Swali kwa Dkt. Hosea: Rais Samia hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika?

Mama Amon

JF-Expert Member
Mar 30, 2018
2,019
2,473
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
 
... kujumuika kwa amani; kujumuika kama sehemu ya haki za kikatiba za raia kunaathiri vipi uchumi? Sijaelewa!

Kila mpango mkakati una communication and visibility plan yake. Wananchi hawawezi kuisikiliza mipango ya serikali wakati kuna watu wanasema mipango hiyo sio kipaumbele namba moja kwa Taifa
 
Kila mpango mkakati una communication and visibility plan yake. Wananchi hawawezi kuisikiliza mipango ya serikali wakati kuna watu wanasema mipango hiyo sio kipaumbele namba moja kwa Taifa
... Hiyo ndio sababu iliyotolewa kuzuia mikusanyiko?
 
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
Samia you apaswa kuwa msikivu kwa maoni ya jukwaa hili. Ameonywa kuwa anapaswa kusafisha nyumba yake kwa maana ya kuunda kaya yake mwenyewe
 
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
Utetez wa kipumbavu sana huu.Jinga sana wew
 
Umesoma utaratibu wa kutangaza "hali ya hatari"?

1627269001273.png
 
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
Wewe ni mama?

Kama ni mama kweli nawasikitikia wanao.

Mbowe anatuhumiwa kukusanyika au anatuhumiwa kwa ugaidi?

Haya kama anatuhumiwa kukusanyika hilo katazo linawahusu wapinzani tu ila CCM haliwahusi?

Una akili fupi sana.
 
Nimeona tamko la Dk Hosea Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika.

Anatetea uhuru wa kujumuika hata baada ya Rais kutangaza hali ya hatari katika sekta ya uchumi na kwa sababu hiyo kusitisha kwa muda haki ya kujumuika katika mikutano ya hadhara.

Dk Hosea hajajipambanua vema. Hivo, napenda kumwuliza:

Kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya Madaraka ya dharula, Rais wa Tanzania hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari kwenye sekta ya uchumi na kusitisha kwa muda haki ya kujumuika kwa sababu hiyo, kama Rais Samia alivyofanya 29 Machi 2021 siku alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari?

Siku hiyo alisema kuwa uchumi umeshuka kutoka GDP ya 6.9 hadi GDP ya 4.8 hivi
Sasa mbona hajawakataza wote.bona ccm na wanamichezo wanaendelea kujumuka na kuwa na mikutano. Hilo nalo ni uvunjifu wa amanin ki makundi. Au chadema ndo wanaopaswa kukayazwa peke yao ila wengine waendelee.
 
Umesoma utaratibu wa kutangaza "hali ya hatari"?

View attachment 1868431

Nimesoma mistari mitatu ya kwanza ya shaded text uliyoleta.

Naona utaratibu huo ni kwa ajili ya TANZANIA NZIMA, TANZANIA BARA NZIMA, au TANZANIA ZANZIBAR NZIMA.

Tangazo la Rais linahusu sekta ya uchumi na pekee.

Ni kama ambavyo tangazo la CORONA linahusu sekta ya afya pekee

Katika hili la mwisho haki ya kujumuika imesitishwa na hakuna Bunge limepitisha.

Ni vivyo hivyo kwa sekta ya uchumi. Ndivyo nionavyo mie.
 
Samia you apaswa kuwa msikivu kwa maoni ya jukwaa hili. Ameonywa kuwa anapaswa kusafisha nyumba yake kwa maana ya kuunda kaya yake mwenyewe
hiyo kaya au serikali yake aiunde kutoka wapi?

Nafasi za kuteua wabunge nje ya bunge kikanuni zimebaki 2 tu.

Hao mawaziri lazima watokane na ccm kwny orodha ileile ambayo wewe unaamini hawana sifa.labda mteulie wewe.

Akiwatoa hawa bado atarudi kwa kina mwijage, manyanya, ole sendeka, mavunde nk

Lakini hata hao.mbona waliapa upya mbele yake? Sidhan kama una sabab ya msingi
 
Sasa mbona hajawakataza wote.bona ccm na wanamichezo wanaendelea kujumuka na kuwa na mikutano. Hilo nalo ni uvunjifu wa amanin ki makundi. Au chadema ndo wanaopaswa kukayazwa peke yao ila wengine waendelee.

Sheria ya Mamlaka ya Dharula inamruhusu Rais kuwa selective
 
Wewe ni mama?

Kama ni mama kweli nawasikitikia wanao.

Mbowe anatuhumiwa kukusanyika au anatuhumiwa kwa ugaidi?

Haya kama anatuhumiwa kukusanyika hilo katazo linawahusu wapinzani tu ila CCM haliwahusi?

Una akili fupi sana.

Note:

1. Nimeongelea sehemu mahsusi ya tamko la Dk Hosea

2. Emergency powers act inamruhusu Rais kuwa selective

3. Akili yangu fupi itakusumbua sana tu, we endelea kushambulia mleta hoja badala ya kujadili hoja

4. Umama, ubaba, uvulana, usichana havina nafasi katika usanifu, utetezi na ubomozi wa hoja.

Jielekeze ktk hoja
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom