Ngoja labda nikumbuke practices zangu enzi zile za 1947....
Ila siyo kawaida sana kwa wanaume...
Ndiyo maana wengine tulijistaafia, tena baada ya upande wa pili kuzidisha ukali...Ukichomoa unakaribia kupewa kisago..lol!!
Babu DC!!
......ahh, wasichana/wanawake wengi siku hizi ukijidai ku flirt kosa! Atakusumbua na sms na calls akitaka hiki na kile mpaka kero!
Flirting is cheating without the sex.
N what made you not to go all the way? Na how girls are you still friends?
Inaweza ikawa onlinevsex..kwangu mim sex is sex tu..
Ni idadi ya wanaume niliowahi date now; have a problem with it? Lol
mmmmh! Try not to do that kitu online
i decided not to go all the way because nlikuwa na girl. I told them kuwa napenda urafiki wa kawaida kuliko ule wa kimapenzi. Wengine walielewa, wengine wakasema naringa. Ila ni marafiki zangu wote.. Endapo ningeenda nao all the way wengi wao tungekuwa tumechuniana sasa hivi.
Okay sasa naanza kuelewa hiyo kwenda "all the way". Lakini kwa mfano wako, siwezi kujisikia vibaya kama mimi ndiye niliyeamua kuanza kuflirt na wewe ("kukuchokoza")-purely for fun - halafu nikagundua kuwa upo serious, naona ni rahisi zaidi mimi kuchomoka. Naweza kusumbuliwa na ego(male?), na kushindwa kuchomoka - kama wewe ndiye umeanza kuflirt na mimi ("kunichokoza") halafu ukawa serious unataka kugegedwa!Mfano mimi naflirt na wewe, au hata najiongozesha. Ukiwa tayari kuridhia mtongozo wangu, bado mimi naweza chomolea na nisionekane nina tatizo.
Lakini wewe ukiflirt na mimi, mimi nikiridhia je nawe unauwezo wa kuchomolea kwa kuwa hukuwa serious? Au itabidi unigegede ili nisiseme wewe sio mzima au una kibamia au anything? I mean your ego haitakuwa damaged kwa mdada kujilengesha na wewe kumtolea nje?
The thing l like about you is your honesty. Thanks DC