Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,549
Kama una bikra yako mumu nakukubalia tu kiroho safi,ila kama huna hata moja,hapo ni hell no!N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..![]()



