Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Mkuu umeongea Point kubwa sana..!!


Ukiona mwanamke unadate nae anakwambia No sex na sio Bikra walahi naapa kabisa KUNA MWANA ANAMLAAA...KUNA MSHKAJI ANAMGONGAA....KUNA MUHUNI ANAMTAFUNAA..!! Na wengi wao hujificha kwenye Kivuli cha dinii wangese sanaa... Huu umri huwezi niambia huoo upuuzi
Duuh!
Mwanangu umelenga mule mule yan
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..
Ukiona mwanamke anakwambia hvyo ujue kakudharau na huenda wew mwanamke uko juu kuliko yeye ki wadhifa,..yaan anaona kabisa wew ndo umemshobokea so anakwambia anachotaka
 
Wanaume tunashuhudia mengi wewe....nlishawahi kukutana na K ina meno. Hiyo ndo siku niligundua nina kipaji cha riadha. Tena MARATHON...
Mimi kuna roho inaniambia nifunge uzi niulize maswali kutokana na experince ya K, ka roho kengine kananiambia acha wewe bachelor utakosa mke 😂 😂
 
Ndiyo me and my wife ...

Hatukuwahi kufanya sex before marriage ...

Hata denda ....


Now our son is theodore ...
 
Mimi nimeandika kama shuhuda msema kweli...

Ndio mambo yaliyopo hayo dunia ya sasa, hizo mambo za virginity ni kama zilishapotezewa...
Hii weekend inayoanza namna hii...?? Mwisho wake ni uchomaji wa nyumba za ibada tu...
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..

Nimahusiano gani mmeanzisha? Kama mmeanzisha mahusiano ya kibiashara ngwati si muhimi! Lkn km mahusiano ya kimapenzi ngwati ndiyo catalyst.
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍷🍾
sio kwa kizazi hiki ni ngumu sana
 
Ha ha ha ha ha haaah, hivi huwa mnajifikiria nini kusema hivi ilihali mtu tayari unakuwa umetolewa hadi bikra!?
 
Yah inategemeana na imani na mafundisho km mtu ana hofu ya Mungu hilo ni jambo dogo Sana lakini km hofu ndani aimo ni kazi Sana binafsi mimi naweza
 
Back
Top Bottom