Watanzania hatujalogwa sisi ni wajinga

Watanzania hatujalogwa sisi ni wajinga

Aelknes

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
258
Reaction score
635
Nimekuja kugundua tatizo letu kubwa sisi kama taifa ni ujinga..

Wakati mataifa mengine yakijikuza kiteknolojia/maarifa/ujuzi kuendana na dunia ya sasa sisi tunafanya juhudi gani kama taifa? Ni kama kila siku tunazidi kurudi nyuma hatujui tunapoelekea

Vijana wanakesha mtandaoni hawana cha maana wanajadili zaidi ya ngono na umbea,kila siku media uchwara zinaongezeka habari hawafanyi cha maana ni udaku na umbea ambao hauna manufaa kabisa,ikitokea video za ngono za mtu zimevuja basi hiyo itakua habari kuu kwa wiki nzima,mtu maarufu anaita waandishi wa habari kisa akajibu ana VVU au hana na waandishi wanajaa

Uchawa unazidisha ongezeko kubwa ka mashoga nani anajali? Kizazi kinachozaliwa kinajifunza nini kwetu?

Yani tunaentertain vitu ambavyo havina manufaa kwetu, Kama hatutakuja kuamka basi tutazidi kuwa na taifa la ajabu sanaa
 
Tuna safari ndefu sana kama taifa
 
Huwezi kuzuia hii.
Teknolojia inazidi kukua.
 
Kizazi cha wajinga hasa millenials kurudi nyuma kinazidi kupungua, Gen-Z ni toleo lengine kabisa
 
Wewe mbona hatukuoni jina lako likitajwa na ao vijana wa mataifa mengine.
Change is personal you cant change the nation
 
Angalia watoto wa sasa wanachojifunza TikTok kutoka kwa watu wazima. Ni umbea, matusi na kiki tu. Wazazi tuwajibike lasivyo we will be raising a very blank generation.
 
Mtu akizui mitandao mnasema ni dicteta.
Mmeachiwa huru mnasema tena vijana hakuna wanachojifunza kwa mitandao.
NIKWELI NYIE NI WAJINGA.
 
Wewe mbona hatukuoni jina lako likitajwa na ao vijana wa mataifa mengine.
Change is personal you cant change the nation
Kama ni personal mbona wengine wanawekeza sana kwenye elimu?
 
Angalia watoto wa sasa wanachojifunza TikTok kutoka kwa watu wazima. Ni umbea, matusi na kiki tu. Wazazi tuwajibike lasivyo we will be raising a very blank generation.
Ukweli ambao hatutaki kuusema
 
Mtu akizui mitandao mnasema ni dicteta.
Mmeachiwa huru mnasema tena vijana hakuna wanachojifunza kwa mitandao.
NIKWELI NYIE NI WAJINGA.
SHida sio kuzuia mitandao shida ni unazuia kwa lengo gani?

Kama ilizuiwa kisiasa hakukuwa na maana
 
Kama ni personal mbona wengine wanawekeza sana kwenye elimu?
Sikuizu kusoma ata online unasima mambo kuhusu AI, Forex. Ila mtu kaamua bandi lake amuangalie Mayele na udaku. Unatak serikali ije uwachape viboko. Wewe ukisanuka ukasoma ukakomboa kizazi chako na watifo wako inatosha sio mpka taifa zima. Yesu mwnyw alikuj kukomboa ulimweng lakin hawakumwelewa.
# CHANGE IS PERSONAL
 
Watanzania sisi sio wajinga, sisi ni wapumbavu
 
Back
Top Bottom