Swali kwa Dkt. Hosea: Rais Samia hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika?

Note:

1. Nimeongelea sehemu mahsusi ya tamko la Dk Hosea

2. Emergency powers act inamruhusu Rais kuwa selective

3. Akili yangu fupi itakusumbua sana tu, we endelea kushambulia mleta hoja badala ya kujadili hoja

4. Umama, ubaba, uvulana, usichana havina nafasi katika usanifu, utetezi na ubomozi wa hoja.

Jielekeze ktk hoja

Kwa hiyo tamko lake linawahusu chadema pekee? CCM, Simba na Yanga na wengineo nchini haliwahusu?
 
Kwa hiyo tamko lake linawahusu chadema pekee? CCM, Simba na Yanga na wengineo nchini haliwahusu?

Exactly. Hawa chadema ndio wana divert attention ya umma kwa kusema eti mipango ya serikali sio kipaumbele namba moja cha Taifa. Hakuna mtawala popote duniani atakubali mipango yake iwe frustrated hivyo na asichukue hatua
 
Watanzania ni mambumbumbu sana.Hali ya hatari katika sekta ya uchumi kivipi wakati tulishatangaziwa kuwa tupo uchumi wa kati?Unaelewa maana ya hali ya hatari katika sekta ya uchumi?Taifa ambalo lipo katika uchumi wa kati linaweza kuwa na hali ya hatari katika sekta ya uchumi?
 
Exactly. Hawa chadema ndio wana divert attention ya umma kwa kusema eti mipango ya serikali sio kipaumbele namba moja chanTaifa. Hakuna mtawala popote duniani atakubali mipango yake iwe frustrated hivyo na asichukue hatua

Tunaomba share hilo tamko ambalo liko specific kwa Chadema tulione. By the way, rais si mtawala ni kiongozi anapaswa kutuogoza si kututawala. Wakoloni ndiyo walikuwa watawala.
 
Watanzania ni mambumbumbu sana.Hali ya hatari katika sekta ya uchumi kivipi wakati tulishatangaziwa kuwa tupo uchumi wa kati?Unaelewa maana ya hali ya hatari katika sekta ya uchumi?Taifa ambalo lipo katika uchumi wa kati linaweza kuwa na hali ya hatari katika sekta ya uchumi?

Tulishatangaziwa nini? Hauko current. Ulikuwa busy ukimalizia kujenga nyumba ya orofa yako ya makontena kule Kigamboni? Pole
 
Tunaomba share hilo tamko ambalo liko specific kwa Chadema tulione. By the way, rais si mtawala ni kiongozi anapaswa kutuogoza si kututawala. Wakoloni ndiyo walikuwa watawala.

Disambiguation unayofanya kati ya kutawala na kuongoza haina msaada hapa. Kamusi ya kiswahili sanifu haitambui hizo tofauti
 
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
Hayo mamlaka ya kuzuia wapinzani wako. huku waziri wake wa fedha na wengine wakikusanya watu kila siku !! Wewe sema una masilahi Mbowe kunyanyaswa
 
Tulishatangaziwa? Haiko current. Ulikuwa busy ukimalizia kujenga nyumba ya orofa yako ya makontena kule Kigamboni? Pole
Nini haipo current?Juzi waziri mkuu ametangaza kuwa sasa hivi tunatoka uchumi wa kati wa kawaida kwenda uchumi wa kati wa juu.

Swali langu lipo palepale:Hiyo hali ya hatari ya uchumi unayozungumzia wewe imetoka wapi?
109_20210706_190119.jpg
 
Nini haipo current?Juzi waziri mkuu ametangaza kuwa sasa hivi tunatoka uchumi wa kati wa kawaida kwenda uchumi wa kati wa juu.

Swali langu lipo palepale:Hiyo hali ya hatari ya uchumi unayozungumzia wewe imetoka wapi?View attachment 1868492

Soma quarterly reports za BOT achana na hotuba za jukwaani wewe. Hujua kanuni za kuandaa trusted sources kwa ajili ya tafiti?
 
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
Lini hali ya hatari imetangazwa nchi hii?
 
Amekurupuka tu kutoka usingizini akaanza kuandika upupu JF badala ya kumuandaa mume wake awahi kazini. Mume wake huyu na mama D wana hasara sana.

We mzee Yoda michosho sana. Ndo maana Mama nanihii huwa anakunyimaga cha asubuhi
 
Back
Top Bottom