The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
kila siku nikuanze mimi .nisipokuanza unachuna unanpita tu
Nauchuna ili unimiss halafu uniambie lol
kila siku nikuanze mimi .nisipokuanza unachuna unanpita tu
kutoishia kitandani si akili za mwanamke...mwanaume akiflirt mwanamke akimlegezea tu ataombwa mchezo....chezeya wanaume....
Kaunga, flirting kwangu mimi huwa naona kwa mach mawili tofauti tena kwa jinsia zote mbili.
jicho la kwanza huwa nauona kaa utani tu wenye kumfanya mtu afarijike na kuona kwamba anaishi. mara nyingi husaidia sana kupunguza mawazo kwa wale wenye msongo wa mawazo.
jicho la pili naiona kama bustani ama tuta la bustani lililolimwa na kurekiwa vizuri pasi kujua litapandwa nini mbeleni. na hapo mlimaji akikaa na kuwaza zaid huja na idea ama nilime mchicha ama nilime kunde. lkn wakati wa undaaji hakujua anaandaa ili apande nini.
je hilo neno kuflirt halina kiswahili sahihi jamani ili niielewe?
mimi mwali mbn ntakuwa na kesi nyingi sana sasa!hebu niache mweh!but kuna kitu ambacho sikielewagi what is the motive behind flirting??
manake motive behind ndio inayo drive the ultimate result most of the cases. and to me huwa naona kabisa hubby wanu nikimkuta ana flirt na mtu ni wazi kwamba mimi sijacheza na nafasi yangu vyema. na hii mimi nitaichukua kama challenge kwamba inabidi niwe na muhashua hubby.
ila yeye akikuta kwangu najua atajua namegwa lol! manake ataconclude kwanini mtu baki anifurahie kuliko yeye??
Mwanaume akiflirt kuna uwezekano mkubwa akaenda all the way; ila mwanamke akiflirt she is most of the time not serious. Riwa nafikiri hii inafanana na swali lako la SMS kwenye simu ya mwanaume na ya mwanamke. (I thought it is worth a thread)
Ufafanuzi kidogo
Mfano mimi naflirt na mwanaume, au hata najiongozesha. Akiwa tayari kuridhia mtongozo wangu, bado mimi naweza chomolea na nisionekane nina tatizo.
Lakini mwanamume akiflirt na mimi, mimi nikiridhia je naye anauwezo wa kuchomolea kwa kuwa hakuwa serious? Au itabidi anigegede ili nisiseme sio mzima au ana kibamia au anything? I mean man's ego haitakuwa damaged kwa mdada kujilengesha na yeye kumtolea nje?
Ni kama umesema umewahi kuwa na watu wawili tu?
au ?
Jamani kwa historia ya watu 2 ambao nimeshawahi kuwa nao sijaflirt hata mmoja wao. ila wote ninaoflirt nao, inaishia kwenye flirting tu. Wewe je?
......ahh, wasichana/wanawake wengi siku hizi ukijidai ku flirt kosa! Atakusumbua na sms na calls akitaka hiki na kile mpaka kero!
je hilo neno kuflirt halina kiswahili sahihi jamani ili niielewe?