Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Hakuna tofauti ya Mbowe na Cdm . Hapo juu umesema ni haki Cdm kuzuiliwa kukutana na wananchi . Katiba kwanzaSijamwongelea Mbowe
Kikubwa wasomi badala ya kumsaidia mama awe kiongozi wa mfano duniani. Mmeamua kumpoteza mazima na kujaribu mkono wa chuma.