Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #101
Yani wewe na elimu yako ya Dar inakuambia King ni mwanaume tu?!Ulishaona wapi mwanamke ni king bila kuwa queen au jikeshupaa? Acha usaidiwe kabla ya kuokota makopo Barabarani! Jaribu kurudisha heshima kwa kuacha kudanga (udangaji huenda sambamba na matumizi ya nganda)
Ahahahaha haha ushawahi kuonekana mshamba japo umesoma?!
Nenda katafute maana ya KING WOMAN kwenye Oxford dictionary na Google ya Pdf uone
Sio unaongea kama kichaa
Hujui vitu kaa kimya
There's a new Paradigm shift about King Women
Katafute Findings uone maanake Sio unakaa JF unajiona biingwa
Alafu urudi uniambie Kati yangu na wewe nani kichaa wa kuokota makopo
A hahaha haha wanawake wengine wanashida jamani du