mwanamke hana bikra namuona kama Mhuni fulani hivi asiyestahili kabisa kuolewa na Mimi.

Mwanamke asiyebikra namchukulia kama mtu aliyetoa mimba.

Namchukulia kama shimo la Taka ambalo kila mwenye uchafu anakuja kuutupa kwenye shimo lake.

Mwanamke Asiye na Bikra ni bora awe ameolewa na kuachika au mumewe amefariki. Huyu thamani yake ni kama Makombo.

Kiufupi Kuoa mwanamke asiyebikra ni uchafu katika nyumba. Yaani ni kama Mbwa ambaye ni mchafu asiyejali idadi ya maumbwa dume.

Nashukuru kwa Misimamo yangu imenisaidia kupata furaha katika maisha.

Kwa kujibu swali lako. Mimi mwanamke kama ni bikra sina haja ya kusubiri siku ya ndoa wakati mimi wa leo ndio huyo wa siku ya ndoa. Halikadhalika na yeye.

Anipe tuu.
 
Bila Bikra siwezi kuoa.
Ndio maana mwanamke akinambia ananipenda na ni bikra alafu mimi simpendi abadan siwez kumtoomba.

Natoomba Malaya waliotolewa bikra. Naharibu vilivyoharibiwa. Na Najisi vilivyonajisiwa. Nachafua vilivyochafuliwa.

Siwezi kutakasa kilichonajisiwa na mwingine. Siwezi Safisha kilichochafuliwa na mwingine. Siwezi unda kilichoharibiwa n Mwingine.

Kwa ufupi. Nikisikia Mwanamke hana bikra namuona kama Mhuni fulani hivi asiyestahili kabisa kuolewa na Mimi.

Mwanamke asiyebikra namchukulia kama mtu aliyetoa mimba.

Namchukulia kama shimo la Taka ambalo kila mwenye uchafu anakuja kuutupa kwenye shimo lake.

Mwanamke Asiye na Bikra ni bora awe ameolewa na kuachika au mumewe amefariki. Huyu thamani yake ni kama Makombo.

Kiufupi Kuoa mwanamke asiyebikra ni uchafu katika nyumba. Yaani ni kama Mbwa ambaye ni mchafu asiyejali idadi ya maumbwa dume.

Nashukuru kwa Misimamo yangu imenisaidia kupata furaha katika maisha.

Kwa kujibu swali lako. Mimi mwanamke kama ni bikra sina haja ya kusubiri siku ya ndoa wakati mimi wa leo ndio huyo wa siku ya ndoa. Halikadhalika na yeye.

Anipe tuu.
Duh...wewe ulioa ukiwa bikira joka??
 
Kama yeye hajawah, its okay kabisa
Ila hana bikira, alafu sijui ananiambia mpaka ndoa that's nonsense
Nitajuaje kama nyuma ya pazia ananisaliti?
Mpaka ndoa ni mpaka hadi mim nithibitishe kuna cha kumsubiria mpaka ndoa
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..
Ngumu sana Bila kutest mitambo mkuu
 
Sasa hapo anakuwa amekubali au "anakufikiria"? Afu ukute hata bikira yenyewe ilishabomolewa

Yaani univulie chupi baada ya ndoa? Nikikuta huna K?

Mimi bhana ili nikuoe sio univulie chupi tu bali na mimba juu! Ndoa itafungwa ukiwa na mimba ya miezi 9 au mtoto kashazaliwa.

Uhh
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..
Mara nyingi kama ikithibitika haukuwahi kunajisiwa hilo hutuliza moyo kwa kauli hiyo hadi ndoa.
Ila kama tayari unenajisiwa na uhakika huo upo ni vigumu wanaume wengi kukuelewa.
Wengi hutaka kujua huenda uliponajisiwa uliharibiwa pia. Maana sio magari ya mtumba yote yana hali sawa
 
Siwezi uziwa mbuzi kwenye gunia unless kiwe kitu og tu
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾
Hizi mamboo hazipo siku hizi....
Na mashida tunayopitia haya, usije uziwa mbuzi kwenye gunia.... KAMA NIMEMUOMBA UHUSIZANO WA KIMAPENZI, halafu akatae kuotoa penzi, KIMSINGI YEYE NDO TAKUWA AMEVUNJA MAHUSIANO.... mimi nitakuwa mtekerezji wa uvunjaji huo tu.... AMEKUBALI KUFANYA KITU HALAFU BAADAYE AKATAE... NO WAY... unless otherwise atoe hiyo condition wakati namtongoza, nami nikaikubali...
 
Hata mie kama mwanamke sikubali!
Je ukute mwanamme ana KAPENSELI au LITANGO!!!

Lazima nione ndio nifanye maamuzi kama anafaa kuishi hadi kifo kitutenganishe au hafai!!!!
Nakwede, MEKUPENDA bureeee...... Maana hata mimi kuishi na RAMBO maisha yote yaliyobaki nacho ni kipaji
 
Niliweza kwa wanawake zaidi ya mmoja.

Awe mwanamke anayejitambua na hajawahi kumpa yeyote yaani awe bikra.

Na hapo huwa nawaza ndoa japo sikuwahi kufanikiwa kufunga nao ndoa kutokana na sababu tofauti tofauti.
 
Hata hivyo ninathibitisha mabadiliko ya tabia za mabinti ndiyo zimeleta mabadiliko kwa vijana wa kiume na kuwapa hii tabia inayoweka hatari kwa mabinti kuonjwa kama karanga.

Nitatoa mifano michache. Hapo kale;

1. Mabinti hawakupewa nafasi kutafuta wachumba, wachumba walitafutwa na wazazi ktk jamii nyingi.

Hii haikuwapa nafasi vijana kujuana kabla ya unganiko lao

2. Vijana walipata wenzi wao maeneo yao, hivyo ilikuwa rahisi kujua rekodi zao hata kama wangesema wawasubili hadi ndoa ilikuwa sawa.

Sasa mabadiliko ya leo;

1. Mabinti hawataki kuolewa tena ila wanataka kuoa, kwa maana kuwatafuta wanaume wanaowataka (hii haikuwepo)

Mwanamke alichumbiwa na baba mkwe au mama mkwe bila hata kumjua mwandani wake.

Je mko tayari kurudi huko?

2. Mtu mnaeishi naye kabila moja ni rahisi kuzijua rekodi zake.

Je mko tayari kuolewa na vijana mliokua nao wanaowafahamu vizuri?.

Maana ni ngumu kijana wa upcountry kukuoa wa pwani bila kutafiti record zako.

Kutokana na historia za watu kuhusisha maeneo tofauti tofauti hivyo ni ngumu kuzipata data kwa wakati.

Hivyo hii inawafanya vijana wengi kutumia short cut almaarufu kama kuonjeshwa ili atathimini viwango apate data kabla ya comitment ya maisha

Kama hoja hii itapita basi pia inawapasa mabinti kurudi kwenye kuchaguliwa wachumba na wazazi ili wawape vijana wa marafiki zao wanaowafahamu kitabia

Aina hii ya ndoa hudumu sana(ninaimani)

Kuna mengi ya kuongea ila sina muda mzuri.
Kwa herini
 
Back
Top Bottom