Hapo tutazungushana tu njia ya rahisi ni serikali kutotambua imani za dini,hapo ndio itaweza kujiepusha kikamilifu na mambo kama hayo.Nashauri tufikiri pamoja kwa mujibu wa kanuni ya jurisprudence ifuatayo:
- Katiba inakataza tendo X;
- Kitendo hiki hapa Y ni sawa na kitendo X kinachokata zwa na katiba;
- Kwa hiyo, kitendo hiki Y ni batili kikatiba.
Akili kubwa sana imeandika usingejisumbua kujibu akili yako na muandikaji ni mbingu na ardhiMPUMBAF MJINGA MDINI
Kawaida yenu tunaijua mkisha ona Nchi inaongozwa na WAISLAM mtaanza kuhoji kila aina ya ujinga Madhebu za Kikristo kila siku zitatoa MATAMKO mkitawa na Wagalatia wenzenu hata wakivuruga Nchi namna gani mnaufyata kimyaaa
Tumesha wazioe Waatoliki mnataka Nchi iwe ktk mikono yenu tu pumbaf zenu!
So kulikua na argument na sio swaliYou have surrendered your argument!
Thank you.
Readers who are conversant with arguments analysis, evaluation and design will laugh at you for your unwarranted conclusion that my thread is an effort of an "egocentric, selfish person trying to justify hate against Islam and Muslims." Think again.So kulikua na argument na sio swali
I said it before
Hakuna swali hapa.... Ni egocentric, selfish person trying to justify hate against Islam and Muslims wote
Here we go againReaders who are conversant with arguments analysis, evaluation and design will laugh at you for your unwarranted conclusion that my thread is an effort of an "egocentric, selfish person trying to justify hate against Islam and Muslims." Think again.
Hayo ni maoni yako una haki nayo...Hiko kitabu ni uongo mtupu kama ilivyo Biblia hakina utukufu wowote
Hutaki kukubali kosa. Kwani, social skills unazoziongelea ndio zile za kuweka mihadhara ya kilokole kwenye vituo vya mabasi na ndani ya dala dala? Na haya mahubiri ya kilokole ninayoyapinga katika bandiko hili nayo ni Uislamu? Kunywa maji, tuliza kichwa, soma hoja tena. Usipoelewa maana yake topiki iliyo mezani inakuzidi kimo. Usichangie kitu.Here we go again
Nadharia, nadharia, nadharia
You picked a right topic ya nadharia yako lakini your hate is vivid
Tulia Tu... Maana watu Aina yenu huwa mnapata tabu Sana uraiani kwasababu hamna social skills
You think everything is academic , ilivyoandikwa and kukariri
Sad story ya baadhi ya 'wajuvi' wetu
Sina muhemko wowote wala kujaa upepo...kama walifuata taratibu wana haki ya kutangaza makongamano yao kupitia kituo hicho ca luninga!Tulia punguza mihemko soma tena. Kuna tofauti kati ya ibada na makongamano jamaa kaeleza vzr sana. Shida kuna watu ukigusa dini yao tu hata km una hoja ya msingi wao ni kujaa upepo tu!!
Kukubali kosa lipi?Hutaki kukubali kosa. Kwani, social skills unazoziongelea ndio zile za kuweka mihadhara ya kilokole kwenye vituo vya mabasi na ndani ya dala dala? Na haya mahubiri ya kilokole ninayoyapinga katika bandiko hili nayo ni Uislamu? Kunywa maji, tuliza kichwa, soma hoja tena. Usipoelewa maana yake topiki iliyo mezani inakuzidi kimo. Usichangie kitu.
Basi hatujaelewana maana hata wewe hujaelewa nilichokisema.Naona hujaelewa wazo langu. Basi twende kwa mtindo wa point counter point namna hii:
1. Nilichokisema mimi ni kwamba dini/imani ni sehemu ya utamaduni wa watu/walipakodi.
Jibu: neno dini lina maana nyingi: Kuna dini ambayo ni sehemu ya utamadni wa Kitaifa, dini ambayo ni sehemu ya utamadni wa kikabila, dini ambayo ni sehemu ya utamadni wa Wakristo, dini ambayo ni sehemu ya utamadni wa Waislamu, dini ambayo ni sehemu ya utamadni waWahindu, dini ambayo ni sehemu ya utamadni wa Wabuda, nk. Unaongelea dini gani na utamaduni gani?
2. Kama kipindi kinachorushwa kinahusu dini/imani (sehemu ya utamaduni wa watu), kama kinavyoweza (kurushwa kikiwa na maudhui) kuhusu uchumi, siasa na jamii, kwa kuzingatia taaluma ya uhandishi wa habari kwa namna ambayo haivunji maadili au sheria za nchi,
Jibu: Dokezo kuu la hoja inayojadiliwa hapa linaanzia kwenye ibara ya 4(1) na 19(2) za Katiba ya Tanzania (1977). Ibara hizi haziongelei uchumi, siasa wala jamii. Zinaongelea kutenganisha shughuliza serikali na shuguli za dini. Hiyo ndiyo fokasi ya hoja.
3. Na kwa vile baadhi ya walipakodi ni waumini pia katika hiyo dini/imani,
JIbu: TBC inatumia kodi ya walipa kodi wote, wakiwemo watu wasio na dini. Haitumii kodi ya baadhi ya walipa kodi.
4(i) Basi, hakiwezi kukiuka utaratibu wa kawaida wa kurusha vipindi vya TV au radio na
Jibu: Hitimisho hilo halitokani na madokezo sahihi, kama nilivyoonyesha hapo juu, na kwa hiyo halina uhalali.
4(ii) hivyo (kwa maoni yangu) hakuna utata wowote katika hili.
Jibu: Hitimisho hilo halitokani na madokezo sahihi, kama nilivyoonyesha hapo juu, na kwa hiyo halina uhalali. Utata upo kama nilivyoonyesha hapo juu.
5. Labada wewe mwenyewe uonyeshe urushaji wa hivyo vipindi vinavyosemwa ulikuwa na utata gani au ulikiuka utaratibu gani wa urushaji wa vipindi.
Jibu: Bandiko langu limeonyesha vema utata. Linao muundo ufuatao: matarajio, uhalisia, ufa kati ya matarajio na uhalisia, mapendekezo ya kuziba ufa, na majibu ya pingamizi tarajiwa. Soma kwa kutulia
6. Kama urushaji wa hivyo vipindi una tatizo, basi tujadili hilo tatizo kuliko kujadili jambo la jumla hivyo.
Jibu: Tatizo ni urushaji wa vipindi vya kidini kupitia TBC kuvunja kanuni ya 4(1) na 19(2) ya Katiba ya Tanzania (1977), na bandiko langu limeonyesha vizuri tatizo hili.