Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
Kumbe ni hivi mkuuDanga kwa Kiswahili fasaha ni MAZIWA YA KWANZA KABISA YA BINADAMU AU MNYAMA ambayo huwa ni chakula na kinga kwa mtoto au ndama. Maziwa haya huwa ya njano.
Hahahahaha yeleuuuwiDanga kwa Kiswahili fasaha ni MAZIWA YA KWANZA KABISA YA BINADAMU AU MNYAMA ambayo huwa ni chakula na kinga kwa mtoto au ndama. Maziwa haya huwa ya njano.
Doh hii kali kulikoKudanga=Ukahaba/umalaya
Danga=Buzi/ng'ombe/shefa/jitu linalochunwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo katudanganyaKumbe ni hivi mkuu
Doh hatareeDanga ni mwanaume anayejua kuhonga mahela kama yote.
Mi ndio naelewa hivyo, nilitafsiriwa na demu mmoja mdangajiDoh hii kali kuliko
kwahiyo wanaume ni Madanga
wanawake tunadanga
Hataree
Ohoooo! Mamaangu, danga sio manyonyo ni maziwa...milk. Ni yale maziwa ya kwanza kabisa, huwa mazito yenye cream nyingi. Kwa ndama, akiyakosa hayo basi haji kukua vizuri, ndio maana wafugaji humuacha ndama anyonye haya maziwa ya njano. Ukileta uroho ukayanywa hali ya kwamba wewe si mtoto au ndama, basi kuharisha kunaweza kukakuhusu.Hahahahaha yeleuuuwi
tunataka mana ingine
Huwezi ita kila mwanamke anaenyonyesha Danga huo ugomvi wake hamtamaliza mtafungana
Ni sawa na kumwita mama yako mzazi au mkeo au dadako Danga
Unajua kuna mvurugano mtaani unaosema Danga
Kila kona Habari ya Mujini ni Kudanga
Wanamziki wakaimba kuhusu Danga
Naomba Tusaidiane mpaka mtu anaitwa Danga anakuwa mtu wa namna gani? !
Danga ni Nani? ! Nataka kuelewa zaidi
HAHAHAHAHHA
HAHAHAHAHAHAHA
HAHAHAHAHAHAdanga ni mtu aliyejiua alipoona amekufa akakimbia
DOH!Wingi madanga
1. Kazi kikuu cheupe
2.tunda lisilokomaa
SAWA MFUGAJI!Ohoooo! Mamaangu, danga sio manyonyo ni maziwa...milk. Ni yale maziwa ya kwanza kabisa, huwa mazito yenye cream nyingi. Kwa ndama, akiyakosa hayo basi haji kukua vizuri, ndio maana wafugaji humuacha ndama anyonye haya maziwa ya njano. Ukileta uroho ukayanywa hali ya kwamba wewe si mtoto au ndama, basi kuharisha kunaweza kukakuhusu.
Ikiwa ndama wa ngombe amefiwa na mamaye kwa uzazi, ndama hutengenezewa artificial danga ili asipate utapiamlo